Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Naam,kiukweli huko life ni ngumu saana Sanaa.
Wanawake hawana kazi ila wanapenda pesa balaa na ndo maana pemba na unguja wanawake % kubwa wanalawitiwa, so inambidi wanaume kwa namna yoyote aitafte pesa na zaidi ni kufuga majini ya pesa.
Flat screen kama kawa kwa wadada.
Wakienda mjini unguja kwenye meli ni kubebana na mafurushi ya mihogo,marimba,ndizi na kuku.
Kiukweli pemba maisha ni ya kimaskini Sanaa.
Ila wakishafika unguja ni rahisi wao kumiliki pesa maana % kubwa wanna wanaamini msaada kutoka kwa majini
 
Nice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko utateseka sana kisaikolojia bora uguja kuna kuvumiliana kinafiki tunajifanya hutujui chuki zao
 
Pemba ya Msumbiji hiyo ?

Mji wa Pemba uko Msumbiji.
 

Hiyo namba 10 ndio inazalisha mashoga,
 

Ni sababu za kisiasa mkuu, Mapinduzi ya 1964 na Muungano ndio sababu ya watu wengi wa Zanzibar kuwachukia wabara.

Mapinduzi ya 64 yalifanywa na wabara, Na huu Muugnao wakulazimishwa ambao wenyewe hawautai kabisa, Hayo ndio yaliyazalisha chuki ndani ya nafsi yao. (and wao sahihi kwa uande mmoja).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…