Watoto wetu wa Siku hizi 'wamerogwa' au 'wamelaaniwa' na nani hasa kimalezi, kiuwajibikaji na kimaadili?

Watoto wetu wa Siku hizi 'wamerogwa' au 'wamelaaniwa' na nani hasa kimalezi, kiuwajibikaji na kimaadili?

Yaani kabisa (Mtoto) Mvulana au Msichana wa Darasa la Tano hadi la Saba anafuliwa Nguo zake, anaamshwa kwenda Shule, akila anaacha Vyombo mezani House Girl avitoe na anaamshwa Asubuhi kujiandaa kwenda Shule?

Na kinachonishangaza na Kunisikitisha zaidi unakuta Wazazi Wao kipindi cha Utoto (Udogo) Wao wamekula mno Msoto wa Kimalezi kutoka kwa Wazazi na Walezi ambao uliweza Kuwajenga vyema Kiakili na Kimaadili hatimaye leo wameyafikia Mafanikio waliyoyapata.

Nawashukuru mno Wazazi na Walezi wangu ambao kiukweli GENTAMYCINE nilipokuwa Mdogo walikuwa wakinipa (wakinifundisha) Majukumu mbalimbali ya Kimaisha (ya nyumbani na maishani) ambapo kwa Udunduna (Ujinga) wangu Kipindi hicho nilikuwa naona hawanipendi na Wananitesa ila nilivyokuwa na mpaka leo hii najiona ni mwenye bahati ya Kupewa Msoto ule na Wao kwani Wamenijenga vyema Kimalezi, Kiutu, Kiuwajibikaji na Kimaadili pia. Mwenyezi Mungu awabariki mno na sana.

Mitoto ya Siku hizi ikipigwa (ikichapwa) tu kidogo inaanza Kulia na Kudeka halafu Mzazi nae anamuacha na kuanza 'Kumbebisha' Mwanae wakati Kudadadeki enzi zangu GENTAMYCINE nikizingua tu 'Home' nilikuwa nakula Kipigo cha Kishalubela (Kitakatifu) kutoka kwa 'Mshua' na kabla sijakaa sawa Kuugulia (Kusikilizia) Maumivu Mjomba au Mzee wa Jirani nae (nao) wakija walikuwa wakinipa 'Vipondo' vile vile kwanini nisinyooke na kuwa na Adabu?

Tuliolelewa Kiukakamavu (Kijeshi) na Wazazi pamoja na Walezi wetu tumepata Faida Kubwa kuliko hawa Watoto (Vijana na Wasichana) wa Siku hizi (wa leo) ambao wanalelewa 'Kimayai' na 'Kivideo' zaidi ambapo tayari tunaokaa na Jamii tumeshaanza kuona Athari zake ambapo wengi wao ni Wapumbavu (Mapopoma) sana, hawana Adabu na wapo wapo tu.

Mitoto ya Siku hizi hata haipelekwi Vijijini (hasa wakati wa Likizo) ili kujifunza Maisha yote na Likizo zote wanabaki Dar es Salaam na kupelekwa tu Kuzurula katika 'Korido' za 'Mlimani City' wakati enzi zetu akina GENTAMYCINE ikifika tu Likizo Kudadadeki Safari Kijijini kwa akina Babu na Bibi na ukifika huko Unalima, Unachunga Ng'ombe, Unafundishwa Kuvua Samaki Ziwani na kuwakwepa Mamba wasikufanye Kitoweo chao cha Siku na unabeba Maji kutoka Mtoni kwa umbali wa Tegeta Nyuki na Mbagala Kipati na Maisha yanaenda hulalamiki.

Kizazi cha sasa 'Kimeharibika' Kimalezi!!!
Umenikumbusha mbali jembe la kukota na ng’ombe unaamka saa 10 kufunga jeki unalima hadi saa tatu. Ni mwendo wa kuhemerya si ntugho 😀😀😀

Ukizembea unakutana na mujeledi kwenye mgongo..
 
Yaani kabisa (Mtoto) Mvulana au Msichana wa Darasa la Tano hadi la Saba anafuliwa Nguo zake, anaamshwa kwenda Shule, akila anaacha Vyombo mezani House Girl avitoe na anaamshwa Asubuhi kujiandaa kwenda Shule?

