Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Yupi kati ya hao aligombea na kushinda kihalali?
 
Alitokea udsm kama lecturer(academician) tatizo yeye alichagua uchumia tumbo kuliko proffesionalism na madhara yake hatodumu katika siasa na uenda huu ndo ukawa ubunge wake wa mwisho
Hakika hata mimi nimeona ilo na mama ameshamkataa
 
Wazee hawa walioishi kwenye nadharia za ujamaa kindakindaki , hawakuwekeza zaidi kwenye elimu na urithi wa watoto wao. Mifano ni mingi hata Mwl hakuwekeza huko zaidi ya ikulu kuwabeba.

Rip. Mwele, nakumbuka kisa chake na marehemu Maghufuli
Kuhusu kuwekeza kwenye Elimu Mzee Malecela muondoe. Hakuna mtoto wake asiye na Elimu ya chuo. Mwele amefariki akiwa Dr. utasemaje baba yake hakuwekeza kwake kielimu?
 
Mzee Msuya , Mzee Salim, Mzee Warioba , Mzee Sumaye sijui Mzee Pinda, ila kuna familia nyingine siasa kwao siyo kipaumbele siyo lazma urithi kazi ya baba unaweza kurithi ya mjomba pia tena zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…