Espoir_jnr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 489
- 1,934
Kweli ana asili ya kisomali.Msomali mwenye uraia wa Canada. Wamezoea kuteka meli na kushikilia mateka wakdiai walipwe naona alitaka kuja kuapply hiyo formula hapa
Yah wengi wakienda canada wanatoboa sana.Kweli ana asili ya kisomali.
Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.
Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Napendekeza kunyongwa hawa watu, wasituletee ugaidi hapa Tanzania.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa saba kwa tuhuma za kupanga njama, kumtishia kwa silaha, na baadaye kumteka mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29) Mkazi wa Masaki, Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashilia watuhumiwa saba kwa madai ya kupanga njama, kumtishia kwa silaha na kumteka mwanamke aaliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29), mkazi wa Masaki.
Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro leo Oktoba 30, 2023 amesema tukio la kumteka binti huyo lilitokea Oktoba 16, 2023.
βTukio hili limetokea Oktoba 16, 2023 saa nne asubuhi wakati Hani Hussein akiwa anaendesha gari lake aina ya Toyota Rav4, ghafla akiwa eneo la Msasani Village alisimamishwa na sehemu ya kundi la watuhumiwa hao na kuingia ndani ya gari, kumtishia kwa silaha, kumteka na kuelekea maeneo ya Mbezi Beach mtaa wa ujirani ambako walimshikilia kwa nguvu kwa siku nne huku wakidai fedha kwa vitisho kwa baba wa mtekwaji kuwa asipotoa kiasi cha Dola za Marekani 3.5 milioni mtoto wake angepoteza maisha.
"Baada ya kupata taarifa ya tukio hilo, Jeshi la Polisi lilianza ufuatiliaji wa na Oktoba 19 tulifanikiwa kumuokoa na kuwakamata watekaji wote wakiwa na gari walilomteka, pamoja na silaha ilyotumika Pistol Glock 19 iliyotengenezwa Austria ikiwa na risasi 4," amesema Kamanda Muliro.
Amewataja watuhumiwa waliokamatwa kuwa ni Hassan AbusherNur (39) raia wa Canada mwenye asili ya Somalia na mkazi wa Msasani, Nathan Lungumisa (27), Fredick Chahonza (49), Assad Abdurasur (43), Fahad Mussa (32), Ilfan Saleh (41) na Nicolas Nilay (39).
Aidha ameeleza kuwa tayari upelelezi na watuhumiwa wote watafikishwa Mahakama ya Kisutu kwa hatua zaidi za kisheria.
MWANANCHI
Hapa umenitaja kwa Mantiki ipi labda?Hii imekuwaje mbona ilikuwa kimya kimya sana mzee GENTAMYCINE
Mtaalamu wa investigative reportsHapa umenitaja kwa Mantiki ipi labda?
Raia wa Canada anateka mtu katika Developing country na kudai pesa.
Ama kweli yajayo yanafurahisha.
Acha roho mbaya kakaUshaambiwa Msomali ni yaleyale mashetani tu
Lofa yani uwe upo upo tu...[emoji1787]Uwe tajiri ni shida uwe maskini ni shida, bora kuwa nani?
Honestly waasomali nawaogopa miaka yote tangu nipo mdogo sijui kwanini nawaonaga ni watu wakatili sana na roho mbayaRaia wa Canada mwenye asili ya Somalia.
Armed Robbery hapo inaingiaje mkuu!Daah. Jamaa wana kesi nzito.
Armed robbery 20 years without parole.
Car jacking 15-20 years without parole.
Kidnapping I dont know how many years.
Hapo pia wataongezewa na Attempted rape
Pia wataongezewa attempted murder
Wataongezewa bodily harm.
Duh. Hapa hawachomoki hawa maharamia.
Yani. Hivi kale kakitabu ka Penal code alikatunga nani! Kana adhabu kali kali kweli.
BashiteUwe tajiri ni shida uwe maskini ni shida, bora kuwa nani?
Roho mbaya si hao wanaenda kumtisha mtu kwa silaha na kudai dola mil 3.5 Ransom.Acha roho mbaya kaka
Mpaka hy 1m ipatikane wapendwa majambazi wameshakuchoka wamekuachia huru msituni huko πBaba itakuwa yupo vizuri,
Mwenzangu na mimi hata wakikuambia M1 ni kakukoo kakae kikao,
Poyoyo! πππUwe tajiri ni shida uwe maskini ni shida, bora kuwa nani?
Hapa kuna story nyuma ya pazia, huyu binti anatoka familia ipi? Hawa watekaji walimjuaje? Huyu raia wa canada alifikaje nchini?Kweli ana asili ya kisomali.
Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.
Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Kuna kilevi wanatumisRaia wa Canada anateka mtu katika Developing country na kudai pesa.
Ama kweli yajayo yanafurahisha.