Na kinachonishangaza na Kunisikitisha zaidi unakuta Wazazi Wao kipindi cha Utoto (Udogo) Wao wamekula mno Msoto wa Kimalezi kutoka kwa Wazazi na Walezi ambao uliweza Kuwajenga vyema Kiakili na Kimaadili hatimaye leo wameyafikia Mafanikio waliyoyapata.

Nawashukuru mno Wazazi na Walezi wangu ambao kiukweli GENTAMYCINE nilipokuwa Mdogo walikuwa wakinipa (wakinifundisha) Majukumu mbalimbali ya Kimaisha (ya nyumbani na maishani) ambapo kwa Udunduna (Ujinga) wangu Kipindi hicho nilikuwa naona hawanipendi na Wananitesa ila nilivyokuwa na mpaka leo hii najiona ni mwenye bahati ya Kupewa Msoto ule na Wao kwani Wamenijenga vyema Kimalezi, Kiutu, Kiuwajibikaji na Kimaadili pia. Mwenyezi Mungu awabariki mno na sana.

Mitoto ya Siku hizi ikipigwa (ikichapwa) tu kidogo inaanza Kulia na Kudeka halafu Mzazi nae anamuacha na kuanza 'Kumbebisha' Mwanae wakati Kudadadeki enzi zangu GENTAMYCINE nikizingua tu 'Home' nilikuwa nakula Kipigo cha Kishalubela (Kitakatifu) kutoka kwa 'Mshua' na kabla sijakaa sawa Kuugulia (Kusikilizia) Maumivu Mjomba au Mzee wa Jirani nae (nao) wakija walikuwa wakinipa 'Vipondo' vile vile kwanini nisinyooke na kuwa na Adabu?

Tuliolelewa Kiukakamavu (Kijeshi) na Wazazi pamoja na Walezi wetu tumepata Faida Kubwa kuliko hawa Watoto (Vijana na Wasichana) wa Siku hizi (wa leo) ambao wanalelewa 'Kimayai' na 'Kivideo' zaidi ambapo tayari tunaokaa na Jamii tumeshaanza kuona Athari zake ambapo wengi wao ni Wapumbavu (Mapopoma) sana, hawana Adabu na wapo wapo tu.

Mitoto ya Siku hizi hata haipelekwi Vijijini (hasa wakati wa Likizo) ili kujifunza Maisha yote na Likizo zote wanabaki Dar es Salaam na kupelekwa tu Kuzurula katika 'Korido' za 'Mlimani City' wakati enzi zetu akina GENTAMYCINE ikifika tu Likizo Kudadadeki Safari Kijijini kwa akina Babu na Bibi na ukifika huko Unalima, Unachunga Ng'ombe, Unafundishwa Kuvua Samaki Ziwani na kuwakwepa Mamba wasikufanye Kitoweo chao cha Siku na unabeba Maji kutoka Mtoni kwa umbali wa Tegeta Nyuki na Mbagala Kipati na Maisha yanaenda hulalamiki.

Kizazi cha sasa 'Kimeharibika' Kimalezi!!!
Mada murua sana.. Mie watoto wote mpka wa miaka minne. Anakula na kutoa vyombo mwenyewe... Pia kazi ndogo kama kamwaga maji namuita kudeki...

Nadhani sie wazazi au walezi ndio tunaharibu watoto...


Napenda sana mada hizi.. Kongole...
 
Mkuu hata kama kuna Dada wa kazi hapo Nyumbani,lazima na Watoto nao wajuwe kuwajibika au kumsaidia Dada kazi, maana Dada nae ni Binaadamu anaweza uguwa! Je kwa hiyo shughuli za Nyumbani zitasimama hadi Dada apone wakati una vijana hapo Nyumbani!?
Do you think that 'authentic Moron' can understand you Chief?
 
Zamani hata mke wa kaka akifa dogo unachukua mzigo, Zamani machief wakifa tulizika na vigori wao wazima.... Zamani Baba na Mama wote walikuwa wakulima na hushinda nyumbani zaidi ya 50% ya maisha yao....

Bwana Genta, ni mfumo tu wa maisha kubadirika, ndio maana hata malezi yamebadirika... siku hizi mama muajiriwa, baba muajiriwa wote hurudi nyumbani saa moja usiku....
 
Nitaomba Wataalam wa Kiswahili watusaidie Kutuelimisha hapa kwani nimekariri Kijana ( Vijana ) huwa ni Wavulana tu ila nimeona nawe hapa Umehoji kuwa je, Wasichana nao siyo Vijana?

