Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #121
Na wao watakuja kukutembelea ukipatwa na hayo matatizo; je ndivyo maisha yanatakiwa kuwa?Mi binafsi nilishaachaga kutembelea watu unless kuna tukio.
1.Kuna mgonjwa
2.Msiba
3.Sherehe(hadi waniarike)
4Mtu kajifungua mtoto.
Otherwise Niko bize na maisha yangu vibaya sana.