Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Nitafsirie mkuu icho kinge
 
Speaker wa kwanza Tanzania mwanamke
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Kwani viongozi huwa wanafanya uchakataji kwenye ziara zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…