Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Kujiingiza katika upande wa kuongoza.


Kujiingiza katika uongozi ambao wewe mwenyewe ndio umeukabidhi kwao kwa hiyari yako!!, hiyo inaleta sense??!, isitoshe katika hiyo miaka 100 tangu ulipowakabidhi nchi una uhakika wewe utakuwa hai ili UJIPENYEZE uongozini??-- kumbuka miaka mia ni muda wa mabadiliko mapya.na hata wale ambao utakuwa umewakabidhi nchi labda watakuwa wamekufa hivyo katika hali hiyo ya kujipenyeza au tuseme kukabidhi madaraka ni lazima kutakuwa.na mivutano na vita kubwa, kumbuka jinsi Tz tulivyopata uhuru kutoka kwa Muingereza, Muingereza alikabidhiwa Tanganyika kuiongoza tu hadi uhuru kutokaa kwa League of Nations baada ya mjerumani kunyan'ganywa Tanganyika lakini Muingereza alikuwa hataki kuondoka.
 
Kujiingiza katika uongozi ambao wewe mwenyewe ndio umeukabidhi kwao kwa hiyari yako!!, hiyo inaleta sense??!, isitoshe katika hiyo miaka 100 tangu ulipowakabidhi nchi una uhakika wewe utakuwa hai ili UJIPENYEZE uongozini??--
Haya ndio matatizo yenyewe, kwa nini ujiwazie wewe peke yako hiyo nchi ni ya kwako peke yako.

Unashindwa kuwaza kuhusu kizazi kijacho unajiwaziwa wewe peke yako. Ndio maana wenzetu wame endelea kama vichwani mwetu huu upumbavu umejaa kuliko akili.
 
Mtu mweusi hajitambui
Ebu angalia eti Mbunge anafanya Kazi miaka mitano analipwa mil 270 then Mwalimu analipwa mil 30 baada ya kufanya Kazi miaka 30
Walimu hao hao kila siku wanachukua fomu za Chama kinachounda serikali inayofanya mambo ambayo unashangaa kwamba hivi yanafanywa na binadam kabisa Tena msomi na PhD akishapata Ubunge au uwaziri anageuka kuwa kipofu asiyeona Tena shida za Watanzania.
 
Nasikitika kusema kwamba umechelewa Sana kulifahamu hilo mkuu.siku waafrika tukishinda ubinafsi wetu ndio tutafanya mageuzi makubwa katika Kila sekta za kuleta maendeleo katika bara letu.

P.W.Botha kasha wahi sema "mwafrika hawezi kujitawala"
Ogopa watu wasio na dira.
Waafrika hawana dira ni bendera fuata upepo wa Wazungu.
Fikiri Alikuja mwarabu akawaambia kuwa Kuoa wake wengi ni halali.
Wakamfuata muarabu .

Akaja mzungu akawaambia kuwa wake wengi ni haramu . Wakamfuata mzungu. Mzungu huyo huyo akawaambia mwanaume kumwoa mwanaume mwenzake nj halali . Eti Hilo nalo wanatafakari kupata Jibu la kuwaambia wananchi wao. Na wananchi wanasubiri majibu ya viongozi ili Hali wanajua viongozi Kwa nusu Karne wanataka majibu ya kulinda maslahi yao sio ya jamii. Wengi wameficha Mali zao Ulaya na watoto wao wanasoma Huko na kupata kazi Huko na ubalozini.
Waafrika hawajui hata Nini thamani ya Uafrika wao mbali na kutumia gharama kubwa kutafuta uzungu kimtizamo n.k.
 
Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)

Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.

Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.

Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.

South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.

Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.

Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.

MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Mtu mweusi akishiba fikra za kwanza kutiana nyege na kuamsha mapopo
 
Ni ujinga kuendelea kuji fariji kwa vimaneno vya kutia moyo kutokana na hali tulizo nazo.


Ujinga mkubwa ni kuitoa sadaka nchi yako kwa miaka 100 kwa wageni ili wakuongoze huku wewe ukiwa kama kibarua wao, kumbuka kiongozi ndiye boss.

