Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi

Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi

Okay tutajitahidi, ila msitufungie vioo kila wakati muda mwingine furahini kutuona.

Upendo kwa nduguzo ni muhimu, hata Mungu ni Upendo pia.
Sisi hatuna shida na kupokea ndugu
Utajiri wa kwanza duniani ni ndugu.

Ila sasa watoe taarifa.
Siyo mtu hatujawahi wasialiana,, hata namba za simu hatuna... Ulishatafuta Kwa kufikia, hukunitaarifu hata kama unasafiri.
Unakuja kunitafuta ghafla baada ya formation zako kufeli.
 
Kuna ndugu zetu walisema Mzee anataka kuja hosp
Tukawaambia sawa,ila sisi tunashinda kazini kama wanga saa 11 asbh tunaondokakurudi nj usiku saa3,hivyo kama ni kuja basi aje na kijana ambaye atamsaidia Mzee .
Wakaona tunawabania..
Kwahiyo wakaahirisha kuja kwetu..wakasafiri kimyakimya.

Kumbe kule Kaka yao alimtafuta schoolmate wake,ambaye hata walikuwa hawawasiliani...akamwambia awapokee ndugu zake hao.

Jamaa eti wamewasiliana vizuri, baadaye akapotea hewani.
Alipotea mazima.


Sisi hatuna hili wala lile,Saa2 usiku tunapigiwa simu na hao wasafiri kututaarifu kuwa wapo njiani ,tuende kuwapokea,,na wamekaribia Mbezi.
Imagine mtu hakukutafuta hata kukujulisha kama anasafiri,,anakuja kushtua tu usiku huohuo ukampokee.
Tulishakula ,tunajiandaa kulala.

Tukaanza kuhaha kupika upya,,it's tiresome.,kutafuta mboga na Nini.


Ndugu zetu wa mikoani muwe wastaarabu.
🤣🤣😂
 
🤣🤣😂
Hapo cheko zimetubana, tunasikia wanawapigia ndugu zao kule walikotoka kwamba yule jamaa aliyetakiwa kuwapokea amepotea mazima.

Wanaacha kuja tu Moja Kwa moja Kwa sisi ndugu zao, wanataka wakafikie sehemu baki..
Hawawajui watu wa DSM😂😂😁.


Ilikuwa heri tulikuwa bado hatujalala.
Na tulikuwepo nyumbani...

Imagine mtu upo kwenye mishe zako, haurudi mapema.

Ni wangesugua gaga stand.
 
Sisi wengine hata tukirudi nyumbani kwetu tunawaambia wenza wetu, wewe unakuja Dar kwa rafiki unapiga simu ukiwa stand? Hata mimi sikupokei.
Mtu amesafiri mchana kutwa kimyaaa
Huna habari.
Ametoka tunduma,,,
Amefika Maili Moja ndio anakushtua
Bwana nakuja, tumefika Maili moja... Uje kunipokea.


Na DSM hapajui.. hata ile kusema kwamba chukua usafiri uje, ni ngumu.Inatakiwa umfuate.
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Uzuri hospital kwa sasa zipo mikoa yote.

Salama kuna whatsapp Call

Wanaojitambua husafiri na bajeti zao
 
Wakiwa njiani wanapiga simu kila saa .anafika kati huko simu inaisha charge.
Hawatulii
Mtu anatoka mwanza hajafika hata shinyanga amepiga mara kumi kila mahali anatoa update
Hadi afike dodoma na simu ishaharibika kabisa
Anaingia dar hajui aanzie wapi
😅😅.jumlisha na Simu anazopiga Kijijini anakotoka huko mkoani kuwataarifu na kuwakoga kuwa anaenda Dar!
 
Watu wengi wanaoishi Dar es salaam wakipigiwa simu na ndugu zao wa mikoani, hawataki kusema ugumu wa maisha ulioko Dar es salaam badala yake wanasifu uzuri wa jiji na raha zilizoko kwenye jiji hilo namba moja nchini Tanzania. Kupelekea kuwafanya na ndugu walioko mikoani kutaka kufunga safari wakihisi Dar es salaam kuna maisha raha mstarehe.

Ndugu hao wakishafunga safari na kufika stand ya mabasi Magufuli basi wanatelekezwa, na hao ndugu zao wa Dar uwazimia simu. Jambo ambalo limesababisha watu wengi wa mitaani kuongezeka jijini, ambapo kwa siku stand ya Magufuli upokea makumi ya watu waiokuwa na pa kwenda miongoni mwao ni hao waliotelekezwa na ndugu zao.

Kama uwezi kuwa mwenyeji wa mtu, si bora umwambie tu, atafute alternative kuliko kumtia moyo ya kuja kuishi Dar es salaam na kisha kumtelekeza. Kama maisha yamekuchapa, mwambie tu ukweli kwamba maisha yangu hayako sawa. Hili abaki mkoani, kuliko kujichanga nauli alafu unamtupa stand.
Hapo tatizo ni umasikini tu!
 
Mtu amesafiri mchana kutwa kimyaaa
Huna habari.
Ametoka tunduma,,,
Amefika Maili Moja ndio anakushtua
Bwana nakuja, tumefika Maili moja... Uje kunipokea.


Na DSM hapajui.. hata ile kusema kwamba chukua usafiri uje, ni ngumu.Inatakiwa umfuate.
Wanazingua sana, binafsi nisingewapokea, wangelala stand wajifunze next time. Dar haina watu wakarimu namna hiyo.
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Stand ya magufuli ipo chato pale
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Wenzako wa Dar kibao wamekupa like! Ahahahahaha! Sie wa mikoani tunawakaribisha kwa sana tu. Michembe, numbu na supu ya Ngere vipo kwa sana tu vinawasubiri.
 
Watu wengi wanaoishi Dar es salaam wakipigiwa simu na ndugu zao wa mikoani, hawataki kusema ugumu wa maisha ulioko Dar es salaam badala yake wanasifu uzuri wa jiji na raha zilizoko kwenye jiji hilo namba moja nchini Tanzania. Kupelekea kuwafanya na ndugu walioko mikoani kutaka kufunga safari wakihisi Dar es salaam kuna maisha raha mstarehe.

Ndugu hao wakishafunga safari na kufika stand ya mabasi Magufuli basi wanatelekezwa, na hao ndugu zao wa Dar uwazimia simu. Jambo ambalo limesababisha watu wengi wa mitaani kuongezeka jijini, ambapo kwa siku stand ya Magufuli upokea makumi ya watu waiokuwa na pa kwenda miongoni mwao ni hao waliotelekezwa na ndugu zao.

Kama uwezi kuwa mwenyeji wa mtu, si bora umwambie tu, atafute alternative kuliko kumtia moyo ya kuja kuishi Dar es salaam na kisha kumtelekeza. Kama maisha yamekuchapa, mwambie tu ukweli kwamba maisha yangu hayako sawa. Hili abaki mkoani, kuliko kujichanga nauli alafu unamtupa stand.
Kuna mpuuzi akiona napost picha Kali status anadhan naishi maisha ya ustar dar et nataka nije dar niinjoy

Nikamuuliza utakuwa Una Kula wapi? Akajibu si kwako..Khaa nikamjibu labda hiyo Pesa unipe wewe

Anadai naringa wakati kipindi tupo wote bushi tunalima matikiti alikuwa anakuona Mungu mtu balaa



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom