Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Usipokuwa makini utaambulia maji ya kunawa tu
Na mtuache....😄😄
Na huwa tunaweka akiba yaani kwenye tonge moja kubwa vinatoka vitonge vidogo viwili mpaka vitatu a.k.a tela.

Cc: Karucee
 
Ukisema tena ulete ustaarabu wa kila mtu na sahani yake wanadai hawashibi na wanaona aibu kuongeza ila pia usishangae amemaliza kula anarudisha sahani tissue haipo ukimuuliza lile kama karatasi lililokuwa kwenye sahani liko wapi anakwambia aliliangalia hakulielewa akajua ni aina ya msosi akaliwekea mchuzi wa nyama akalila nalo. Hatari sana hawa watu
 
Ila ni kweli na inakera sana.
 
Mimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai
Ūlīgatumbasu gete nyanda bebe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…