Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Maisha ya Dunia si lolote si chochote usimdhihaki aliye kwenye chumba cha sindano hali nawe upo kwenye foleni. Wiki tatu tu alifurahia kifo cha yule dada wa geita aliyeuliwa kikatili. Sote njia moja
 
Ulianza wakati Mange alipost Nyumba na Kaburi la Mama Yake Le Mutuz huko Mbeya. From there ndio wakaanza ugomvi. Mange Pia alipost Passport take ikionesha alizaliwa 1960, jamaa ndio alikasIrika Vita ikaendelea to-date.
LEMUTUZ RIP
 
Nimepitia komenti za wadau hapa,nimekuja kujua kumbe
Jamaa na familia yake (Malechela) wamemtoa dem huku bongo na kumpeleka US,wakamtafutia kazi na hata hii michakato ya uraia kwake ilikuwa rahisi sababu ya jina la Malechela.

Still bado akazinguana na baba watoto, kipindi ambacho mwenzake anaungaunga na kutaka hata kule kidogo alichokuwa nacho wagawane (unaweza ukakuta anachokipata yy ni kikubwa kuliko cha mwenzio).

Sawa mnamlaumu jamaa kwa maisha yake ya starehe huku bongo, ila hamjui may be jamaa alikuwa anapitia maumivu ya kihisia ya tokanayo na familia yake. Hiyo haitoshi ugomvi wa familia unamshirikisha tahira wa taifa Mange Kimambi ,anaweka wazi mambo ya familia public,akizani anamkomoa mmewe kumbe kuna siku zile meseji zitawaumiza wao na hasa watoto.

Jamaa kweli si malaika ana mabaya yake ila mwanamke aliyezaa nae inawezekana ikawa sababu ya maisha aliyo yaishi sasa. Kwa mbele hasa US wanawaume wanapitia maumivu mengi ya kihisia sababu ya kunyanyaswa na wanawake (mara zote wanaume hawaongei), hasa inapofikia kipindi cha talaka maana hapa kuna kugawana mbali na hasa zaidi mkewe kutumia watoto kama fimbo ya kumchapia mmewe.

Basi atleast angekumbuka hata machache mazuri aliyo mfanyia kwa kumsitiri na si kumzalilisha kwa yule taira wa taifa na hata kwa watoto wake. Ubaya aliomba msamaha, kuna watu wanadai aliomba msamaha kirahisi rahisi, ( kwa wale wakristo wanao amini kama uamini unaweza kuipita hii comment sitaki ligi) wale wezi walio teswa na Yesu,hata toba yao pale msalabani ilikuwa very simple, ila mwisho wa siku Mungu akaikubali wakaupata uzima wa milele.

Sasa ww unaombwa msamaha na baba yako unakataa sasa ndio tayari hayupo sijui wanajisikiaje,japo watafanya kama hawajali mbele ya macho za watu ila mioyoni mwao itawatafuna.

Zile zile texts za whattsap alizosema alishinikizwa kuwatafuta baada ya kuwa confronted kidogo!!..

Dogo wa kiume alizingua ila yule wa kike mnamuonea. There is no way unaingia kwenye maisha yangu after decades kwa text ya whattsap ambayo haioneshi regret wala reconcilliation yoyote

Najaribu kuweka mambo sawa unajibu wala halikuwa wazo lako, ulishinikizwa tu

Ulishawahi kuoneshwa na mzazi wako kuwa you are worthless to them bro

Ndio maana hata Yesu msalabani alienda na yule alieomba kwa dhati na sio yule aliyetoa dhihaka

Msamaha sio kusema tuyajenge na kutoa shurti kwa mtu uliyemkosea. Msamaha ni ombi
 
Walimtukana vibaya sana. daah kuna wanawake wanajua kuwajaza sumu watoto wao
Lile la kiume lilisema "go https://jamii.app/JFUserGuide your self" alafu likampa dole la kati then likatereza, yan hakuna race ina kisiran kama black America na ndio yanafuata hayo maisha wakati yenyewe ni Matanzania... Maisha haya kuna mzee mmoja alifariki eti matoto yake yapo canada msiba yaliuudhuria ila kwa zoom meeting 😂😂😂😂, daaah na dingi wa watu alijifia kisa familia imemtelekeza wote wamekimbilia ukaya akapata stoke akafa...
 
Jitahidi kuweka kumbukumbu ya kila muamala unaofanya. Usimpe cash wala kununua vitu; tuma miamala tu. Atakayekulalamikia, mpe uthibitisho wa miamala. Wanawake wengine ni washenzi; anafikiri anakukomoa wewe; kumbe anamuumiza mtoto wake.
Sahihi kabisa ila mi siwezi Jamani pesa zikitumwa nasema
Mfano hapa juzi schools kalipa ada I told her that your dad paid the school fees so please don't let him download
Binamu sinaga hizo na Niko very open Kwa kweli Wala sifichi kitu akili kichwani mwake asuke au anyoe
 
nitatunza miamala mpaka lini mkuu,nimeamua itavyokuwa na iwe tu roho yangu imeanza kupata kutu.mwanzo nilikuwa namtumia kila week...ikaja tokea kuna week sikutuma na nilimpa sababu kwanini sikutumaa aisee nifuatwa ofisini nikafanyiwa fujo aisee nilishindwa vumilia nilimpa vitasa akanipeleka polisi nilazwe ndani bahati nzuri kile kituo wale polisi wananijua...anawalazimisha polisi nisweke ndani wakamwambia rudi nyumbani kesho utamkuta mtuhumiwa wako lock up oyrsterbay hahaha daaah hapo ndio akapata amani ya roho... wanawake wengine ni wametumwa kuharibu maisha ya wanaume
Mmhh... huyo dada mpuuzi
 