Unaweza ukawa uko sahihi Mkuu na Mimi Kukosea ( Kukengeuka ) hivyo namuomba Ndugu Omi Sigala ( Mbobezi wa Lugha ya Kiswahili ) aje kutusaidia / kutuelimisha zaidi katika hili au hata JF Members wanaokijua vyema Kiswahili.


Wavulana Vs Wasichana
Vijana Vs Binti
 
Hii ya kudekeza watoto ni utamaduni mbaya sana, mtoto aliyekulia mazingira ya kujishughulisha kidogo huchangamka na kuwa imara sana linapokuja suala la kujitegemea.

Lakini hawa wanaodekezwa huwa hawana jipya sana, zaidi ya kuwa goigoi na hata kujitegemea kimaisha huwapa ugumu sana.

Wito wangu kwa wazazi hata Kama ni akina maisha Safi, Basi tujitahidi watoto angalau siku za weekend wamwagilie basi maua
 
Utaratibu wa maisha huwa unabadilika kutoka enzi kwenda enzi.

Hata hizo enzi ulizosimulia kuwa uliishi wewe, mambo uliyofanya au wazee wako kukuelekeza kufanya yapo tofauti na enzi nyingine nyuma zaidi ya hapo.

Mathalani, zamani zaidi mtu alirithishwa elimu isiyo ya darasani, baadaye kukaja kuwa na elimu ya darasani.

Zamani zaidi hakukuwa na mwingiliano sana baina ya jamii na jamii, wanadamu waliishi kijima lakini baadaye na hata sasa kuna mwingiliano mkubwa sana na hata jamii moja kufanya maisha na jamii nyingine yenye tamaduni tofauti tofauti.

Pia zamani hakukuwa na maendeleo ya mahali watu wanaishi kama ilivyo sasa, umetolea mfano wa namna mlivyokuwa mnaenda mbali kuteka maji. Lakini kwa sasa hili limepungua(bado kuna sehemu ni ishu), maji yanasambazwa na mamlaka na hatua hizi tumezipa jina 'maendeleo'
Kwahili mkuu wazazi tunawajibika kubeba lawama, ndio maana tangazo la serikali mwezi December kupiga marufuku tuition wakati wa likizo kubwa nimeliunga mkono mia kwa mia, watoto wabaki majumbani wajifunze skills za kijamii.

Mimi baada ya hawa wadada wa kazi kuzinguwa sasa hivi sitaki dada wa kazi wa kukaa naye, kazi za nyumbani tunafanya wote, mimi Father house ni mpishi mzuri sana experience nimeipata wakati nabeba box ughaibuni, watoto wote wanajuwa kupika basic African food, mama yao anaingia jikoni anapotaka kutengeneza masotojo ya kufa mtu.

Nyumbani kwangu ni sheria ukimaliza kula osha vyombo vyako weka kabatini na mimi ndio namba moja katika hilo kuwaonesha mfano kwa vitendo, pili ukitoka chumbani zima taa, tatu ukiwa unaoga ukijipaka sabuni funga kwanza shower then ndio ufunguwe shower kujisuuza, mita ya Luku ikizidi unit 6 kwa siku lazima nipate maelezo ya kuridhisha imekuwaje.

Wife anamleta day waka wa kufanya usafi kwa wiki mara moja au kila baada ya wiki mbili huyu ndio atafanya usafi muhimu tu labda na kuosha masufuria na kufuwa nguo, mapazia na mengineyo analipwa chake anasepa mpaka tumpigie simu.

Lakini pamoja na yote hayo bado naiona gape ya kimalezi kwa watoto wetu wa sasa.

Na tatizo kubwa tumewaachia walimu mashuleni watulele watoto huku tukisahau walimu wenyewe nao wamejaa stress kibao.

Niko barabarani nitarudi hapa nilipoishia
.....
 
Yaani kabisa (Mtoto) Mvulana au Msichana wa Darasa la Tano hadi la Saba anafuliwa Nguo zake, anaamshwa kwenda Shule, akila anaacha Vyombo mezani House Girl avitoe na anaamshwa Asubuhi kujiandaa kwenda Shule?

Na kinachonishangaza na Kunisikitisha zaidi unakuta Wazazi Wao kipindi cha Utoto (Udogo) Wao wamekula mno Msoto wa Kimalezi kutoka kwa Wazazi na Walezi ambao uliweza Kuwajenga vyema Kiakili na Kimaadili hatimaye leo wameyafikia Mafanikio waliyoyapata.

