Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Ila hawa wamekamatwa na Heroin sio Coca
 
mrangi hao wajomba watatoka na hutaamini, ni watoto wa mtu hapa town sio rahisi kuwafunga ila jamaa anafanya biz kisenge sana. Keshawaharibia madogo ila enewei mfanyabiashara kapata hasara tu hapo
Mh ngumu mjomba kesi za madawa sahvi zimebadilika siajabu huyo mjomba sahv kawazimia sim

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi kuimaliza rahisi sana,hapo unayajenga na mpelelezi,uchunguzi uendelee hata miezi sita,badala ya kilo 30,unapoteza zote unaacha nusu kilo,unachanganya na ngano,Kwanza ni kosa lao kwanza,hapo Hakimu anapunguza miaka mnapigwa,miaka 15!ila kifungo Cha nje,
 
Bado maisha ya ujanja ujanja matamu halafu mafupi sasa yupo nyuma ya nondo ,hakuna kukaa kwenye balcony 1st floor kula upepo,hakuna kwenda shopping malls ,hakuna ac ya Range Rover ,hakuna bata kule ni kulala mchongoma.
Hao madogo tangu juzi nlipata code zao kudakwa sehemu yenyewe yenyewe walipookotwa nyuma ya mwanamboka sheli
Kwa akili zao sijui walijiamini vp kwenda pande zile...ila ushamba na mawenge tu
Acha wanyooshwe

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nani yupo nyuma ya huo mzigo? Maana hao machalii lazima Kuna connect ambaye Ni Papa mkuu. Wamtaje. Wamezipataje kilo zote hizo? Kuna mtu hapo mwenye jina lake na pesa zake akamatwe Kama kweli Wana Nia ya kumaliza hilo suala.
 
Sisi sio producers wa hayo mambo hivyo haiwezi kuwa na bei ndogo kiasi hicho kuliko USA ambapo ni pua na mdomo.

Pia Tz hakunaga cocaine mzigo mkubwa hivyo maana watumiaji wa cocaine hawapo

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Kwa tz street value ya midevu inacheza 2300000
Kwa kg sasa kwa ulaya huko sijajua
Kwa heroin lazima mzg uingie mwingi maana si unakuja kwa majahazi mpaka tani hapo sasa kuna watu wanakuwa na mizigo yao kuchkua
Yule kg 20 mwingine 50 mwingine 100 etc

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kuna dada mmja namjua alipigwa maisha
Alizimiaa mahakamani alafu hyo dada mjini alikuwa maarufu tu
Kesi sahv hzi hazijakaa poa bora mtu ukalime matikiti tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Afadhali kupiga mbanga nyingine, kuliko hizo mambo lakini watu hawaelewi na walivo wajinga watoto wa kino wanajiachia kama nchi yao ni kupost Hennessy iko juu ya swimming pool, wakati wenzao hua hawaachi alama ukiambiwa mwenyewe una sanda, hivi shamimu mwasha na Nsembo bado hukumu yao?
 
Mtu anafanya biashara kama hiyo anajimwaga mtaani kama vile anafanya biashara halali kweli hawa vijana wanaonekana bado wana ujinga na ushamba mwingi! Apo watatoka jela wakiwa pengine na miaka 50
Naomba unitumie picha ya huyo dada wa miaka 24, atapotoka akiwa na hiyo 50, hatokuwa na mizinga ya kutuma na kuyatolea. Askari magareza tunaufidigi pisi mya hiyo πŸ˜€πŸ˜€
 
Mauritius kule nihatari ukikamatwa ni life sentence
Hakuna life sentence kwa madawa kule.

Mwaka 2009 kuna bondia wa Tanzania alikamatwa pale,

Alikula 15 net..nadhani kishatoka.

Tanzania ndy inchi pekee yenye mazingira tata ya hukumu za madawa.
 
Eti viduka uchwara! Sema nao wamezidi sana kukariri mambo, yaani kila muuza ngada utakuta anazugia kwenye kuuza nguo, simu au vigari kadhaa vya kuzugia, mbona huwa hawadeal maybe na viwanda vidogo vidogo au vitu vingine?
Viwanda vitawapaka grease..
Nani kakwambia kulikua shwari? nchi kama Tz haiwezi dhibiti biashara hii bali ni mbwembwe za kujisifu tu.
Imagine pamoja na sheria kali za china au arabuni na bado watu wana smuggle mizigo,sembuse nchi ya wala rushwa hii? think twice.
 
daladala nazo baadhi zipo kwenye hii biashara nawashtua tu watu wenye kudhibiti, wanapeana mizigo kimyakimya walivo vaa kama masikini lakini ni mbinu tu za kipigaji kama za waokota machupa mtaani, na wanafunzi wadogo wa primary na vyuo vya ....kumbe wanamizigo, mtu anachukua mzigo kama utani vile ningekua ... jana ninge kamata kiulaini tu watuhumiwa, #okoa vijana nguvu ya taifa madawa yanaua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…