Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Kila mtu anafanya yake kwa namna alivyo na hulka yake...hatufanani kulingana na makabila au kanda zetu,kila aina ya watu ina mambo yake,hata kwenu kuna kituko chake japo huwezi kukisem
Umeongea kitu cha maana sana mkuu,

Ujue kila jamii hua ina tamaduni zake,na kila jamii huona au huamini tamaduni zao ni bora kuliko tamaduni za wengine.
 
Watu wa vijijini na usafi ni mbalimbali...

Ukiwa kileji halafu ukaenda kwenye kilabu cha pombe ndio utaona namna watu wasivyojali kanuni za afya...

Pombe ikishawekwa mwenye kile kibaba, lile kombe linakuwa linazunguka kwa kila mtu kupiga funda...

Kuna mikoa pombe inawekwa kwenye ndoo, halafu wadau wanaizunguka na mirija ya kienyeji inayochuja machicha (imetengenezwa kwa mianzi myembamba)...
 
Mjomba kuna wahaya wanaingia hpa nna jamaa zangu wa kihaya mjni hpa ukila nao jiandae kujionea maajabu mnakula changanyikeni lkn wao km wanakula kila mtu sahani ya peke yake
Shemeji zangu wahaya ni watu wa hovyo sana,sipendi ile tabia yao ya ukabila.unakuta Mpo wote wao wanagonga kilugha tu.Shubaamiti zao sitoenda ukweni tena(Uhayani).
 
Picha linaanza,nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari.Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha.Mda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke,daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula.Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula,kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula,pia hawajui kula sehemu moja.Mda huu atamega tonge upande huu,ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati...Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala.Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya,watu wengi huku kuanzia Simiyu,Shinyanga,Mwanza hadi mara wapo hivyo.Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida,kula na kukibehulia chakula ni kawaida,kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana,Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi,wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Baada ya Dar es Salaam mji unaofuatia ni Mwanza kwa ukubwa na ujanja !! We unatokea mkoa au kanda ipi tulinganishe unachokizungumza ?!
 
Baada ya Dar es Salaam mji unaofuatia ni Mwanza kwa ukubwa na ujanja !! We unatokea mkoa au kanda ipi tulinganishe unachokizungumza ?!
Ukubwa wa mji hau-determine tabia zao.Mbona Texas ni kubwa ila watu hawaachi kupigana risasi.Tabia inchochewa na utamaduni wa eneo husika.
 
Picha linaanza,nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari.Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha.Mda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke,daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula.Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula,kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula,pia hawajui kula sehemu moja.Mda huu atamega tonge upande huu,ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati...Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala.Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya,watu wengi huku kuanzia Simiyu,Shinyanga,Mwanza hadi mara wapo hivyo.Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida,kula na kukibehulia chakula ni kawaida,kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana,Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi,wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Sawa wewe mstarabu sana kwenu Tanga mnaunga Mkono upinde .
 
Hao wameshazoea ngwasuma kuna rafiki yangu mmoja ni mwenyeji wa shinyanga anasema tokea amezaliwa hajawahi kumuona mama yake anamuwekea baba yake maji ya kuoga na hata yeye alikataa kuoa kwao kiufupi watu wa kipande hyo ni show show
 
Sie table manner tulifundishwa tukiwa wadogo,ni kitu muhimu sana.mimi mtu akiwa anakula hivyo nami siwezi kula tena nashindwa

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio mtu wa Tanga.Pia mambo ya upinde naona yapo sehemu nyingi hata huko kanda ya ziwa.Cha msingi tuamrishane yaliyo mazuri na tukatazane yaliyo mabaya
Maana hata Ulaya wanasema sisi siyo Wastaarabu kwakuwa hatutaki Upinde hivyo dhana ya ustaarabu inategemea umekulia wapi.Huku kanda ya ziwa kila Mtu anawekewa bakuli lake la nyama lakini pwani bakuli moja finyango mbili watu sita. Hivyo acha kuleta mambo ya Pwani huku bara . Pwani wali mnaupa kipao mbele sana huku wala hauna nafasi kihivyo ndiyo maana hata kuula hatuuli kama nyie.
 
Mimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai
Pascal Mayalla akikusikia
 
Back
Top Bottom