Watoto wawili wa familia moja wapotea baada ya kuaga wanakwenda shule Julai 24, 2024

Vipato havilingani Bora huyo anaweza walikua daladala kuna wanaotembea kwa miguu tena umbali mrefu
Halafu ndo utaratibu (inavyoonekana) aliouzoea kuutumia wa kila siku kwa watoto hao. Hapo naona waulizwe vizuri konda na dereva wa hiyo daladala. Kama na hiyo daladala itatoweka/haitaonekana kwenye utoaji wa huduma, basi Tajiri/mmiliki wa hiyo daladala naye aulizwe.
 
Nafill maumivu ya huyo mama
 
Mungu asaidie wapatikane wakiwa wazima.!!
Hii dunia sijui inaenda wapi?
 
Cheka tena
 
Mkuu; kumbuka Mungu hadhihakiwi. Ukipenda(sio lazima) kaisome Gal.6:7-9
Awepo au asiwepo ww una hasara gani? Wewe mwache Mungu aitwe Mungu ww katafute pesa -na Inatosha.
 
Mkuu; kumbuka Mungu hadhihakiwi.
Wewe ndiye unasema, haya ni maneno yako tu na vitisho mlivyo pumbazwa vizazi kwa vizazi.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze mwenyewe aseme hadhihakiwi.
Ukipenda(sio lazima) kaisome Gal.6:7-9
Awepo au asiwepo ww una hasara gani?
Sina hasara yeyote, Niko hapa kukosoa habari za uongo kuhusu huyo Mungu mnayedai yupo ilhali kiuhalisia hayupo.
Wewe mwache Mungu aitwe Mungu ww katafute pesa -na Inatosha.
Kwani aliyekwambia sina pesa ni nani?

Mpaka unasema nikazitafute, Au unadhani kila mtu ni maskini wa kumwambia akatafute hela?
 
Mkuu; kumbuka Mungu hadhihakiwi.
Wewe ndiye unasema, haya ni maneno yako tu na vitisho mlivyo pumbazwa vizazi kwa vizazi.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze mwenyewe aseme hadhihakiwi.
Ukipenda(sio lazima) kaisome Gal.6:7-9
Awepo au asiwepo ww una hasara gani?
Sina hasara yeyote, Niko hapa kukosoa habari za uongo kuhusu huyo Mungu mnayedai yupo ilhali kiuhalisia hayupo.
Wewe mwache Mungu aitwe Mungu ww katafute pesa -na Inatosha.
Kwani aliyekwambia sina pesa ni nani, Mpaka unasema nikazitafute?

Au unadhani kila mtu ni maskini wa kumwambia akatafute hela?
 
Watu wamegeuka kuwa ni zaidi ya Lusiferi. Hawana kabisa hofu ya Mungu na wala hawajiulizi kwamba "Hivi ingekuwa ni mimi ningefanyaje"? Hao watoto malaika/innocent hawana hata uwezo wa kujitetea wanadhulumiwa tuu.
Huruma sana
 
Watu wamegeuka kuwa ni zaidi ya Lusiferi.
Lusiferi hajawahi kuwepo na hayupo.
Hawana kabisa hofu ya Mungu
Huyo Mungu Alishindwaje kuweka hofu kwa kila kiumbe kiwe na hofu juu yake?
na wala hawajiulizi kwamba "Hivi ingekuwa ni mimi ningefanyaje"? Hao watoto malaika/innocent hawana hata uwezo wa kujitetea wanadhulumiwa tuu.
Hao watoto wanadhulumiwa kwa vile huyo Mungu mnayedai ni mwema, mwenye ulinzi, mwenye upendo na huruma kwa watu wake Hayupo.
 
Hii ni mbaya sheria za kikoroni hizi, hayo masaa 24 waarifu wanayatumia kuvusha watoto boda au kwenda nao mbali, wakati taarifa ingetolewa mapema pengine wangeonekana na kuokolewa
 
Bi mkubwa anasema hizo ni drama.

Huyu IGP kama anashindwa kulinda Raia ni wa kazi gani??
 
min -me kumekucha kaka kashaanza huku
 
 
Hii Hali naona kama inataka kuzoeleka. Serikali hasa vyombo vya ulinzi na usalama visipokuwa makini raia watapata tabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…