Isitoshe uwape dada zako wazae nao kupata kizazi bora!!😀😀--- what a slavery!!.
 
Haya yote yana thibitisha kuwa sisi hatuna akili tofauti na wengine, mbona Singapore na Malaysia hawapo hivi na kupata uhuru tulifuatana ?

Siku tukipata akili baada ya miaka 100 ya kuchanganya damu tuna wafikia tu.
Kuna kizazi kilikuja kikatuvuruga kutokana na kukumbatia Mila za Kizungu baada ya uhuru.

Kuingiza mambo siasa za udini na ukabila bila kuangalia maendeleo. Watu wanachagua kidini na kikabila kwenye uongozi badala ya uwezo na maono binafsi Kwa Taifa.

Mfano Iddi Amini alikua ni Kiongozi mzuri sana lakini ghafla akaanza mambo ya udini hivyo akajikuta anapata Upinzani mkali sana kutoka Kwa wale wa dini nyingine . Mpaka nchi jirani ikajikuta inaingizwa Kwanya vita. Lakini mpaka Leo Uganda imeweza kuwa na waganda wenye Mali kutokana na maamuzi ya Iddi Amini kutaifisha Mali za wageni na kuwapa waganda . Yalikua ni maamuzi mazuri tatizo Mtu Mweusi akakosa dira na kuanza kutapatapa na tamaduni na dini za wageni na kuanza kuwaona waafrika wenzake ni maadui Kwa sababu TU hawana dini ya kigeni anayoiamini yeye.
 
Walimu hao hao kila siku wanachukua fomu za Chama kinachounda serikali inayofanya mambo ambayo unashangaa kwamba hivi yanafanywa na binadam kabisa Tena msomi na PhD akishapata Ubunge au uwaziri anageuka kuwa kipofu asiyeona Tena shida za Watanzania.
Upo sahihi kabisa.
 
Nadhani hapo ndipo tunakosea, Waafrika wengi wanakosa exposure na tuliona dunia tuna jukumu na kuwaambia ukweli. Pia ifike mahali shuleni waambie historia ya kweli ya Afrika sababu hata ukiangilia kinachotokea enzi hizi kilitoka huko Angola na Congo kwenye 16th century. Uwanawambia watu ni suala la muda tu wataanza kuja kuchukua mali zetu kwa nguvu tena. Haiwezakana kila mtu ana invest kwenye defense na bara la afrika tunacheka cheka tu.
Ni kweli jiulize TU ni Nchi ipi ya Afrika yenye Jeshi linalojiendesha Kwa ufanisi na Kwa bajeti inayoweza hata kuwalipa wanajeshi na hata Polisi stahiki zao kama vyombo visivyojihusisha na siasa kwa ujumla wake.
Nchi zilizoendelea wamewekeza sana kwenye ulinzi na wanafanya mikataba ya Kijeshi Kwa watu wao Kwa maslahi makubwa ili wajitolee Kwa nguvu kulinda maslahi ya nchi zao. Leo Majeshi ya Waafrika yanagombania kwenda kulinda maslahi ya Wazungu Kwa mikataba ili watoke kimaisha mana nchi zao haziwezi kuwalipa mishahara itakayobadili maisha yao.
Mfano Kenya Au Uganda asilimia kubwa ya wanajeshi wake wanapata maslahi mazuri kutokana na kutumiwa na Nchi za magharibi kwenye mission za UN . Yaani ukiona mwanajeshi au Polisi mwenye maisha mazuri bila ufisadi ni yule aliyekwenda UN kufanya kazi za Wazungu.
Hawa pakitokea Vita kubwa ya kuhusisha nchi za magharibi askari wetu wengi watanunuliwa Kwa pesa nyingi na kukimbilia upande wa Mataifa yenye fedha.

Amani uchwara za nchi za Kiafrika zinatokana na baadhi ya wakubwa wa vyombo vya Dola kushirikiana na watawala kulamba asali huku Kwa kupata teuzi na kufichiana ufisadi wao kwenye manunuzi ya vifaa vya Kijeshi n.k. Matokeo yake Afrika Ina nchi nyingi zenye Majeshi dhaifu kutokana na maslahi Duni . Nchi nyingi za Afrika hazina uwezo wa kupigania vita kubwa Kwa miaka miwili bila kuyumba na kutafuta misaada Toka Kwa Wazungu .

