Watu 7 mbaroni tuhuma za kumteka mwanamke Dar wakitaka kupatiwa dola milioni 3.5 kutoka familia ya mhanga



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubaya sasa hapo tayari walikuwa na fikra zile wakizipata hizo pesa huyu ataenda huku, huyu atanunua hiki, huyu mtaa watamkoma mwisho wa siku kuozea jela maana baba wa binti anaonekana sio wa kitoto.
 
Naona yupo na Nicolaus wengine ni wa baba mdogo.

Hilo ndilo jeshi la polisi siyo lile tulilolizoea.
 


Matatizo ta kuangalia movie haya, Mnapiga simu kwa Mzazi kawaida kwa kutumia data na minara ya Tanzania. Lazima washikwe, jinga kabisa hizi. $3.5m sio mchezo, eneo lenyewe Mbezi beach, watasota ndani sana.
 


Punguza kuangalia ID extra
 
Kweli ana asili ya kisomali.

Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.

Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Hata Ulaya wazungu wanateka watu na kisha wanadai pesa.
 
Huyu baba yake ni tajiri ndo mwenye lile Jengo la Baraka plaza lilipakana palm village pia Ana apartment nyingi tu mjini anamiliki machine za MRI&CT scan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…