Familia zikipata/zikipewa umuhimu katika ngazi ya chini mambo yatakaa sawa,Kwa kuanza na majirani zako ndugu jamaa na marafiki,maana huwezi kuenda Kwa watu walioko mbali kuwatembelea wakati jirani zako umewasahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app