Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hakustahili heshima yeyote special. Yesu alikuwepo hata kabla yake. endeneeni kumwabudu kama ana mbingu ya kuwapeleka.Hapo ndipo wakatoliki wanapowazidi,ina maana kama hao mitume hawajamtaja nyie binadam wa leo hamuwezi kuona kama alistahili heshima kwa kuwazalia mkombozi wenu?
Huenda umesimuliwa tu na elders wako kwa maslahi yao, lakini hujahudhuria wala kuona mafundisho ya Roman Catholic church, yaani The Church. Halafu kuna watu hawajui kuwa Biblia haikuandikwa immediately baada ya kila tukio, hawajui iliandikwa kutokana na mapokeo piaWaislamu siwezi kuwasemea lakini Wakristo wengine wanawashutumu Wakatoliki kwa sababu wanafundisha mambo ambayo ni unbiblical na mambo ambayo yalirithiwa kutoka katika desturi za Dini za Kipagani za Kirumi na Kiyunani
Heee,Yesu alikuwepo kabla ya mama yake?hakustahili heshima yeyote special. Yesu alikuwepo hata kabla yake. endeneeni kumwabudu kama ana mbingu ya kuwapeleka.
Sawa umesimulia agano la Kale. Biblia yako haina agano jipya labda tuone kama Bikira Maria hajaandikwa?mitume wote 12 hata wale walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi hata kumtaja tu maria. kwenye nyaraka zao zooote kuanzia Paulo, Petro, Yuda, Yakobo n.k, hawajawahi hata kumtaja tu. ila wakatoliki wakaamua kulianzisha wanalolijua wao. hata biblia haifundishi hivyo sehemu yeyote kwamba tuombe kwa njia ya maria. Yesu mwenyewe alisema tuombe kwa Jina lake Yesu tu sio Maria.
Daaa asante mkuu umemaliza kila kitu ,nilitaka nimueleze hivyo hivyo. Barikiwa saana mkuu, taji yako inang'aranever, Mungu hayupo kila mahali. Mungu anakaa mahali patakatifu. sasa kwa mfano, Mungu atakuwepoje katoliki wakati mnakataa kumpoke Roho kwa kujazwa na kunena kwa lugha, mnakataa uponyaji, badala ya kuomba kwa Jina la Yesu mnaomba kwa maria na wafu wengine? Mungu hayupo kwenye michanganyo kama hiyo ya dini. kumbuka, walipo wawili watatu wamekusanyika kwa Jina langu, mimi nipo papopapo katikati yao, the phrase "kwa Jina langu"ni muhimu sana. ninyi mnakutanika kwa majina ya wafu waliokufa na hawana lolote, mnakutanika kwa majina ya kina yosefu, kina Maria n.k, sio kwa Jina la Yesu. ndio maana Mung hayupo katikati yenu na hamtakuja kumwona mtakuwa mnamsikia tu.
Roho Mtakatifu hajawahi kushuhudia watu wafuate desturi hizo za kikatoliki za kina maria na watakatifu waliokufa. ni kweli kuna mambo mengi sana ambayo hata yasipoandikwa Roho Mtakatifu anaweza kukufafanulia kuwa hili ni dhambi na hili sio dhambi. Roho Mtakatifu anashuhudia kuwa kuabudu wafu na kureplace kuomba kwa Jina la Yesu na jina la maria na mitume ni dhambi na chukizo kwa Mungu.Huenda umesimuliwa tu na elders wako kwa maslahi yao, lakini hujahudhuria wala kuona mafundisho ya Roman Catholic church, yaani The Church. Halafu kuna watu hawajui kuwa Biblia haikuandikwa immediately baada ya kila tukio, hawajui iliandikwa kutokana na mapokeo pia
Yohana 21:25
25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
SafiNimezaliwa Mkatoliki, Nitauisho ukatoliki, nitakufa nikiwa Mkatoliki.
wapi pameandikwa tuombe kupitia Maria kuanzia Mathayo hadi Ufunuo?Sawa umesimulia agano la Kale. Biblia yako haina agano jipya labda tuone kama Bikira Maria hajaandikwa?
Upo sahihi mkuu kuna uwezekano mimi ni mjinga.Comment ya kijinga sana hii unaweza kuthibitisha humu unabenefit nini na assets za kiroma?
huwa hamfundishwi hivyo? soma Yohana 1 yote utajua Yesu alikuwepo tangu enzi. alifanyika mwili tu (reincarnate) ili afanyike kafara la dhambi zangu mimi na wewe na wengine wote dunia nzima.Heee,Yesu alikuwepo kabla ya mama yake?