Nawashukuru mno Wazazi na Walezi wangu ambao kiukweli GENTAMYCINE nilipokuwa Mdogo walikuwa wakinipa (wakinifundisha) Majukumu mbalimbali ya Kimaisha (ya nyumbani na maishani) ambapo kwa Udunduna (Ujinga) wangu Kipindi hicho nilikuwa naona hawanipendi na Wananitesa ila nilivyokuwa na mpaka leo hii najiona ni mwenye bahati ya Kupewa Msoto ule na Wao kwani Wamenijenga vyema Kimalezi, Kiutu, Kiuwajibikaji na Kimaadili pia. Mwenyezi Mungu awabariki mno na sana.

Mitoto ya Siku hizi ikipigwa (ikichapwa) tu kidogo inaanza Kulia na Kudeka halafu Mzazi nae anamuacha na kuanza 'Kumbebisha' Mwanae wakati Kudadadeki enzi zangu GENTAMYCINE nikizingua tu 'Home' nilikuwa nakula Kipigo cha Kishalubela (Kitakatifu) kutoka kwa 'Mshua' na kabla sijakaa sawa Kuugulia (Kusikilizia) Maumivu Mjomba au Mzee wa Jirani nae (nao) wakija walikuwa wakinipa 'Vipondo' vile vile kwanini nisinyooke na kuwa na Adabu?

Tuliolelewa Kiukakamavu (Kijeshi) na Wazazi pamoja na Walezi wetu tumepata Faida Kubwa kuliko hawa Watoto (Vijana na Wasichana) wa Siku hizi (wa leo) ambao wanalelewa 'Kimayai' na 'Kivideo' zaidi ambapo tayari tunaokaa na Jamii tumeshaanza kuona Athari zake ambapo wengi wao ni Wapumbavu (Mapopoma) sana, hawana Adabu na wapo wapo tu.

Mitoto ya Siku hizi hata haipelekwi Vijijini (hasa wakati wa Likizo) ili kujifunza Maisha yote na Likizo zote wanabaki Dar es Salaam na kupelekwa tu Kuzurula katika 'Korido' za 'Mlimani City' wakati enzi zetu akina GENTAMYCINE ikifika tu Likizo Kudadadeki Safari Kijijini kwa akina Babu na Bibi na ukifika huko Unalima, Unachunga Ng'ombe, Unafundishwa Kuvua Samaki Ziwani na kuwakwepa Mamba wasikufanye Kitoweo chao cha Siku na unabeba Maji kutoka Mtoni kwa umbali wa Tegeta Nyuki na Mbagala Kipati na Maisha yanaenda hulalamiki.

Kizazi cha sasa 'Kimeharibika' Kimalezi!!!
Wazazi wa siku hizi wamezidi upopoma aisee, ndio maana hata watoto wao wapo hovyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani hata mke wa kaka akifa dogo unachukua mzigo, Zamani machief wakifa tulizika na vigori wao wazima.... Zamani Baba na Mama wote walikuwa wakulima na hushinda nyumbani zaidi ya 50% ya maisha yao....

Bwana Genta, ni mfumo tu wa maisha kubadirika, ndio maana hata malezi yamebadirika... siku hizi mama muajiriwa, baba muajiriwa wote hurudi nyumbani saa moja usiku....
Mama muajiliwa halafu bill zote kwa Baba, kama si uhayawani huu ni nini?

Kwa nini kina mama nao wasife mapema na hawapati stroke kama Wababa?
 
Mada murua sana.. Mie watoto wote mpka wa miaka minne. Anakula na kutoa vyombo mwenyewe... Pia kazi ndogo kama kamwaga maji namuita kudeki...

Nadhani sie wazazi au walezi ndio tunaharibu watoto...


Napenda sana mada hizi.. Kongole...
Actually haya mambo ya self reliance ndio ilitakiwa wafundishwe watoto wa kindergarten. Wajue kutandika vitanda vyao na kuosha sahani baada ya kula. Sio kuwabebesha marundo ya madaftari
 
Kwenye mabano yako (Vijana na Mabinti).
Ulilenga nini?
Means mabinti sio Vijana?
Hahaa! Mkuu ametumia maudhui ya kizamani, zamani mwanamke lazima atambulishwe kupitia jinsia yake.
ulikuwa uwezi kumwita mtoto wa kike kijana wangu. Hata kwenye vitabu vya dini mfumo huu umetumika sana.
Mf. kutoka 20:10, kutoka 32:2
 
Kwahili mkuu wazazi tunawajibika kubeba lawama, ndio maana tangazo la serikali mwezi December kupiga marufuku tuition wakati wa likizo kubwa nimeliunga mkono mia kwa mia, watoto wabaki majumbani wajifunze skills za kijamii.

