Ya huyo D unaweka kwa ajili ya kutishia watoto wanywe uji au 😣
Pambo la nyumba...Ya huyo D unaweka kwa ajili ya kutishia watoto wanywe uji au 😣
Baba, mama, mimi na mke wangu.Kutokana na nafasi zao na michango yao katika jamii, mimi bila kupoteza muda picha za Bob Marley, Patrice Lumumba na Nelson Mandela zipo ukutani nyumbani kwangu. Hao watu ni vielelezo vya wanaharakati waliojitoa kwa ajili ya kupambania haki za wengine hasa mtu mweusi.
Je, kwa upande wako ni watu gani watatu mashuhuri unaweza ukabandika picha zao nyumbani kwako?
View attachment 2221681
Kikwete kabisa?Ok.
1.mwl. Nyerere
2.Gaddaf
3.magufuli
4.kikwete
1.bob Marley
2.joseph hill (culture)
3.luck dube
3. Mbowe
1.pro jay
2.sugu
3.2pac A Shakur
4.koffi Olomide
1.baba yangu & his wife
2. Mke wangu
3.watoto wangu
4.MIMI
Oyaa man watu muhimu ni wengi mpaka roho inauma man
"Who Shot Ya""You claim to be a player but i fucked your wife"
🤣🤣 Nawakubali sana japo siwezi weka picha zao ila nawakubali mno.Kulia anakaa Gal Gadot, kati nakaa mwenyewe kushoto Emilia Clarke.
ww km mm tu ila mm nkishaweka ntazishusha zote na kuzipiga kibo match mchana kweupe1. John Pombe Joseph Magufuli 2. John Pombe Joseph Magufuli 3. John Pombe Joseph Magufuli
ohoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]1. Sabaya
2. Jumalokole
3. Makonda
Ila mandela ali surrender akaiacha SA kwa makaburu hadi leo wazawa wana fursa finyu kuliko makaburu. Miji yote mikubwa na prime areas wanaishi makaburu na mwafrika hatakiwi kukatiza. Kuna beaches mtu mweusi haendi.Kutokana na nafasi zao na michango yao katika jamii, mimi bila kupoteza muda picha za Bob Marley, Patrice Lumumba na Nelson Mandela zipo ukutani nyumbani kwangu. Hao watu ni vielelezo vya wanaharakati waliojitoa kwa ajili ya kupambania haki za wengine hasa mtu mweusi.
Je, kwa upande wako ni watu gani watatu mashuhuri unaweza ukabandika picha zao nyumbani kwako?
View attachment 2221681