Sasa kama Tunapata misaada ya Kijeshi Toka Kwa Wazungu ni lazima Iko siku tutakua mateka wao .
 
Ujinga mkubwa ni kuitoa sadaka nchi yako kwa miaka 100 kwa wageni ili wakuongoze huku wewe ukiwa kama kibarua wao, kumbuka kiongozi ndiye boss.

Isitoshe uwape dada zako wazae nao kupata kizazi bora!!😀😀--- what a slavery!!.
Ni bora tuongozwe na watu wenye akili na vision kutoka ng'ambo kuliko kukumbatia watu weusi wenzetu wapumbavu na weshenzi watuongoze kwenye giza nene.
 
Ni kweli jiulize TU ni Nchi ipi ya Afrika yenye Jeshi linalojiendesha Kwa ufanisi na Kwa bajeti inayoweza hata kuwalipa wanajeshi na hata Polisi stahiki zao kama vyombo visivyojihusisha na siasa kwa ujumla wake.
Nchi zilizoendelea wamewekeza sana kwenye ulinzi na wanafanya mikataba ya Kijeshi Kwa watu wao Kwa maslahi makubwa ili wajitolee Kwa nguvu kulinda maslahi ya nchi zao. Leo Majeshi ya Waafrika yanagombania kwenda kulinda maslahi ya Wazungu Kwa mikataba ili watoke kimaisha mana nchi zao haziwezi kuwalipa mishahara itakayobadili maisha yao.
Mfano Kenya Au Uganda asilimia kubwa ya wanajeshi wake wanapata maslahi mazuri kutokana na kutumiwa na Nchi za magharibi kwenye mission za UN . Yaani ukiona mwanajeshi au Polisi mwenye maisha mazuri bila ufisadi ni yule aliyekwenda UN kufanya kazi za Wazungu.
Hawa pakitokea Vita kubwa ya kuhusisha nchi za magharibi askari wetu wengi watanunuliwa Kwa pesa nyingi na kukimbilia upande wa Mataifa yenye fedha.

Amani uchwara za nchi za Kiafrika zinatokana na baadhi ya wakubwa wa vyombo vya Dola kushirikiana na watawala kulamba asali huku Kwa kupata teuzi na kufichiana ufisadi wao kwenye manunuzi ya vifaa vya Kijeshi n.k. Matokeo yake Afrika Ina nchi nyingi zenye Majeshi dhaifu kutokana na maslahi Duni . Nchi nyingi za Afrika hazina uwezo wa kupigania vita kubwa Kwa miaka miwili bila kuyumba na kutafuta misaada Toka Kwa Wazungu .

Sasa kama Tunapata misaada ya Kijeshi Toka Kwa Wazungu ni lazima Iko siku tutakua mateka wao .
Sahihi kabisa.
 
Haya ndio matatizo yenyewe, kwa nini ujiwazie wewe peke yako hiyo nchi ni ya kwako peke yako.

Unashindwa kuwaza kuhusu kizazi kijacho unajiwaziwa wewe peke yako. Ndio maana wenzetu wame endelea kama vichwani mwetu huu upumbavu umejaa kuliko akili.


Nimejaribu kukuliza ni njia gani utaitumia kujipenyeza katika uongozi baada ya hiyo miaka 100 ya uongozi wa hao vipenzi vyako watu weupe bado hujanijibu!!, ndio maana nikakupa mazingira yanayoweza kuwepo baada ya hiyo miaka 100 ili ujue watakaojipenyeza kwenye uongozi sio nyie mliowapa
uongozi hao weupe bali inawezekana wakawa ni machotara au hao hao weupe wakaendelea kushika uongozi huku wakiwagandamiza wazawa weusi na kuwapendelea machotara au weupe wenzao kiasi kwamba weusi wakawalaani nyie mliouza nchi kwa watu weupe, kwa maneno mengine mtakuwa mmekaribisha ukoloni kwa hiyari yenu ili kujenga nchi kumbe mnaandaa kuibomoa bila kujua wakati huo nyinyi mliosababisha shida hiyo mmo makaburini na laana ya wazao wenu weusi itawafuata huko makaburini.

