bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kule hakuna chai asubhi ni muwaHii kweli aisee yani mtu anakula muwa mrefu umenzid kimo na unaisha🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule hakuna chai asubhi ni muwaHii kweli aisee yani mtu anakula muwa mrefu umenzid kimo na unaisha🤣🤣🤣
Hapo sijui lakini mara nying ni mchana wanakula Yani Hadi siku za sikukuu utakuta ni miwa inaletwa 🤣🤣🤣🤣Kule hakuna chai asubhi ni muwa
Na mtuache....😄😄Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Usipokuwa makini utaambulia maji ya kunawa tu
Hapo Chalinze Msoga kwa Kikwete mwaka juzi tumekuta watu wanakunya vichakani hawana vyoo.
Yule mzee tulimuuliza anasema ana watoto wakubwa wameoa na kuolewa na wao nyumba za hazina vyoo
Ila ni kweli na inakera sana.Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
😂😂😂 khaaa! Nya….. umekosea kidogo 🤣Nyahonde acha vituko.🙏😂😂😂
Naiweka herufi "I" pale kati.Ukigoma utakuwa Nyamakita.😂😂😂 khaaa! Nya….. umekosea kidogo 🤣
Basi baki nayo siri yako… ila umeelewa code vizuri kabisa 😀Naiweka herufi "I" pale kati.Ukigoma utakuwa Nyamakita.
Asante sana the heroin!Karibu Ihanja hapa ndiyo natoka kuchunga.🙏😂Basi baki nayo siri yako… ila umeelewa code vizuri kabisa 😀
Jumapili njema champ!
Bagosha!Wasukuma utawapenda kwenye kula muwa mtu ana muwa mrefu kumzidi anaumenya kuanzia juu hadi chini.
Ndo kabila linaloongoza kwa mashindano ya kula miwa nchini
Ndiyo muile huku mmeishika kama gitaa?😂😂😂Bagosha!
Amaguwa manonu noi!
Ūlīgatumbasu gete nyanda bebe!Mimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai
Kwenye Sabasaba ya juzi hapa nilikata miwa mitatu mizima huku nikimwangalia manju Būdagala akiwasha moto wa magoma hatari. Maisha safi sana!Ndiyo muile huku mmeishika kama gitaa?😂😂😂
Safi sana.Mwili haujengwi kwa porojo bali milo ya nguvu.Kwa hilo Wasugunsu na Kanda ya ziwa yote wapewe kongole.Kwenye Sabasaba ya juzi hapa nilikata miwa mitatu mizima huku nikimwangalia manju Būdagala akiwasha moto wa magoma hatari. Maisha safi sana!