bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Usisahau ulaji ubwabwa kwa wazee wa makobazi na ndevu zao wali mtu anauchafua kwa mikono yake yote then anatia mdomoni kisa uliobakia mkononi anakung'utia humo humo kwenye sinia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda ya ziwa yote ni shidaBora hao ndugu kuna watu wanaitwa wahutu, wakianza kula kwanza sheria ni lazma kama mnakula mfano ugali nyama ni kwamba nyama moja inaliwa na watu wote mkimaliza ndo mna anza kula nyingine kila mtu ana ivuta nyama na madole yake kwa sisi tusio na ustaarabu huo inatia kinyaa mbaka basi.
Alafu pia mtu akitoweza tonge kwenye mchuzi mboga kwa mfano anatosa midole yake kama koleo ndo anazoa miharage ma mchuzi yote yani yananawa kama mi maji na kujiramba ndo usiseme.
Hawa jamaa wanakula kichafu kuliko hao jaribu kuwafuatilia wanapatikana maeneo kama katavi, kigoma n.k mimi nimewahi kuishi nao nilikua nikijua na share nao chakula nilikua nawaza sana na mda mwingine hakuna alternative n lazma ule nilikua nateseka sana na mda mwingine unatumia lugha picha kuwaelekeza ila hawaelewi yan da.
Si jui kama kuna watu wachafu kwenye kura zaidi ya hawa jamaa. WAHUTU ni hatari[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wewe umeoa kanda ya ziwa yote. Achana na sweeping statementsMbona nishataja hapo juu.Kuanzia Simiyu,Mwanza hadi huko Mara
Hawana uchafu kama ktk kula. Pwani yote watu hula pamoja ki asili lakini hakuna uchafu huu wa Kanda ya ziwaWadigo nao kule Tanga wanakula kwenye Sinia moja especially wali au pilau hata watu wanne, wote wanakula kwa mikono baada ya kunawa halafu wanakaa chini kwenye jamvi.
Pamoja na kukaa na kusomea tanga tabia hiyo imenishinda kabisa.
Wote ni walewale ila hiyo sio kanda ya ziwa tu ni kote wanaokula kwa mkonoSi ungeenda moja kwa moja kwamba ni wasukuma? Ukisema kanda ya ziwa ujue unahusisha Wajita, Wakurya, Wahangaza, Wahaya, Wakerewe, Wazanaki, Wasukuma....
Hahaaaaa, nimecheka kama mazuri. Ni kweli kabisa jamaa wapo hivyo. Kuna mmoja nilisoma naye SUA. Hahaaa, yupo hivyo hivyo. Anakula huku anaongea na mavyakula yapo mdomoni. Anatafuta mzeeee, sauti za kutafuna nyamnyamnyam zinasikika kama guruwe bwana.Hio Tabia ilinikera sana mwingine unakuta anashika ugali wote Kama mtu ananyonga sterling ya gari kukata Kona ugali wote unapakwa michuzi hadi kinyaa.
Mtu anaacha kula upande wake anafinya upande wako.
😂😂😂Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Mbona hiyo ni kawaida na wengi tumekuwa tukiwa hivyo. Huo ulikuwa mtindo mzuri wa maisha na ulikuwa unaleta umoja na amani na kutoa ubinafsi katika ngazi ya kaya na jamii kwa ujumla.Wadigo nao kule Tanga wanakula kwenye Sinia moja especially wali au pilau hata watu wanne, wote wanakula kwa mikono baada ya kunawa halafu wanakaa chini kwenye jamvi.
Pamoja na kukaa na kusomea tanga tabia hiyo imenishinda kabisa.
Hahaaaaa, hatari sanaUmeongea ukweli 100%, nipo huku kitu ambacho kinanishangaza huku Asubuhi kwenye kupiga mswaki duh utacheka aiseee yaani hata kama mtu anakaa nyumba inageti kubwa lazima atoke nje barabarani ndio wanapigia mswaki huko
Upo nje ya mada Msukuma. Anasemea table Manner. Ni kweli wasukuma hamna table manners mnakula hovyo hovyo. Sijui bwana Maduhu Nyanda huko Marekani mnaishije na usukuma wako au nawe unakula hovyo hovyo maana unaweza kumtoa Msukuma usukumani ila huwezi kuutoa usukuma ndani yake.Wengine watasema watu wote wanaolipa mahari si wastaarabu.
