Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Mwisho wa hayo maisha ya namna hiyo ni lini?Unawatembelea mda gani? Natika home saa 11 alfajiri, narudi saa 3 usiku, watoto na mke wamelala.
Weekend:
- Gari service
- Shopping.
- Ibada.
- Kukaa na watoto.
- Kukaa uchi na shemeji yako...
Nitembelee ndugu saaa ngapi?
Mwisho wa hayo maisha ya namna hiyo ni lini?
Ina maana kwa sasa hatuwezi, kuubadilisha huo mfumo?Hauleti furaha lakini thats the way its supposed to be. Sometimes vitu vinabadilika mkuu, whether you like it, or not.
Kiukweli mkuu ni ngumu. Huwezi kubadili mtazamo wa mtu.Ina maana kwa sasa hatuwezi, kuubadilisha huo mfumo?
Tatizo ilikuwa ni nini, mazingira aliyopo kwa sasa sio rafiki au ulihisi kuna tatizo gani?Hiyo ipo sana watu wanakukataa. Mwanangu nilimbeba maghetoni kwa muda life likasonga akaenda mji mwengine, wakati tukiwasiliana ananiambia ukija huku we nicheki tu mwanangu we damu yangu. Mungu si Athumani nikatia timu ule mji kwa mishe zangu baada ya siku kadhaa pale one day nikamcheki tukaongea fresh tu. Ile kumjulisha tu nipo maeneo ya ule mji mwana akanikataa.
Inawezekana ikawa kweli, lakini kwa nini kuwa bize mpaka siku ya ibada, nini maana ya maisha?Naona alikuwa busy kweli. Next time moe.muda wa kutosha na uende wakati hana kazi.
Binafsi sijaona tatizo lolote hapo, hakuwa na nafasi hiyo siku.
Kwani ibada ya Kikristo ni kutwa nzima? Kwa sisi Waislam ibada ni kila siku.Inawezekana ikawa kweli, lakini kwa nini kuwa bize mpaka siku ya ibada, nini maana ya maisha?
Ina maana binadamu wa sasa hawaaminiki, kuliko binadamu wa miaka 30 iliyopita? Na ni kitu gani kilichosababisha hiyo hali?Yanapunguza kufatiliana na kurogana na kuoneana wivu......
Muongo Muongo tu alisema yupo busy na hapo nilipokuepo na eneo alilokuwepo ni kama 200M tu. Kichwani nikajua tu huyu hataki shobo za kijinga, nikamwambia fresh nipo leo na kesho akasema atanicheki ndio ikatoka hiyo mpaka leo.Tatizo ilikuwa ni nini, mazingira aliyopo kwa sasa sio rafiki au ulihisi kuna tatizo gani?
Na kifo ni hitimisho; utajivunia hapa duniani ulifurahia nini?Kifo.
Ni sehemu ya kujifunza na kujipanga upya, ingawa inaumiza sanaKiukweli mkuu ni ngumu. Huwezi kubadili mtazamo wa mtu.
Mwisho wa siku lazima uamini tu, nyakati hizi utu hawaupi uthamaniKwani ibada ya Kikristo ni kutwa nzima? Kwa sisi Waislam ibada ni kila siku.
Halafu si kishakwambia "mambo yameingiliana" anakwenda kukagua hesabu za biashara yake?
Kwanini humuamini?
Hakika mkuu. Kwa sasa hata vijana walio single ni wengi kuliko walio kwenye mahusiano. Wengi wana hook up then maisha yanaendeleaNi sehemu ya kujifunza na kujipanga upya, ingawa inaumiza sana
Utu wa kwanza kabisa ni kuwa na imani na moyo wako, amini unachoambiwa na watu unaofahamiana nao mpaka uthibitishe vinginevyo. Usiwe mtu wa kutilia watu mashaka, utakosa amani ya moyo.Mwisho wa siku lazima uamini tu, nyakati hizi utu hawaupi uthamani
Upo sahihi. Tupo kwenye cultural shockHakika mkuu. Kwa sasa hata vijana walio single ni wengi kuliko walio kwenye mahusiano. Wengi wana hook up then maisha yanaendelea
Mfumo huu wa maisha ulikuwa states (Marekani) lakini slowly unaenea ulimwenguni.
Ni kweli 'no sweat no sweet' lakini ni kwa muda gani? Ata mambo ya kijamii hayapo, nini maana ya kuishi?
Sikiliza nyimbo hii. Maswali yote unayojiuliza yameshajibiwaBinafsi, maisha ya namna hiyo unayafurahia?
Ni upumbavu kutokupanga kutembeleana na kujuliana hali uso kwa macho. Mimi mpaka leo tunatembelea ndugu, rafiki na jamaa maisha na ndohaya haya.
Kuna wengine wanajifanya wako busy ila mda wa kukaa bar, kuzini na kula bata wanao sindo yaleyale sasa.