Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Limewekeza katika biashara na mambo ya Dunia hii.
Mzee wewe ulitaka hiyo sadaka iwekezwe mbinguni au?
Kanisa ni la dunia hii so lazima hiyo fedha ifanye miradi hapahapa duniani kwa kufanya dunia iwe better place.

Kanisa Catholic linahakikisha kuwa fedha inayopatikana kupitia michango mbalimbali inafanya miradi mbalimbali kwa manufaa ya jamii kwa ujumla.

Mfano uwepo wa hospital ya Bugando-Mwanza hii ni faida kwa jamii nzima bila kujali dini au kabila.

Uwepo wa chuo cha St. Augustine Mwanza ni kwa faida ya jamii nzima.

Sadaka inayopatikana katika ibada zetu inapelekwa kanisa kuu (jimboni) kwa ajili ya miradi mbalimbali.

Miradi hiyo ni
Hotel mfano ST. GASPER HOTEL DODOMA.

kituo cha mikutano mfano St.Dominic Conference center.

Vituo vya watoto yatima na wenye uhitaji maalumu
Mfano ST.FRANCIS OPHARN CENTER.
 
Ewaa...tukimaliza hapo ni kawine na kitimoto Rost hatuna habari
Sahihi kabisa mkuu😂.
Hatuna muda wa kubishana na binadamu mwenzako kuhusu Usahihi wa uwepo wa Mungu.

Roman Catholic church tuna vitabu vingi kwa ajili ya kujifunza kumhusu Mwenyezi Mungu.

Ndiyo maana padri wa kanisa hili inamhitaji kusoma zaidi ya miaka 10 ili aweze kuwa priest.
 
Sijawahi kumuona mu R.C akienda kanisani na note book na kalamu kutake note ya doctrine kama wapo ni wachache saana. Wengi huenda kanisani wakilenga kukomunika tuu, average R.C member wanaijua bible kidoogo saana. Kupata ma sakramenti kama ubatizo, komunyo na kipaimara sharti ufunzwe sala uzielewe kama kanuni ya imani na Q&A za katekisim yetu. Mpaka napata hizo sakramenti sikuwahi kufunuliwa bible ktk mafundisho. Leo hii ukimchukua mtoto wa Sunday school wa Kiprotestant na jamaa mwenye level ya kufuata mafundisho ya ndoa uwaweke ktk bible literacy utashangaa mtoto wa Sunday school alivyomeza vifungu vya bible na kufanya uchambuzi wakti mwenzangu na mimi mtu mzima Mrumi umuambie tu afungue kitabu cha Yuda ktk bible nakuambia atakitafuta toka saa mbili hadi saa tano. Sisemi haya kwa ubaya bali ni kwa namna nilivyo experience. Nafikiri falsafa za Ki R.C na kiprotestanti zinatofautiana kiasi mfano R.C ibada zake ziko ktk ratiba kabisaa inatoka misa ya neno inakuja misa ya sadaka n.k ilhali huku kwenye uprotestanti misa anaongoza Roho mtakatifu..Pastor anaweza panda altareni na somo aliloandaa jana lakini akaambiwa na Roho mt hakuna kufundisha ulichoandaa jana ila utafundisha nitakachokupa muda huu huu. Naiheshimu R.C kwa maana lilikua ni daraja katika kumjua Kristo.
Ukishajua uliletewa Biblia na wakatoliki umepona.
Biblia ni Kitabu Cha kufundishia kilichobuniwa na Wakatoliki Kwa ajili ya kusaidia(supporting) kufundisha Imani ya Kanisa Katoliki.
Mitume na mababa wa Kanisa walitangaza neno la Mungu bila uwepo wa Biblia.
Wakristo nao walikuwa wanawasikiliza Mitume na mababa wa Kanisa bila uwepo wa Biblia na waliweza kumpokea Yesu.

Kizazi hiki Cha wapiga Pesa kupitia sadaka na zaka kinadai huwezi kufundisha neno la Mungu bila uwepo wa Biblia.

Endeleeni kujifunza.
Bado mpo chini sana.
 
Ukishajua uliletewa Biblia na wakatoliki umepona.
Biblia ni Kitabu Cha kufundishia kilichobuniwa na Wakatoliki Kwa ajili ya kusaidia(supporting) kufundisha Imani ya Kanisa Katoliki.
Mitume na mababa wa Kanisa walitangaza neno la Mungu bila uwepo wa Biblia.
Wakristo nao walikuwa wanawasikiliza Mitume na mababa wa Kanisa bila uwepo wa Biblia na waliweza kumpokea Yesu.

Kizazi hiki Cha wapiga Pesa kupitia sadaka na zaka kinadai huwezi kufundisha neno la Mungu bila uwepo wa Biblia.

