Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Imakulaya -Mwananyamala kwa kopa sela sela nukta nukta.
John Zenze
Baba Dulla One Majani Mapana - M.A.P
Manase R. Muhaha Ng'hambako kutoka Lumumba DSM
Salumu Chumu

Kwasasa kuna Magufuli Jikono Jandama - RFA Huyu Kwenye kipindi cha Hakuna Kulala Na Faustine Stephano
 
Namkumbuka Kuna jamaa alikuwa anaitwa" Dibro dibara double D ,D kubwa mbili zenye ujazo" alikuwa lazima atume salamu kituo cha redio Ebony Fm
 
Huyu wa kuning'inia kwenye Tawi la mchicha nimecheka sn asee[emoji28]..alafu siyo tu ananing'inia,bali pia bingwa wa kuning'inia' ahahaha

Time is fleeting!!


Maanake huwenda kuna wengine wakawa wanajaribu jaribu kuning'inia kwenye tawi la mchicha,sasa mwamba ndo alikuwa bingwa wa hayo makarateee😂😂😂😂😂😂
 
Kuna yule alikuwa Radio free wakuitwa mwili obareeee
 
Maanake huwenda kuna wengine wakawa wanajaribu jaribu kuning'inia kwenye tawi la mchicha,sasa mwamba ndo alikuwa bingwa wa hayo makarateee😂😂😂😂😂😂
Dah🤣🤣
 
Wapiiii jimmy shirikisho raisi wa mwenge,sharo ganstar,zibwalabwatah,mtoto wa vitoto,
Sharo gangster wa juzi huyu,wenzie kina shangwe dereva bajaji,king majuto, na daudi wakota kabla hajachukuliwa clouds media
 
Hiyo naam imezidi kwa urefu. Jamaa siku hizi simsikii kabisa
 
Kuna huyo mdada alikuwa anaitwa Manka Mushi alienda wapi? Sema huyo Baba Mzazi Baba kutoka Makongorosi Chunya nampenda Sana na Mungu amzidishie huwa anasaidia wenye uhitaji kupitia redioni.
Manka Mushi bado yupo sana anaendelea.
 
Lawena Msonda

Huyu jamaa kuna muda mpaka nikahisi ni watangazaji wenyewe wanajitekenya na kucheka
Baba mzazi baba eh baba naachia laini. Nampenda sana huyu jamaa ni burudani kumsikiliza.
 
Kuna huyo mdada alikuwa anaitwa Manka Mushi alienda wapi? Sema huyo Baba Mzazi Baba kutoka Makongorosi Chunya nampenda Sana na Mungu amzidishie huwa anasaidia wenye uhitaji kupitia redioni.

Huyu yupo pia radio maria,ila waanzilishi ni ni sisi mwaka 1996 enzi za Askofu Norbert Mtega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…