Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Tulikuwa tunaita "MATUSI"wazazi wakisikia umefanya mchezo mbaya, utachapwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuwa tunaita "MATUSI"wazazi wakisikia umefanya mchezo mbaya, utachapwa
Kama haka kamchezo ningekua nakacheza hadi Leo bac mimba mtaa mzima inanihusu maana mtaani sisi tu ndo tulikua na TV sasa mida ile kama kwenu ndo kuna TV basi wewe ndo unachagua nani aingie au nani asiingie na wakiingia unawaamuru nani akae kwenye kochi na nani akae chini mbishi anataka nje tena wale wenye nguvu ndo unawaweka kwenye kochi ili mbishi akitokea unatoa tu amri basi na inatekelezeka Mara moja bac mimi nilikua nachagua tu vischana afu napiga kweli yaani.ila shukrani vilikua vimichezo vya utotoni maana walinijua mtaa mzima hadi kuna nyumba nyingine nilipigwa ban kuingia(I MISS THE LIFE)Tulikuwa tunaita "MATUSI"
nimecheka sana mkuuDah.. kama ingekuwa ilikuwa hivi basi zaidi ya nusu ya watu wazima wangekuwa walemavu[emoji4]
Haaaahaaaaa uuuwi.umeanza zamani kumbe[emoji12]Kama haka kamchezo ningekua nakacheza hadi Leo bac mimba mtaa mzima inanihusu maana mtaani sisi tu ndo tulikua na TV sasa mida ile kama kwenu ndo kuna TV basi wewe ndo unachagua nani aingie au nani asiingie na wakiingia unawaamuru nani akae kwenye kochi na nani akae chini mbishi anataka nje tena wale wenye nguvu ndo unawaweka kwenye kochi ili mbishi akitokea unatoa tu amri basi na inatekelezeka Mara moja bac mimi nilikua nachagua tu vischana afu napiga kweli yaani.ila shukrani vilikua vimichezo vya utotoni maana walinijua mtaa mzima hadi kuna nyumba nyingine nilipigwa ban kuingia(I MISS THE LIFE)
Mkuu nilipofika kwenye hizo ndo umeniua kabisa,, nimecheka mpaka majirani wametoka kuchungulia kwamba niko na nani? Sasa wazee wa zamani sijui walikuwa wanataka sisi tufanyeje aiseeeee, kila jambo kwao lilikuwa baya!!21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
Mkuu hao wa kuhoji mambo umekutana nao wapi? Hivi vichwa vilivyojaa viroba vitahoji nini? Wao wanawaza pool table, bet, mlegezo na viroba tu!!Ndio maana kizazi chetu kimejaa mazombi unakuta jitu Profesa lakini linaendeshwa sababu ya kuendekeza tumbo;Kizazi cha wasiochapwa wana uthubutu wa kuhoji ingawa wengi dishi limeyumba