Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Ili tatizo lipo lakini ni watu wastaarabu uki omba upishwe kuketi kitako Wana achia seat.
 
Unamaanisha wanawake wa kipemba wanaweza kuliwa kabla ya ndoa?
Wanalika vizuri sana na akikupenda basi hata msichana mwenzake wa karibu awe mdogo wake au rafiki yake atatamani na yeye umle ili wakiwa wenyewe wawe wanapiga story zako kwa kuwa wote wanakufahamu na wakati mwengine watapeana majukumu wakufanyia kutu gani.

Huwa nina waoneeni huruma sana nyie mnaoupinga huu Muungano na kudai bora tungeungana na Rwanda.
Kuna watu bado hamjala matunda ya Muungano hivyo huwa mnajiongelea tu bila kujua.
 
Ahsante je ujabahatika kukutana na Askari wa Zanzibar
 
Hivyo vitu ambavyo umeviorodhesha karibu vingi kama siyo vyote vinapatikana Zanzibar nzima. Nafikiri wengi wao kwa asilimia kubwa hufuata misingi ya dini yao ya kiislamu.

Ila naamini wengi wao huifuata hii dini kama utamaduni na siyo kiimani.Masharti ya hii dini kwa kizazi cha leo bila imani thabiti na kujitoa inahitaji moyo sana kuyafuata. Ndiyo maana unafiki umejikita mizizi sana. Mfano wa masharti hayo ni kama vile:

1) Usinywe pombe: (Umezungukwa na baa pande zote)

2)Usicheze kamari: (Umezungukwa na kampuni za kamari pande zote.)

3)Usifanye umalaya : (Umezungukwa na madanguro yanayonekana na yasiyoonekana pande zote)

4)Usitoze riba: (Huku unahitaji faida maradufu)


................................n.k bila nguvu ya Mungu utachemsha tu na kuwa mnafiki mkubwa.

Kingine ni suala la chuki dhidi ya watu kutoka bara, hii huambukizwa tangu utotoni sijui ni nini kilitokea lakini jamaa wanawachukia watu kutoka bara kuliko maelezo.

Hii nayo ni ujinga wa kurithishana, naamini kiasili kisiwa hakina mwenyewe kiasilia kwani hata hawa wanaolishwa hizi sumu ukiwafuatilia kiundani asili za mababu zao unakuja kugundua kuwa walihamia huku visiwani muda mrefu!!!!!!!!!!!!

Wengi wao hasa wanaokaa shamba, hawajafanikiwa kutembea nje ya visiwa hivi, ni kama mtu unakaa sehemu moja muda mrefu ukiamini kuwa ni sehemu bora kuliko sehemu nyingine, ukitoka utagundua kuwa dhana yako ilikuwa potofu!!!!!!!!!

Nb 1: Naamini Mungu hana dini (Mtazamo wangu).

Nb 2: Dini zote zimeundwa na kutengenezwa na mwanadamu (Mtazamo wangu)

Nb 3: Huwezi (mtazamo wangu ) kutenganisha dini na utamaduni wa jamii husika. Mfano:


1) Utamaduni wa kimagharibi na Ukristo.

2) Utamaduni wa Kihindi na Uhindu.

3)Utamaduni wa Kiyahudi na Uyahudi.

4)Utamaduni wa Kiarabu na Uislamu.

5)Utamaduni wa kichina na Confucianism, Taoism, and Buddhism.

6)Utamaduni wa Kijapan na Shinto na Buddhism.

7)Utamaduni wa kirusi na orthodox.

Nb 4: Tunatofautina kiimani na kiitikadi lakini tukiheshimiana hutaweza kuziona hizo tofauti.

Nb 5: Binadamu wote tunategemeana.

Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu Si kwamba hawajengi vyoo,
Kuna ule utamaduni wa baadhi yao kwenda haja popote.

Mfano baharini au msituni.
Unaweza kutembea msituni ukakutana na kinyesi cha binadamu


Si ndio sasa, kama mtu anaweza kwenda haja mahali popote (msituni au ufukweni) sasa ajenge choo cha kazi gani ??, kama mahali popote panaweza kuwa choo, choo kijengwe kwa kazi gani??, utajenga and at the end of the day it remain obsolete and remember necessity is the mother of invention, then how can you invent something you don't need??!
 
Hivi mtu unakuja kuongea Ujinga kama huo, tena kwa asilimia 100% halafu huko pemba kwenyewe hujawahi kufika?labda tukuulize Una Mama,Dada,Shangazi na wengine nyumbani kwako?hujui unavyowatukana wanawake unawajumlisha na ndugu zako wa kike?
Mbona povu? Pole kama jiwe la gizani limekupata usonji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…