Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Bongo ukifa kwa stress umejitakia [emoji119]Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo ukifa kwa stress umejitakia [emoji119]Yesu
Ana watotoThabo Mbeki
Huna akili mwehu weweYesu
Allan Kabaselle alikuwa Akudo soundPepe kale anamtoto
In God we trust
Pole pole Hana kid? Are you sure?
Dr.kamuzu Banda (wa muyaya) the life President of Malawi haijawahi kuwa na biological kids! Ndoa yenyewe ilikua just ceremonial!Hastings Kamuzu Banda alkua na watoto 3....no research no right 2 speak!
Sent using Jamii Forums mobile app
hawakuwahi kuwa na watotoTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Ni majina tu wakina Banda Ni Kama wakina mapunda au Chacha, kwa Malawi na Zambia jina Banda is common! Tu mchezaji wa Simba Peter BandaDuu kumbe Joyce Banda ni mtoto wa nje?
Hujui kama walitaka "kujaliwa" mtoto au ni maamuziSekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto.
Punguza kulalamikahawakuwahi kuwa na watoto
sio hawakuwahi kupata
hujui kama walitaka kupata
Albert Eistein alikuwa kijogoo alishawahi kuoa mara mbiliI was looking for this reply.
One of the founding father of modern physics and mathematics. He laid the foundation for modern scientist like Albert Einsteen and others.
Never got married or have children.
Janeth Jackson kazaa1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Nimeshangaa kuona unatumia siemens C55!Hv bado zipo?Zari akizaa mtoto sasa hivi baada ya jamaa yake kufa,atakuwa wake diamond
from Katesh using Siemens C55
Nyingi sana mitaani na ni mpyaaaa!Nimeshangaa kuona unatumia siemens C55!Hv bado zipo?