Watoto wanaochukua mfanano wa mama zao au wajomba zao; sisi baba zao huwa tunakuwa katika wakati mgumu sana

Watoto wanaochukua mfanano wa mama zao au wajomba zao; sisi baba zao huwa tunakuwa katika wakati mgumu sana

Kawaida mkuu katika watoto wote mimi ndo sijafanana na mzee wangu mamaangu aliamua kujipiga copy kuna kipindi mzee Alikuwa anapenda sana kutembea na mimi akikutana na mtu anamjua ananitambulisha kuwa mimi mwanae kilichokuwa kinamshangazi watu wakawa wanamkatalia kuwa mbona hujafananae huyu mtoto kabsa hapo ndo mzee alipokuwa anachanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Alitombewa
 
Mtoto lazima afanane na baba yake..nje ya hapo unalea mtoto wa mwanaume mwenzako..no matter utafarijiwa sijui DNA, sijui gene, sijui sura ya Babu...uyo sio mtoto wako!!!

Mtoto kama hafanani na ww basi amefanana na baba yake..kama humjui muulize vizuri mke wako
Acha kupotosha watu
 
Unakuta mtoto hana mfanano wowote kwa upande wa baba au ndugu za baba yake; wengi sisi wababa huwa tunahisi, tumepigwa na kitu kizito kichwani.

Ingawa waswahili wanasema kitanda hakizai haramu; lakini kutokuwa na mfanano wowote huwa inatutesa sana.

Wakuu, hili huwa mnalichukuliaje?​
Bora kama anafanana na upande wa umamani, msala ni pale hafanani na upande wowote..
 
Unakuta mtoto hana mfanano wowote kwa upande wa baba au ndugu za baba yake; wengi sisi wababa huwa tunahisi, tumepigwa na kitu kizito kichwani.

Ingawa waswahili wanasema kitanda hakizai haramu; lakini kutokuwa na mfanano wowote huwa inatutesa sana.

Wakuu, hili huwa mnalichukuliaje?​
Mkuu umepigwa
 
Back
Top Bottom