Na kukupa hoja nzuri tu kuonesha hata wewe mlipa mahari unaendeleza biashara ya watu na bado upo katika kundi la watu waliokosa ustaarabu.
Levels.
Wasukuma hawapo wa aina moja.Upo nje ya mada Msukuma. Anasemea table Manner. Ni kweli wasukuma hamna table manners mnakula hovyo hovyo. Sijui bwana Maduhu Nyanda huko Marekani mnaishije na usukuma wako au nawe unakula hovyo hovyo maana unaweza kumtoa Msukuma usukumani ila huwezi kuutoa usukuma ndani yake.
Kwenye ulaji umewasingizia nadhani ndilo kabila linalozingatia table manners hasa ukanda huo, kama mnakula katika sinia moja ile kizamani ni hairuhusiwi kuongea ukiwa unakula, ukishiba unasogea nyuma, kuna ule mkao wa kuinama ukiinuka ni umeshiba, kila mmoja na bakuli lake hamna la kuchovya bakuli moja, ukikiuka hayo hapo juu kwenzi itakayokupata lazima usimulie hadi wajukuuMuhaya atakuchanganyia maharage, dagaa, nyama, tembele, mlenda, tambi kwenye sahan moja hawa watu kula nao yataka moyo
Kiujumla usafi na table manners kwa chakula cha umma ni changamoto sana sehemu kubwa ya Tanzania kama unazingatia hayo mambo, ila raia wengi inaonekana hawajali wala kuzingatia sana hizo ishu.Ujio wa hizi vijiti vya meno unakuta jitu zima linachokonoa meno in public au muuza chakula ana sevu huku kijiti cha meno kipo mdomoni Mimi hata hamu ya kula inakata kabisa.
Tabia za watu masikini katika jamii tofauti zinatofautiana pia. Jamii za watu masikini za vijijini ukanda wa pwani wanaweza kuwa na ustaarabu mkubwa zaidi katika matumizi ya vyoo kuliko sehemu nyingi.Wasukuma hawapo wa aina moja.
David Kidaha Makwaia, Francis Nyalali, Paul Bomani, Andrew Shija, John Momose Cheyo, John Rubambe, Bob Makani, Marcel Komanya, Musobi Mageni, Balozi Nhigula just to name a few, hao wote ni Wasukuma, nimekula nyumbani kwao, the best meals with the best table manners. All types of cuisines.
Nyie mnakwenda kwa watu masikini huko halafu mnachafua Wasukuma wote kwa stereotype za watu masikini, ambao wote mnakula ugali wenye wanga mtupu usio na virutubisho, mkizungukwa na nzi wasiohesabika huko Tanzania.
Acheni stereotypes.
Wasukuma are more than seven million strong, na pia kuna kila aina ya Wakonongo wanaolowea Usukumani kina Magufuli hawa wanajiita Wasukuma, you can't possibly stereotype us and still be accurate.
Njoo kwetu Mwanza, Shinyanga, Mbezi Beach, Oysterbay, New York, New Jersey, DC Massassuchetts, London and all over the world nikuoneshe Wasukuma wanavyokula.
Acha ku steteotype watu kwa kutumia kigezo cha subset ya wenye umasikini na kukosa elimu.
Tukianza kwenda hivyo, ninaweza kusema wabongo mlio Tanzania bado mnakula mavi, ndiyo maana bado mnasumbuliwa na kipindupindu mpaka leo.
Nimeenda Nangurukulu nikakuta watu wanakunya pwani baharini.Tabia za watu masikini katika jamii tofauti zinatofautiana pia. Jamii za watu masikini za vijijini ukanda wa pwani wanaweza kuwa na ustaarabu mkubwa zaidi katika matumizi ya vyoo kuliko sehemu nyingi.