Huko sahv ni mwendo kulia na kujutiaaaTayari keshazoea.
Kesho wataenda muona wengi na mikuku baadae atazoea tu. Tena kwa sasa hata mahabusu kazi mnapiga lazima ataelewa
Kuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimbo
Walikuwa full vurugu basi unafikiri walidumu
Waliishaaa nao walikutwa na kg kadhaa
Mpk leo wako ndani wanaenda mwaka wa 3 sasa
Ova
Wale washapoteaNawakumbuka wale madogo ile nyumba walikua hawakai walikua pale wanafungia mzigo hadi kulala wakawa wanakaa ilala, upekuzi awamu ya kwanza wazee walitoka holaa kumbe handaki imechimbwa ndani na kuna kigae kizuri kuja kufunua ikawa shida wajinga walikua na magari meupe mawili, task force walijifanya raia wema wametoa taarifa kumbe waliwekwa kwenye target kitambo afu mizigo yao nao ilikua inatokea msumbiji
Hata hawa maelezo ya kamishna yanasema raia wema walitoa taarifa tarehe 2 march , then tarehe tatu march akadakwa Dalidali akasema mzigo upo kino kwa Alu wakamdaka Alu zigo lioo kwake akaminywa akataja Side, kwenda hiko mdio wakamkuta na huyo demu mwingine na cash dola 14000, na shiling za kibongo milion 13 aseeNawakumbuka wale madogo ile nyumba walikua hawakai walikua pale wanafungia mzigo hadi kulala wakawa wanakaa ilala, upekuzi awamu ya kwanza wazee walitoka holaa kumbe handaki imechimbwa ndani na kuna kigae kizuri kuja kufunua ikawa shida wajinga walikua na magari meupe mawili, task force walijifanya raia wema wametoa taarifa kumbe waliwekwa kwenye target kitambo afu mizigo yao nao ilikua inatokea msumbiji
Uzuri ukidakwa utabinywa hadu utasema kila kituHata hawa maelezo ya kamishna yanasema raia wema walitoa taarifa tarehe 2 march , then tarehe tatu march akadakwa Dalidali akasema mzigo upo kino kwa Alu wakamdaka Alu zigo lioo kwake akaminywa akataja Side, kwenda hiko mdio wakamkuta na huyo demu mwingine na cash dola 14000, na shiling za kibongo milion 13 asee
hijabu mida hiyo hukumbukwa kweliMkazi wa Mbezi Tangibovu Said Mbasha(24), na wenzake watatu, wamefikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin kilo 30.
Wengine ni Joseph Dalidali(27) maarufu Kama Mbezi Tangibovu; Allu Murugwa( 24) mkazi wa Kijitonyama na Fatima Shomari(24).
Akiwasomea mashtaka yao, wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon mbele ya Hakim Mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, alidai washtakiwa wanadaiwa kutenda makosa yao, Machi 3, 2021 katika eneo la Kijitonyama Wilaya Kinondoni, washtakiwa kwa pamoja walijihusisha na biashara ya dawa za kulevya aina ya Heroin yenye uzito wa kilo 30.6, wakati wakijua ni kosa kisheria.
Pia, Dalidali na Shomari, wanadaiwa Machi 3, 2021 katika eneo la Kinondoni mtaa wa Kasaba , washtakiwa hao wanadiwa kukutwa na gramu 2.63 za bangi, wakati wakijua kufanya biashara hiyo ni kosa kisheria.
Upelelezi haujakamilika na Hakimu Isaya aliahirisha kesi hiyo hadi Machi 24, 2021 itakapotajwa.
Washtakiwa wamerudishwa rumande kutokana na mashtaka yanayowakabili hayana dhamana kwa mujibu wa sheria.
View attachment 1722917
View attachment 1722918
Unataja chain yoteUzuri ukidakwa utabinywa hadu utasema kila kitu
Wale washapotea
Ova
Hawawezi chukua mlungura, maana nao kuna watu invisible wana wafatilia. Na hao invisible kuna watu wana track.. moto lazima wawe waadilidu tuKitengo sahv kuna vijana mule wanajuaa balaa
Wanajua kusoma mchezo hadi kukumaliza..
Unafikiri polisi wa vituo fulani wakiwakamata
Watu kama hawa wangewapeleka ubaoni zaidi ya kuchkua mpunga tu
Ogopa mtu anakamata mzg wa mamilion na kila we ukitaka kumuhonga wanachomoa
Wanakwambia wee lazima tukusongeshe
Ova
Kwa hii manzi, ningeuza team. Bora sipo kitengo maana mie na ngoswe damu mojaView attachment 1723855
Huyo hapo yuko na wema sepetu ndio allu kuna zaidi?
Wazito walikuwa zamani,,enzi za unanijuwa mm nani?Ishu ni nini? Ishu ni huyo mtu mzito yupo kwenye circle iliyopoo!???
Wangekunyonga wewe.Kwa hii manzi, ningeuza team. Bora sipo kitengo maana mie na ngoswe damu moja
Huruma kwa yule mzee aliekua analinda ile nyumba,sidhani kama alikua anajua kinachoendelea,wale madogo don wao yuko msumbiji akawa anawatumia mzigo wanaficha juu dari πKuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimbo
Walikuwa full vurugu basi unafikiri walidumu
Waliishaaa nao walikutwa na kg kadhaa
Mpk leo wako ndani wanaenda mwaka wa 3 sasa
Ova
Usalama wamejaa ant-drugs,hamna kuaminiana,magu alicheza kama pele kwenye kitengoHawawezi chukua mlungura, maana nao kuna watu invisible wana wafatilia. Na hao invisible kuna watu wana track.. moto lazima wawe waadilidu tu
Wivu tu na kuzoea umaskini
ππππ hili nalo neno. Ngoja nisubiri wengine watapochoka mie ndio niingiez nawapa mieiz sita tu, wata watenga, alafu mie naingia na nguvu kweli kweli tena ya maanaWangekunyonga wewe.
Me nawaza, unaweza anzisha utaratibu kila mwezi unaenda mtembelea mara moja sero. Huwezi jua anaweza akatoka mzee ukajiopolea kimasihara. Unakua Kama umebet. Asipotoka mkeka umechanika.
Kila mtu ana mchunguza mwenzake, nimeiona hii na polisi imeanza mdogo mdogo, wataanza kulana nyamaUsalama wamejaa ant-drugs,hamna kuaminiana,magu alicheza kama pele kwenye kitengo
Hahahaaaa...hapo sasa ndo tatizoYou are right! Umepatia kabisa. Unajua hakuna kinachouma kama mtu unajikunjwa tangu asubuhi mpaka saa 3 usiku na hela huioni wakati kuna mtu amekaa tu na fedha zinaingia halafu wadada wazuri wazuri wanamkimbilia na wewe wanakudharau
Mchek kwenye page ya wema Sepetu kunapic amepiga nae amepost Hivi karibu niGuy sorry huyo allu anatumia jina gani insta?