Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Porn husababisha hayo mambo, mtu akiangalia porn aone mboo zilivyo kubwa akijiangalia anaona kidogo anaanza fall on his fellow kupitia porn

Porn za siku hizi wanawake wengi hufirwa hivyo mtu naye anajaribu hapo hapo
 
Wala halikuwa Lengo langu kukosoa hoja ya mleta hoja, ni kweli jamii yetu ipo kwenye tatizo kubwa kuhusu hatma ya watoto wetu dhidi ya hili wimbi kubwa la vitendo vya ushoga vinavyozidi kuongezeka

Mkuu kama umekuwa mfatiliaji wa mijadala humu basi utagundua kuna watu members wanajitangaza waziwazi ni wapenzi wa jinsia moja, na ukijaribu kuwajibu watakushambulia kwa maneno makali sana.

Sijawahi kuona mleta mada akiwakaripia hawa members wa humu jf zaidi tu huwa wanaitana na kutaniana binamu na hao ma hayawani, Sasa huu si ni unafiki?
Sasa kama mashoga wa humu ni marafiki zake huo ujasirisi wa kuupinga ushoga anautolea wapi?

Pia hii kuuzungumzia ushoga Kila wakati ndio kuusambaza kwenyewe. Binadamu ameumbwa na curiosity, Ile unavomwambia ushoga ni mbaya ndivyo atataka ajue ubaya wake hivyo atajaribu..

Ona tu huyu mtoto wa Monalisa alivyoongeza followers gafla baada ya iyo ishu ya yeye kujiita gay kufahamika. Imagine ni vijana wangapi watamuiga? Hizi habari zisingetangazwa nani angejua tabia yake?
Yaani tunaongeza mafirauni tukidhani tunatatua tatizo
Kwa mtazamo wangu haya mambo ni ya ku mute tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…