Ujinga kwa jicho lako la kipuuzi na la kitoto,ila ukirudi kiroho plus hekima jamaa hakudeserver aliyofanyiwa na mkewe.
Yy alipowanyima malezi hakujua malipo yake .Léeni watoto msipowalea wadogo nao wanahaki ya kutowalea uzeen
 
Zile zile texts za whattsap alizosema alishinikizwa kuwatafuta baada ya kuwa confronted kidogo!!..

Dogo wa kiume alizingua ila yule wa kike mnamuonea. There is no way unaingia kwenye maisha yangu after decades kwa text ya whattsap ambayo haioneshi regret wala reconcilliation yoyote

Najaribu kuweka mambo sawa unajibu wala halikuwa wazo lako, ulishinikizwa tu

Ulishawahi kuoneshwa na mzazi wako kuwa you are worthless to them bro

Ndio maana hata Yesu msalabani alienda na yule alieomba kwa dhati na sio yule aliyetoa dhihaka

Msamaha sio kusema tuyajenge na kutoa shurti kwa mtu uliyemkosea. Msamaha ni ombi
Sasa utajuje kama Lemutuz hakuomba kwa dhati,kuna watu wana mlaumu kaomba kirahisi rahisi,kwenye macho yao wanaweza kuona ni kiurahisi ila mbele za Mungu inaweza kuwa tofauti,same kwa wale wezi yule mmoja aliomba ila ilikuwa simple,yule mwengine hakusadiki ndio tofauti. Halafu maswala ya kiroho hayahitaji swaga,wala mbwembwe issues nikusadiki tu.

Sasa wanaosema kirahisi rahisi, wao walikuwa wanataka afanye nini ndio waone yupo sawa.
 
Yy alipowanyima malezi hakujua malipo yake .Léeni watoto msipowalea wadogo nao wanahaki ya kutowalea uzeen
Sasa huyo mama yao kuanzia US,Kazi mpaka Uraia katafutiwa na familia ya Malechela, bila Malechela hana chochote.

Leo hii kwa ujinga wake na upuuuuuuuzi wake anamdhalilisha mmewe kwa kuvujisha maswala ya kifamilia public, je kapata nini zaidi ya kujidhalilisha yy na wanawe.

Malechela hakukataa kuwalea ila kuhalisia hali yake ya kifedha haikiwa nzuri na still bado kidogo alicho nacho mke wake anataka hicho kidogo wagawane,bado atoe child support, kwa life yake ingekuwa ngumu na ndio maana kaamua kurudi Bongo tu.

Sijajua jinsia yako ila kwa wanaume jamaa aliyapitia magumu, ila still kwa aliyomfanyia mkewe kumtoa bongo, kumtafuti kazi na uraia US ina reflect jamaa alikuwa anampenda mkewe, sema ndio hivyo jamaa alipitia changamoto,bdo demu akadai talaka mixer kugawana mali na bado anataka child support, kiuhalisia kama mwanaume alikuwa anapitia magumu,angendelea kubaki US inawezekana asingefikisha miaka hii,sema basi maisha yake unaweza ukasema anahela sana ,ila unaweza ukakuta hapa bongo alikuwa anaishi na kula bata kwa mgongo wa wana,marafiki sababu ya connection alizokuwa nazo.
 
Na Sisi wanaume ifike mahala tujitambue. Unawaaga watoto kua unaenda hapo nje halafu ndio kimoja miaka therasini na ushee kweli kisha Leo useme unaomba msamahaa, na kila siku wanakuona kwenye mitandao upo na maisha mazuri na wanawake warembo.

Sawa tuamini uligombana na mama na hatujui mligombana nini lakini watoto nao ???????? Hapana aisee hapana kabisa.
Le mutuz hajakaa bongo miaka 30 na ushee karudi bongo 2010, na sidhani aliwakimbia kwa kuwaambia hivyo hii itakua imetungwa kwa manufaa ya upande wa mke. Na hata kama aliwakimbia hivyo lazima kulikua na sababu na lazima baadae aliwaeleza watoto kwanini alifanya hivyo, ila kwa vile huyo mama yao ni shetwaan alishawalisha watoto maneno ya chuki. Huo ugonjwa wa moyo wa Le mutuz utakua umetokana na sonono ya vita ya familia. Vijana koseeni mambo yote, lakini msikosee kuoa mtajuta. Laana sasa itawapata wote maana jamaa ameenda na huzuni. RIP Le mutuz cocobanga Boma Yee boma liwanza nyee nyee.
 
Leo nimejifunza kitu.

1. Mzazi tengeneza heshima kwa wanao tangu ukiwa hai. Leo hii Lemutuz kafa hakuna anaetaka kujua kama aliwahi kuwajali wanae au la ila kila mtu analaumu watoto.
2. Ina maana wazazi hawakosei na huruhusiwi kuumia kama mtoto umeumizwa just because ni mzazi.
 
Back
Top Bottom