Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Wao ni watawala wa ulimwengu huu na wanajua hivyo na pia wanajua dini yao sio ya Mungu wala utakatifu wa kwenda huko Mbinguni wanajua wao KAZI yao ni kutawala Dunia yote na Mali zake tu na ndio maana Wana Mali nyingi na pia wanaamua nani atawale wapi na vipi KWA maslahi yao!!wanajua fika !wanaowapigia kelele hawaelewi kitu ndio maana wanapiga makelele tu!!hilo ni kanisa la kijasusi ndio maana hata MAKANISA yao Yana ofisi nyeti za kijasusi za NCHI yetu!!!utendaji KAZI wao una fanana na FBI,KGB,MOSSADI, na CIA !!
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu.Mmakonde,Mmachinga,Mmsai,Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Yes alikuwepo from West Africa

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Barua za Paul Mzee wa injili waliandikiwa pia warumi(ambao ndio waroma)
Ni Jamii ambayo imewitness ukuaji wa dini ya kikrsto toka enzi na enzi ,
Hakuna barua yoyote ya Paul ilienda Kwa walutheri wala wa T.A.G hizi zote ni fragments Toka kwenye ukatoriki ,

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tamaduni za kipagani kama zipi kwa mfano?
 
Mkatoliki kaa nae karibu ndipo utafahamu anakuchukuliaje usie mkatoliki. Wana ka ubaguzi ka kujificha sawa na walokole tu
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu.Mmakonde,Mmachinga,Mmsai,Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Kanisa la ulimwengu lililoachwa na mitume. Universal church [emoji547]. Universe [emoji292] church. Kanisa la ulimwengu. Kanisa la ulimwengu liko moja tu. Kanisa Katoliki
 
Yan ushapotea namambo yamazingaumbwe, yesu mwenyewe alisema inaamana bila miujiza hamtsadiki, kizaz kiovu kinapenda miujiza nyie mtandaendelea kuwa mazombi wakina zumarudi hadi yesu arud
 
Tutajie hiyo miradi ya shetani mkuu acha kupotosha.catholic is the best
 
Kitu pekee kikubwa wakatoliki walichoweza kuwakamata watumiaji wote wa Biblia ni kuwahakikishia kwamba maandiko walioyachagua wao na kutengeneza Kitabu kimoja kiitwacho Biblia kinakubalika na kinaheshimiwa.
Kwa hili wakatoliki wamefanikiwa sana.
 
Hili nalo tunalivumuilia...
 
Kitu pekee kikubwa wakatoliki walichoweza kuwakamata watumiaji wote wa Biblia ni kuwahakikishia kwamba maandiko walioyachagua wao na kutengeneza Kitabu kimoja kiitwacho Biblia kinakubalika na kinaheshimiwa.
Kwa hili wakatoliki wamefanikiwa sana.
Hata hili tunalivumilia..
 
Siyadharau. Mungu anakuumba na akili timamu kabisa. Unaweza kujenga nyumba ya kuishi, unaweka fence, na kufuga mpaka mbwa kukulinda, lakini ibada unaona ukaifanye kwenye kanisa la mabati machakavu?

Watu mnapenda kufanya utani sana na imani.
Kwahiyo unashauri watu kabla ya kuanza kuabudu wajenge kwanza makanisa yenye malumalu kama majumbani kwao ndio waanze kumuabudu Mungu?
 
Umetafsiri ya yule jamaa wa Zambia


YESU NI KRISTO
 
Yan ushapotea namambo yamazingaumbwe, yesu mwenyewe alisema inaamana bila miujiza hamtsadiki, kizaz kiovu kinapenda miujiza nyie mtandaendelea kuwa mazombi wakina zumarudi hadi yesu arud
Wanadhani Yesu alikuja ulimwenguni kufundisha watu kutenda miujiza.
Haya madhehebu ya kileo hayajui hata dhumuni la ujio wa Yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…