Eh! Hayo ya kukasirika yanatoka wapi tena? Muhimu kuelewa ni kwamba hata wale ambao waliguswa na utawala wa Magufuli hata kama walistahili ila nao watasema Magufuli ni shetani na Kikwete kutokana na uongozi wake wa kishikaji ndio ndio moja ya sababu ya kuitwa dhaifu.Kumbe? Sasa akiitwa shetani usikasirike
Magufuli pia kutokana na kuteka, kubambikiza kesi, kuua, kufunga na kufilisi watu ndiyo sababu anaonekana shetaniEh! Hayo ya kukasirika yanatoka wapi tena? Muhimu kuelewa ni kwamba hata wale ambao waliguswa na utawala wa Magufuli hata kama walistahili ila nao watasema Magufuli ni shetani na Kikwete kutokana na uongozi wake wa kishikaji ndio ndio moja ya sababu ya kuitwa dhaifu.
Kama ni hivyo sawa, japo hata ukiwa mzinzi unaweza kuitwa shetani.Magufuli pia kutokana na kuteka, kubambikiza kesi, kuua, kufunga na kufilisi watu ndiyo sababu anaonekana shetani
Nalooli malafyaleKangi mbombo ngafu
Tumpe nchi huyuJamaa kajichomaa, hapo Kila kitu chake kitaanza kwenda mraba 🤣
Ila nampongeza sana Kwa ujasiri, uthubutu na uzalendo wa hali ya juu
And I have liked this simple understandable English my friend.Big animals eat small animals
Ngafu gwamyitu😎Kangi mbombo ngafu
Hii sinema tu mzee [emoji1]wamiliki wa timu ya ihefu hawwezi kukosekana kwenye hilo kundi
Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?Bonde la Ihefu limeharibika kabla hata Magufuli hajawa Rais
Magufuli alichoweza ni kuua na kufunga tu watu wa Chadema, hakuweza kingine chochote
Mbona hakuweka hadharani taarifa ya akina Bashiru kuhusu maliza CCM na wanaozitafuna?Tukubali au tusikubali, JPM alikuwa CHUMA, ndo maana haya madudu hayakufanyika wakati wake.
Kazikwe nae ChatoKwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Wewe akili yako fupi kama mkia wa mbuzi,sasa mambo ya kuzikwanae yameingiaje,Wapambe wa Samia mnashinda.Kazikwe nae Chato
Umeme ulikuwa unakatika bila hata taarifa nani angehoji. Sasa hivi tunapewa taarifa.Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Labda wakati huo ulikuwa sehemu ambayo hapakuwa na umeme ndo maana hujui kama ulikuwa unakatika.Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Mbalino makazi ya chifu. Nyumba ya ghorofa mbili ya chifu Merere wa Utengule Usangu Mbeya.
View attachment 2453211
Picha: Makazi ya chief Merere wa Usangu ambaye ukoo wake ulikuwa ukikaribisha wageni toka sehemu za mbali ndani ya Tanganyika pia hadi pembe ya Afrika na hii kufanya himaya yao kuwa na washirika wenye nguvu kulinda himaya ya Usangu na pia kuleta mabadiliko chanya kupitia wadau wa maendeleo toka enzi za miaka ya 1800s
View attachment 2453213
Ngoma ya utamaduni 'yailya' mbele ya iliyokuwa kasri ya Chief Merere wa Usangu
Mwendo wa kukaribia Mbalino makazi rasmi ya Chifu wa Usanga aliyekuwa maarufu nyanda hizo za Utengule kusini magharibi ya Tanganyika
View attachment 2453212
Habari za Utengule Usangu na Chief Merere wa Usangu kwa hisani kubwa ya source : THE CRUMBLING HERITAGE OF THE SANGU
View attachment 2453216
Chief Salehe Alfeo Merere mwaka 2018
View attachment 2453215
Soma zaidi : source : BOMA LA CHIFU MERERE WA USANGU LINAVYOWAVUTIA WAGENI KUTEMBELEA