Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Ukikojoa kitandani
Utachapwa.
Usipoenda shule
Kesi
Usipoosha vyombo kisa mwanamme
Kesi
Ukiwachungulia wanawake chupi
Utachapwa
 
Sio uongo kabisa wazee wamekunywa maji ya bendera kuna mdogo wangu anaipenda chadema ila akiwa na mzee mdogo wang akisema ubaya wa ccm yan mzee ananuna mpaka ana sahau kama huyo ni mwanae
hahahah...huyo mzee ni mkoloniii[emoji38][emoji38][emoji38]
 

Wengine hatujapitia ila ni maisha flani hivi amazing[emoji1531][emoji1531]
 
Ng'ombe wakizamia mashambani
Utachapwa

Usipooga utachapwa

Ukioga usitakate utachapwa

Ukiachwa nyumbani usipofagia uwanja utachapwa

Ukifagia na using'oe vijani utachapwa

Usipoandika darasani utachapwa

Ukiandika ila mwandiko mbaya utachapwa
Usipokariri tebo utachapwa
Ukikariri tebo ukasahau kidogo utachapwa
Usipolima utachapwa
Ukilima ungoe mmea utachapwa

Dah yaani umenikumbusha mbali mjinga wewe
 
Kuchapa mtoto ni ujinga mwingine mwafrika anauendeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…