Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Wiliobale na RFA miaka hiyo, 2020 nikaja kukutana nae kagongwa-kahama ni dalali wa maroli ya mizigo
 
Kuna jamaa alikuwa akitaka kutuma salamu clouds FM alikuwa akianza na neno Niambiiiiiiieee!!
 
Dah nilitaka nishangae mtoa mada kataja wote kasahau dullah one[emoji38][emoji38][emoji38]...
Bado mutala tala venture wa msasani..
Watu majina makubwa kuliko maisha yao[emoji23]
 
Mwingine enzi hizo nipo shule ya msingi namsikia "Kapama wa Kapama"kutoka kiloleni tabora.
 
Yupo kagongwa kahama ni dalali wa maroli nimeanza kumsikia tokanipo chali hadi nimekuwa mtu mzima mara ya kwanza naonana nae 2020 hadi saiv nina number yake
Alafu unakuta mtangazaji anataka Kwa kujaza hiyo KAGONGWA KAHAMA 😅😅
 
Wewe mkongwe sn mkuu
 
Baba mzazi baba eh baba naachia laini. Nampenda sana huyu jamaa ni burudani kumsikiliza.
Na kuna mmoja alikuwa anaitwa masumbuko shombe sijui kama unalikumbuka hilo jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…