Watu 7 mbaroni tuhuma za kumteka mwanamke Dar wakitaka kupatiwa dola milioni 3.5 kutoka familia ya mhanga

Msomali mwenye uraia wa Canada. Wamezoea kuteka meli na kushikilia mateka wakdiai walipwe naona alitaka kuja kuapply hiyo formula hapa
Kweli ana asili ya kisomali.

Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.

Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
 
Kweli ana asili ya kisomali.

Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.

Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Yah wengi wakienda canada wanatoboa sana.
Easy money, huenda walitazama movie. 3.5 milion dollars si mchezo
 
Napendekeza kunyongwa hawa watu, wasituletee ugaidi hapa Tanzania.
 
Mara paaap

Mwendesha mashtaka hana nia ya kuendeles na kesi. Basi case closed

Waliotunga hiyo sheria na kumpa raia mmoja nwendesha mashtaja madaraka makubwa hivyo walikosea sana

Too much room for corruption
 
Armed Robbery hapo inaingiaje mkuu!
 
Kweli ana asili ya kisomali.

Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.

Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Hapa kuna story nyuma ya pazia, huyu binti anatoka familia ipi? Hawa watekaji walimjuaje? Huyu raia wa canada alifikaje nchini?
 
Kweli watekaji wakamatwe tu ka machinga? Kusiwepo hata kurupushani za mmoja kuliwa ya kichwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…