Suala lako ni very complex to be feasible in reality, kwa maneno laini ni theory za mtu aliyekata tamaa na ameamua kusema na lolote liwe ndiye anayeweza ku entertain such nonsensical thinking of yours ya kuuza nchi kwa wageni.
 
Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)

Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.

Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.

Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.

South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.

Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.

Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.

MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Ukishiba kiporo ndo akili zinavokuwaaa?🙆
Yaani wazungu hawa hawa wanaotaka turejee enzi ya Sodoma na Gomora? Sasa hao unawaona wana akili kweli!! Hawa hawa wanaopitwa utashi na wanyama ambao wanatambua nani ni jike na nani ni dume?

Umewaza nini labda tuanzie hapo.

Kwa hiyo hapo ulipo hata ukipewa nafasi ya kuongoza huna lolote utakalo deliver kwa jamii.
Kwa mawazo haya sijui kama utakuja kumudu kui-handle familia yako.
 
Watu weusi tuna akili nadhani walioingia kwenye siasa na wanaotuongoza siyo wabunifu na uwezo wao haukidhi matakwa ya ofisi walizokalia
I support you.
Dhana ya kukosa UBUNIFU ndiyo inayotunyima maendeleo.
Na hii ni kwa sababu lipo tatizo kuu mahali.
 
Ni bora tuongozwe na watu wenye akili na vision kutoka ng'ambo kuliko kukumbatia watu weusi wenzetu wapumbavu na weshenzi watuongoze kwenye giza nene.


Wenzako huwa hawakabidhi uongozi kwa wageni kwani kufanya hivyo ni kuuza uhuru wako na kujiingiza kwenye utumwa ndani ya nchi yako kwa hiyari yako, mbona huelewi wewe??!!-- kama kweli mawazo yako ni mujarabu hebu nitajie nchi moja tu duniani ambayo imewahi kufanya upuuzi wa aina hiyo??-- hakuna.

Mbaya zaidi unataka tuzaliane nao kimkakati (strategically) eti ili tupate damu ya hao vipenzi vyako watu weupe!!!, what a shameful ideas!!.

Wanachofanya wenzako (nchi zilizoendelea), Japan, marekani, Canada, Uingereza nk, ni kitu kinachoitwa "brain drainage" yaani unawachukua na kuwaajiri watu mahiri katika taaluma mbalimbali kutoka nchi za nje na wanalipwa mshahara mzuri kuhudumu kwenye sehemu mbalimbali nyeti ili kukuza nchi kupitia michango ya taaluma zao, hiyo ndio akili lakini sio KUTOA SADAKA UONGOZI WA NCHI KWA WAGENI, ni mwehu aliyechupa mipaka ya wehu na asiyejitambua utu wake ndiye anayeweza kufanya jambo hilo.

Kama sisi watu weusi hatuna akili basi asiyekuwa na akili zaidi ni yule anayeweza kuuza utu wake, nchi yake na watu wake kwa wageni na kuwapa nafasi ya kuwa viongozi na yeye akaongozwa kama ng'ombe ndani ya nchi yake mwenyewe, kuikabidhi nchi katika hali hiyo ni sawa na kumkabidhi jirani yako mkeo.
 
Wenzako huwa hawakabidhi uongozi kwa wageni kwani kufanya hivyo ni kuuza uhuru wako na kujiingiza kwenye utumwa ndani ya nchi yako kwa hiyari yako, mbona huelewi wewe??!!-- kama kweli mawazo yako ni mujarabu hebu nitajie nchi moja tu duniani ambayo imewahi kufanya
Taiwan, Singapore, U.S.A, Botswana, U.S.A unataka nyingine.
 
Taiwan, Singapore, U.S.A, Botswana, U.S.A unataka nyingine.


Nchi hizi zimekabidhi Uongozi wao kwa wageni?? Kila nchi ilikabidhi kwa wageni gani na ilikuwa kwa miaka mingapi??
 
Back
Top Bottom