Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nisipo gombanaaaa, hapanaaa sijisikii poaa babuuu. Nichachuane kidogo ndo nakuwa sawaa.
Mmmh[emoji2827][emoji2827]
 
Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa. Kizazi kijacho kiko mashakani

Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu

Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!

Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.

Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho.

Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.

Hakuna wa kukemea zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao n.k

Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu. Hali ni mbaya sana.

Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!

Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.

Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?

Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni

Inauma sana!
Haitajwi kila mara ila hitler akiwamaliza wayahudi vita vya pili kama watu wasiyofaa na wengine aliyowaangamiza ni mashoga. Tusiache ifike mahali kumaliza ushoga iwe jawabu ni kuwaua. Ni jawabu baya sana ila ikibidi kuokoa uwepo wa familia sijui itabidi kufanya nini.
 
Haitajwi kila mara ila hitler akiwamaliza wayahudi vita vya pili kama watu wasiyofaa na wengine aliyowaangamiza ni mashoga. Tusiache ifike mahali kumaliza ushoga iwe jawabu ni kuwaua. Ni jawabu baya sana ila ikibidi kuokoa uwepo wa familia sijui itabidi kufanya nini.
Nadhani kuna ukweli hapa
 
.View attachment 2535792
20230303_104347.jpg
 
Huyu shoga kila post yupo anacomment. Hajapata wa kumchana humu?
 
Serikali inalilea sana hili jambo, huenda inaridhia matakwa ya wamagharibi ili ipate misaada na mikopo. Wangekuwa serious wakaanza kuyafunga haya mashetani tusingefika huku.
 
Aorodheshe hao «wasanii» na «watoto» wao anaodai ni mashoga. Anazusha, generalize na ku sensationalize jambo na kulikuza kutokana na kijana mmoja tu mdogo ambaye anaweza kuwa mwanaye.

Hafikirii namna gani amemuharibia huyo bwamdogo maisha yake kwa kuanzisha uzi huu wa kumtuhumu na kumuabisha milele mbele ya jamii.
 
Hadi watu wanaomba connections, kweli kazi tunayo...
 
MKUU KULIEPUKA NI SIMPLE TUU
1. WATOTO WETU TUWALEE WENYEWE USIRUHUSU MTU AKULELE MTOTO WAKO UWEZI JUA ATAMFANYIA NNI KIPINDI ANAMLEA UWENDA NDO MWANZO WAKUMFUNDISHA UTOMVU WA MAADILI NA KULAWITI
2. ATAKAE GUNDULIKA NI SHOGA AHUKUMIWE KWA KWENDA KINYUME NA MAADILI YA NCHI YETU NA JAMII KIUJUMLA
 
Back
Top Bottom