Nitaendelea kuwa na Kanisa Takatifu la Roma kwa comment za aina hii.
Wapo mapadri wengi tu wanaombea watu,tatizo lenu nyie so called religious fanatics mnajifanya kujimilikisha roho mtakatifu.hatuongei ili kuwakashifu, hatuongei ili kuwadharau, hatuongei ili kuwatukana, tunaongea ili kuwasaidia mfumbuke macho pengine mtaponya roho zenu.
1. Kanisa aliloanzisha Paulo/Pwetro au mitume wowote wale, halifanani kabisa na ukatoliki, kwasababu makanisa ya mitume yalitembea na Nguvu za Mungu. Yesu alipopaa aliwaelekeza wanafunzi wake kwamba enenedi mkawafanya mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa JIna la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuri ninyi, na tazama mimi nipo pamoja nany hata ukamilifu wa dahari. mojawapo ya mafundisho ya Yesu ni kwamba, wakati wa kuhubiri injili tunatakiwa kuponya wagonjwa, kufufua wafu, kutakasa wenye ukoma, na tunatakiwa kufanya hivyo bure bila malipo.(ndio maana siku zote napinga wachungaji wanaotoza waumini ili wawaone au kuuza bidhaa kama njia ya kuwaona).
hakuna padre wala askofu wala papa wa kiroma mwenye uwezo wa kuponya wagonjwa, kufufua wafu au kutakasa wenye ukoma. hakuna padre wala yeyote wa aina hiyo anayetembea na Nguvu za Mungu kwasababu ili uwe nazo lazima ujazwe Roho Mtakatifu ambaye wakatoliki wanampinga, wanakataa kujazwa Roho na kunena kwa Lugha.
kanisa la kwanza, lilelile ambalo ndio kina Paulo na Petro walilijenga kule St.Peter Roma Italia, walizingatiwa uongozi wa Roho na kuomba kwa Jina la Yesu, hawajawahi kuomba kwa Maria au Mtakatifu yosefu n.k, pia katika vitabu vyote vya manabii mitume walifanya reference, hautakuja kukuta vitabu kama vya Maccabean n.k,
Heeeeeeeeeehuwa hamfundishwi hivyo? soma Yohana 1 yote utajua Yesu alikuwepo tangu enzi. alifanyika mwili tu (reincarnate) ili afanyike kafara la dhambi zangu mimi na wewe na wengine wote dunia nzima.
wanaombea kwa jina la nani kati ya Maria, watakatifu na Yesu Kristo? ni jina lipi limeonekana kuwa na nguvu ya kuponya kati ya hayo.hahahaha.Wapo mapadri wengi tu wanaombea watu,tatizo lenu nyie so called religious fanatics mnajifanya kujimilikisha roho mtakatifu.
Vyotewanaombea kwa jina la nani kati ya Maria, watakatifu na Yesu Kristo? ni jina lipi limeonekana kuwa na nguvu ya kuponya kati ya hayo.hahahaha.
kwahiyo wanaombea kwa jina la bikira maria na mtu anapona, mtakatifu yosefu mtu anapona, ndio wanakuja kuchanganya na Jina la Yesu sasa wakiamua. kweli kipofu huwa hajioni.Vyote
"Umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa". Kama unaheshimu vitabu vitakatifu basi hiyo sentensi iko kwenye biblia ndugu.hakustahili heshima yeyote special. Yesu alikuwepo hata kabla yake. endeneeni kumwabudu kama ana mbingu ya kuwapeleka.
kwahiyo kama maria amebarikiwa, mimi naanzaje kuomba kupitia yeye wakati Yesu Kristo aliyenifia msalabani aliagiza tuombe sio kwa jina lingine ila kwa Jina la Yesu tu. kwani maria ana nguvu gani kunisaidia? alimwaga damu na yeye ili awe tofauti na mimi?"Umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa". Kama unaheshimu vitabu vitakatifu basi hiyo sentensi iko kwenye biblia ndugu.
Aaa mkuu sasa Yesu si ni Mungu, inamaanisha kua alikuwepo kabla ya mama Maria kuumbwa.Heee,Yesu alikuwepo kabla ya mama yake?
Nitaendelea kuwa na Kanisa Takatifu la Roma kwa comment za aina hii.
Akili ndgo ni ipi?Ushawahi kuona mkatoliki mwenye akili ndogo?