YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Yeye anakutafuta?
Mara nyingi sana, naweza kukuta missed call nitasema nitampigia baadae, lkn mambo mengi nasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye anakutafuta?
Wazee wetu wa zamani, waliwezaje?
Tatizo lipo kwakoMara nyingi sana, naweza kukuta missed call nitasema nitampigia baadae, lkn mambo mengi nasahau
Na hii inathibitisha nyakati hizi hatuzalishi bidhaa za kutosha, ndio maana tunategemea fedha ndio awe muamuzi badala ya kuwekeza kwenye uzalishaji.Upatikanaji wa pesa haukua kipaumbele kwao
Na hii kuwa bize sana kwenye kutafuta hela, inapelekea kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadiliUbize wa maisha utatufanya watoto wetu waoane wenyewe kwa wenyewe utakuta mtoto wa bamkubwa anaanzisha mahusiano na mtoto wa bamdgo hii yote kutokutembeleana so kadhara yapo pia
Maisha ni kutafuta nini?maisha ni kutafuta sio kutafutana
sababu uliyoiainisha ndio jibuMaisha ni kutafuta nini?
Kutafuta haikuanza leo, tangu enzi za kina Zinjanthropus walikuwa wanatafuta, lakini ujamaa ulikuwepo; ila kwa kuwa sisi tunaiga tamaduni za kigeni, ndio zimetuleta hapa tulipo.sababu uliyoiainisha ndio jibu
Dunia imeharibikaKuna mzee mmoja nilikutana naye eneo moja la kazi miaka 12 iliyopita, na katika mazingira ya kazi tulikuwa tukiheshimiana sana, na tulikuwa tukiishi kama familia; leo tukale wapi au kunywa wapi, mara moja moja ilikuwa ni kitu cha kawaida.
Baada ya muda kupita aliamua kung’atuka na kwenda kujikita kwenye biashara zake katika mkoa mwingine.
Miezi miwili iliyopita, nilipata kasafari katika mkoa aliopo; nikaamua kumtafuta huyo mzee kwa njia ya simu, ili angalau niweze kuonana naye na tuweze kuzungumza mawili matatu; kama binadamu wanavyotakiwa kuishi.
Bahati nzuri, ilikuwa ni siku ya jumapili.
Mzee alifurahi sana, kupokea simu yangu na tukakumbushana mengi, na pia nikamwambia nipo hapa mkoani, naomba kama inawezekana angalau nije nikujulie hali.
Mzee akanijibu, samahani sana mambo yameingiliana, ndio najiandaa hapa kuelekea kwenye biashara yangu, kukagua mapato.
Alivyoniambia hivyo nikajiongeza na kumuambia, ‘’basi siku nyingine kama nafasi itapatikana, tutaonana tuombe uzima’’
Baada ya hapo nikasoma kitabu cha maandiko kama aya mbili hivi, ndipo nikahitimisha kwa kusema, maisha ya sasa hayahitaji kutembeleana kwa ajili ya kupiga stori; bali ni kutembeleana kwa malengo ya kwenda kupeana fursa za ‘win/win situation’
We una mtazamo gani?
Lakini ile kujuliana hali inaweza kupelekea mabadiliko ya kiuchumiUnakuta mtu ana maisha magumu alafu ghafla unataka uende ukamtembelee wakati huo huo anaishinchumba kimoja..lazima skate mawasiliano
Huu utamaduni tumeutoa wapi?sasa hivi mtu unaonana na familia yako tu - mkeo/mumeo na watoto wenu.
people don't have the best interest in you. unafiki ni mwingi sana. naongea kwa experience.Huu utamaduni tumeutoa wapi?
Hapo kwenye Technology HapoSio watu hawataki mkuu.
Minaona kama maisha yamebadilika sana, pesa imekua mbele kwenye kila kitu.
Dunia imekua uwanja wa fujo na hata hata wazazi wamekua bize na kufanya kazi kuliko kufanya malezi.
Teknolojia nayo imerahisisha salam ambayo zamani tuliita ni nusu ya kuonana.
We mara ya mwisho kumtembelea mshikaji wako nilikuwa lini?Kuna mzee mmoja nilikutana naye eneo moja la kazi miaka 12 iliyopita, na katika mazingira ya kazi tulikuwa tukiheshimiana sana, na tulikuwa tukiishi kama familia; leo tukale wapi au kunywa wapi, mara moja moja ilikuwa ni kitu cha kawaida.
Baada ya muda kupita aliamua kung’atuka na kwenda kujikita kwenye biashara zake katika mkoa mwingine.
Miezi miwili iliyopita, nilipata kasafari katika mkoa aliopo; nikaamua kumtafuta huyo mzee kwa njia ya simu, ili angalau niweze kuonana naye na tuweze kuzungumza mawili matatu; kama binadamu wanavyotakiwa kuishi.
Bahati nzuri, ilikuwa ni siku ya jumapili.
Mzee alifurahi sana, kupokea simu yangu na tukakumbushana mengi, na pia nikamwambia nipo hapa mkoani, naomba kama inawezekana angalau nije nikujulie hali.
Mzee akanijibu, samahani sana mambo yameingiliana, ndio najiandaa hapa kuelekea kwenye biashara yangu, kukagua mapato.
Alivyoniambia hivyo nikajiongeza na kumuambia, ‘’basi siku nyingine kama nafasi itapatikana, tutaonana tuombe uzima’’
Baada ya hapo nikasoma kitabu cha maandiko kama aya mbili hivi, ndipo nikahitimisha kwa kusema, maisha ya sasa hayahitaji kutembeleana kwa ajili ya kupiga stori; bali ni kutembeleana kwa malengo ya kwenda kupeana fursa za ‘win/win situation’
We una mtazamo gani?