Bora hao ndugu kuna watu wanaitwa wahutu, wakianza kula kwanza sheria ni lazma kama mnakula mfano ugali nyama ni kwamba nyama moja inaliwa na watu wote mkimaliza ndo mna anza kula nyingine kila mtu ana ivuta nyama na madole yake kwa sisi tusio na ustaarabu huo inatia kinyaa mbaka basi.
Alafu pia mtu akitoweza tonge kwenye mchuzi mboga kwa mfano anatosa midole yake kama koleo ndo anazoa miharage ma mchuzi yote yani yananawa kama mi maji na kujiramba ndo usiseme.
Hawa jamaa wanakula kichafu kuliko hao jaribu kuwafuatilia wanapatikana maeneo kama katavi, kigoma n.k mimi nimewahi kuishi nao nilikua nikijua na share nao chakula nilikua nawaza sana na mda mwingine hakuna alternative n lazma ule nilikua nateseka sana na mda mwingine unatumia lugha picha kuwaelekeza ila hawaelewi yan da.
Si jui kama kuna watu wachafu kwenye kura zaidi ya hawa jamaa. WAHUTU ni hatari[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app