Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Kwa sababu ni jambo chafu kwetu.
Wao mwanamke kuvaa chupi na sidiria kutembea barabarani ni utamaduni wao bongo ni kipimo cha ukosefu wa malezi na maadili mema
So, all this shit is culturally subjective.

Kuna sehemu kula kwa mkono ni kukosa ustaarabu, watu wanakula kwa uma na kisu.

Hao unaowanyanyapaa kwamba wanafanya uchafu kuruhusu ushoga wameendela katika kuruhusu uhuru wa mtu na demokrasia kwa njia ambayo wewe na jamii yako hamjafikia.

Na pengine ndiyo sababu wanawashinda hata kiuchumi.

Nyie mtabaki mnapinga ushoga wakati mnatumia simu za Apple, ambazo CEO wake ni... guess what? Shoga!
 
Watu wa vijijini na usafi ni mbalimbali...

Ukiwa kileji halafu ukaenda kwenye kilabu cha pombe ndio utaona namna watu wasivyojali kanuni za afya...

Pombe ikishawekwa mwenye kile kibaba, lile kombe linakuwa linazunguka kwa kila mtu kupiga funda...

Kuna mikoa pombe inawekwa kwenye ndoo, halafu wadau wanaizunguka na mirija ya kienyeji inayochuja machicha (imetengenezwa kwa mianzi myembamba)...
Wanapiga na hawaumwi sasa. Wewe "mstaarabu" ukijaribu utahara mpaka uone kizunguzungu!
 
So, all this shit is culturally subjective.

Kuna sehemu kula kwa mkono ni kukosa ustaarabu, watu wanakula kwa uma na kisu.

Hao unaowanyanyapaa kwamba wanafanya uchafu kuruhusu ushoga wameendela katika kuruhusu uhuru wa mtu na demokrasia kwa njia ambayo wewe na jamii yako hamjafikia.

Na pengine ndiyo sababu wanawashinda hata kiuchumi.

Nyie mtabaki mnapinga ushoga wakati mnatumia simu za Apple, ambazo CEO wake ni... guess what? Shoga!
Hoja siyo kula kwa mkono.Ni kula kwa kuchakura,kujilamba vidole hivyohivyo na kuacha kinywa wazi.
 
Hio Tabia ilinikera sana mwingine unakuta anashika ugali wote Kama mtu ananyonga sterling ya gari kukata Kona ugali wote unapakwa michuzi hadi kinyaa.
Mtu anaacha kula upande wake anafinya upande wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kama sterling ya gari, halafu makelele sasa wale ndugu jamani kwenye kula hovyo hovyo nikama waha tu na wenyewe wapo hivyo hivyo .

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
So, all this shit is culturally subjective.

Kuna sehemu kula kwa mkono ni kukosa ustaarabu, watu wanakula kwa uma na kisu.

Hao unaowanyanyapaa kwamba wanafanya uchafu kuruhusu ushoga wameendela katika kuruhusu uhuru wa mtu na demokrasia kwa njia ambayo wewe na jamii yako hamjafikia.

Na pengine ndiyo sababu wanawashinda hata kiuchumi.

Nyie mtabaki mnapinga ushoga wakati mnatumia simu za Apple, ambazo CEO wake ni... guess what? Shoga!
Kama wameendelea kwenye uhuru na haki za binadam mbona wanawalazimisha wengine wafate tamaduni zao huoni ni kinyume na haki za binadam
 
Wasukuma utawapenda kwenye kula muwa mtu ana muwa mrefu kumzidi anaumenya kuanzia juu hadi chini.
Ndo kabila linaloongoza kwa mashindano ya kula miwa nchini
Ha ha ha ha umenikumbusha mbali, utasikia ninage [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kule kwetu ukienda kwa mtu lazima akupe chakula utoki hivi hivi bila kula unakutana na ugali wa ngazi tatu na samaki mzima ukibakisha ugali wanasema haujashiba wanaingia upya jikoni kupika.
 
Hivi vitu "table manners" watu hufunzwa wakiwa wadogo sana(1-15 yrs)
Hivi vitu vinategemea sana mila na tamaduni za wqtu
Sehemu ambazo kwa kiasi Fulani zimefanikiwa kuwa table manners ni zile ambazo dini za Kiislam na Kikristo zimefika na ukiangalia kanda ya ziwa Luna sehemu nyingi hazijafikiwa na hawa watu Wa dini
Na ukiangalia sana sio table manners social evils nyingi bado zinaendelea kama

Mimba za utotoni
Mauwaji ya Vikongwe
Mauwaji ya Albino
Ndoa za Utotoni
Matumizi haba ya vyoo
Mikono ya Sweta
Unyanyasaji Wa Kijinsia
Ukeketaji

Ukitafuta Takwimu za matatizo yote hayo hapo juu kwa Tz yamejichimbia zaidi kanda ya Ziwa
Wanaoa wake wengi huo muda wakula na watoto hawana, wababa wenye wake wengi, wengi wao hula peke yao hawali na watoto, hivyo watoto hujilea wenyewe

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Watu wa vijijini na usafi ni mbalimbali...

Ukiwa kileji halafu ukaenda kwenye kilabu cha pombe ndio utaona namna watu wasivyojali kanuni za afya...

Pombe ikishawekwa mwenye kile kibaba, lile kombe linakuwa linazunguka kwa kila mtu kupiga funda...

Kuna mikoa pombe inawekwa kwenye ndoo, halafu wadau wanaizunguka na mirija ya kienyeji inayochuja machicha (imetengenezwa kwa mianzi myembamba)...
Vijijini kunywa pombe pekeyako ni hatari sana kwa uhai wako, bora wote mnywe chombo kimoja, ila uchafu jamani[emoji24][emoji24]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Shemeji zangu wahaya ni watu wa hovyo sana,sipendi ile tabia yao ya ukabila.unakuta Mpo wote wao wanagonga kilugha tu.Shubaamiti zao sitoenda ukweni tena(Uhayani).
Hata wajita nao hovyo sana vile vyenye ukabila hawachelewi kukuteta kwa kilugha hata kama upo vina mdomo hadi wanaume.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Upo nje ya mada Msukuma. Anasemea table Manner. Ni kweli wasukuma hamna table manners mnakula hovyo hovyo. Sijui bwana Maduhu Nyanda huko Marekani mnaishije na usukuma wako au nawe unakula hovyo hovyo maana unaweza kumtoa Msukuma usukumani ila huwezi kuutoa usukuma ndani yake.
Ūlīosagala gete nyanda bebe! 😁😁😁
 
Back
Top Bottom