Mimi baada ya hawa wadada wa kazi kuzinguwa sasa hivi sitaki dada wa kazi wa kukaa naye, kazi za nyumbani tunafanya wote, mimi Father house ni mpishi mzuri sana experience nimeipata wakati nabeba box ughaibuni, watoto wote wanajuwa kupika basic African food, mama yao anaingia jikoni anapotaka kutengeneza masotojo ya kufa mtu.

Nyumbani kwangu ni sheria ukimaliza kula osha vyombo vyako weka kabatini na mimi ndio namba moja katika hilo kuwaonesha mfano kwa vitendo, pili ukitoka chumbani zima taa, tatu ukiwa unaoga ukijipaka sabuni funga kwanza shower then ndio ufunguwe shower kujisuuza, mita ya Luku ikizidi unit 6 kwa siku lazima nipate maelezo ya kuridhisha imekuwaje.

Wife anamleta day waka wa kufanya usafi kwa wiki mara moja au kila baada ya wiki mbili huyu ndio atafanya usafi muhimu tu labda na kuosha masufuria na kufuwa nguo, mapazia na mengineyo analipwa chake anasepa mpaka tumpigie simu.

Lakini pamoja na yote hayo bado naiona gape ya kimalezi kwa watoto wetu wa sasa.

Na tatizo kubwa tumewaachia walimu mashuleni watulele watoto huku tukisahau walimu wenyewe nao wamejaa stress kibao.

Niko barabarani nitarudi hapa nilipoishia
.....
Nimecheka sana hapo uliposema Mtu akioga anatakiwa akijipaka Sabuni Kichwani ahakikishe amefunga Bomba na siyo Kumwaga Maji hovyo.

Nahisi Maisha ya Kwako na ya Kumbi zetu za Mafunzo ya Kijeshi hayapishani sana. Yaani kila nikirejea Kusoma hii post yako navunjika tu Mbavu kwa Kucheka.
 
Zamani hata mke wa kaka akifa dogo unachukua mzigo, Zamani machief wakifa tulizika na vigori wao wazima.... Zamani Baba na Mama wote walikuwa wakulima na hushinda nyumbani zaidi ya 50% ya maisha yao....

Bwana Genta, ni mfumo tu wa maisha kubadirika, ndio maana hata malezi yamebadirika... siku hizi mama muajiriwa, baba muajiriwa wote hurudi nyumbani saa moja usiku....
Hii ndilo tatizo..umaacha malezi yote kwa mdada wa kazi yeye ndie ajue kama mtoto anaumwa au la, mtoto amefanya kazi za nyumbani alizopewa shule au la, dada wa kazi ndie ajue mtoto anacheza wapi na nani? ndio maana siku hizi visa vya watoto wa kiume kuwa mashoga vimeongezeka, na watoto wa kike kuanza kujishughulisha na mapenzi wakiwa na umri mdogo..maana wazazi wako "busy" kutafuta maisha bora ya hao watoto bila kujali makuzi yao!

Mimi zamani watoto wangu ilikuwa ikifika wakati wa kula chakula watakuja mezani watapakuwa kisha kila mtu atatafuta sehemu yake anaenda kula...nilona hilo ni tatizo sasa hivi sote twala hapo hapo mezani....hii imeniwezesha kujua table manner zao lakini imenipa nafasi ya kuwa nasikiliza matatizo yao na pia kuwapa ushauri!
 
Nimecheka sana hapo uliposema Mtu akioga anatakiwa akijipaka Sabuni Kichwani ahakikishe amefunga Bomba na siyo Kumwaga Maji hovyo.

Nahisi Maisha ya Kwako na ya Kumbi zetu za Mafunzo ya Kijeshi hayapishani sana. Yaani kila nikirejea Kusoma hii post yako navunjika tu Mbavu kwa Kucheka.
Hiyo ni new version tu, old version wakati tunaogea kopo wazazi walikuwa wanatunyowa nywele, tusifuge minywele ya kumaliza sabuni.

Kwa sababu tunapunguza bill ya Dawasa.
 
Back
Top Bottom