Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Wanajisahau sana ha
Mimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai
wa ndugu zetu
 
Hivi vitu "table manners" watu hufunzwa wakiwa wadogo sana(1-15 yrs)
Hivi vitu vinategemea sana mila na tamaduni za wqtu
Sehemu ambazo kwa kiasi Fulani zimefanikiwa kuwa table manners ni zile ambazo dini za Kiislam na Kikristo zimefika na ukiangalia kanda ya ziwa Luna sehemu nyingi hazijafikiwa na hawa watu Wa dini
Na ukiangalia sana sio table manners social evils nyingi bado zinaendelea kama

Mimba za utotoni
Mauwaji ya Vikongwe
Mauwaji ya Albino
Ndoa za Utotoni
Matumizi haba ya vyoo
Mikono ya Sweta
Unyanyasaji Wa Kijinsia
Ukeketaji

Ukitafuta Takwimu za matatizo yote hayo hapo juu kwa Tz yamejichimbia zaidi kanda ya Ziwa
 
Wengine watasema watu wote wanaolipa mahari si wastaarabu.

Na kukupa hoja nzuri tu kuonesha hata wewe mlipa mahari unaendeleza biashara ya watu na bado upo katika kundi la watu waliokosa ustaarabu.

Levels.
 
Hiyo Cha mtoto, niliwahi kufika singida vijijini, ugali unapikwa kwenye chungu tena ni WA vidude Fulani vipo kama mtama mwembamba ,unga unasagiwa kwenye jiwe, unaliwa na mlenda usioungwa. Chungu kikitoka jikono hawapakui,

Wanawake ni marufuku kula sehemu Moja na wanaume, hivyo chungu kinapelekwa Moja kwa Moja kwa wanaume tena anakisogeza akiwabali. Wanaume watalia humo humo mpaka wakishiba makombo ndio wanawake wanakwenda kula.
 
Kila mtu anafanya yake kwa namna alivyo na hulka yake...hatufanani kulingana na makabila au kanda zetu,kila aina ya watu ina mambo yake,hata kwenu kuna kituko chake japo huwezi kukisem
 
Uzinzi
Uchepukaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…