Endeleeni kujifunza.
Bado mpo chini sana.
Unaposema tuu ya kua Biblia ni kitabu kilichobuniwa na Wakatoliki najua na kuhakikisha bila shaka uelewa wako wa Biblia ni mdogo saana. Wewe mtu vipi asee yaani akina Yohana walifukuziwa kisiwani Patmo wakavuviwa maandiko halafu wewe uje useme eti maandiko ya biblia yalibuniwa na Wakatoliki hawa niwajuao wanywa chimpumu, Balimi na Safari lager. Jaribu kua siriazi basi mkuu
 
Cijajua hasa lini ilikua inaitwa Roman instead of Catholic as far as I know the ancient apostolic Creed named it as Catholic and not otherwise
Mwee! So to you RC stands for regional commissioner? Nilikwambia historically and officially kuwa kadinali ni askofu wa Roma au papa ni askofu mkuu wa Roma utaelewa kweli?
 
Unaposema tuu ya kua Biblia ni kitabu kilichobuniwa na Wakatoliki najua na kuhakikisha bila shaka uelewa wako wa Biblia ni mdogo saana. Wewe mtu vipi asee yaani akina Yohana walifukuziwa kisiwani Patmo wakavuviwa maandiko halafu wewe uje useme eti maandiko ya biblia yalibuniwa na Wakatoliki hawa niwajuao wanywa chimpumu, Balimi na Safari lager. Jaribu kua siriazi basi mkuu
Hapo ndipo mnapoonekana wachanga mno.
Huyo Yohana unayetolea mfano uliambiwa alikuwa anahubiri akiwa ameshika Biblia?.

Labda nikufundishe.

Yesu hakuwahi kuagiza injili itangazwe kupitia Biblia.

Mababa wa Kanisa ambao ni wengi mno tofauti na hao ulioambiwa na Wakatoliki kupitia Biblia,walikuwa wanaeneza neno la Mungu Kwa maneno tu.

Kipindi kingine walikuwa wanaandika barua za kichungaji kwenda sehemu ambazo hawezi kufika Kwa muda huo.

Baadhi,narudia Tena BAADHI ya barua hizo ndio zilichaguliwa na Kanisa Katoliki Kwa ajili ya kusaidia kufundishia Imani Katoliki

Barua hizo zilizochaguliwa na Kanisa Katoliki katika Mtaguso wa Nicea ndizo zilizopewa jina Biblia.

Kwa hiyo mnavyoshindwa kuielewa biblia ni Kwa sababu hamjui chimbuko lake.
 
Hapo ndipo mnapoonekana wachanga mno.
Huyo Yohana unayetolea mfano uliambiwa alikuwa anahubiri akiwa ameshika Biblia?.

Labda nikufundishe.

Yesu hakuwahi kuagiza injili itangazwe kupitia Biblia.

Mababa wa Kanisa ambao ni wengi mno tofauti na hao ulioambiwa na Wakatoliki kupitia Biblia,walikuwa wanaeneza neno la Mungu Kwa maneno tu.

Kipindi kingine walikuwa wanaandika barua za kichungaji kwenda sehemu ambazo hawezi kufika Kwa muda huo.

Baadhi,narudia Tena BAADHI ya barua hizo ndio zilichaguliwa na Kanisa Katoliki Kwa ajili ya kusaidia kufundishia Imani Katoliki

Barua hizo zilizochaguliwa na Kanisa Katoliki katika Mtaguso wa Nicea ndizo zilizopewa jina Biblia.

Kwa hiyo mnavyoshindwa kuielewa biblia ni Kwa sababu hamjui chimbuko lake.
Hahahaaaa mkuu nakusoma mkuu
 
Kuna msemo kwamba usibishane na mjinga (Don't argue with a fool). Kwa msemo huo sijui fool ni mkatoliki au hao wengine uliowataja ila ukiwa unajielewa huwezi jishughulisha na dini/dhehebu la mwingine wala kuliponda kama wafanyavyo hao unaowesema.
kwanza ni nani anayefaham kama yeye yuko sahihi
 
Mnaongea hivyo kwasababu hamuwezi kufanya muujiza hata wa kuponya unywele tu,mnamkataa Mungu na nguvu zake ili mfuate maagizo ya dini. Agizo kuu la Yesu ni kwenda kote ulimwenguni kuhubiri injili,pia kupooza wagonjwa,kufufua wadu na kuwaweka watu huru. Ukiona dinibyako haifanyi hayo kimbia,you are at the wrong place.
Em nambie nikanisa gan lililoenea pande nyingi duniani zaid ya RC, nyie hua mpo mijin kupiga pesa zasadaka miujiza ndio inayowaponza hadi mnadanganywa namanabii wauongo kwamiujiza fake, eti kanisa laufufuo nauzima wakat tangu linajengwa had halijafufua hata panyabuku mmoja
 
Unamkubali Mama Ellen G White kuwa ni Nabii halafu unamkataa Zumaridi, ,,😂😂

Unaikubali Rozari ya Dominic kuwa ni kifaa cha Roho halafu unakataa Mafuta ya Mwamposa,,,, 😂😂

Unakubali uponyaji wa Maji ya Baraka halafu unakataa ya Kuhani Musa...😂😂

Unaponda Matangazo ya Sadaka ya Mwamposa na Kuhani Musa halafu huongelei hili hapo chini
👇

1647526917451.png


Kuna wengine Mtume alipewa Utume na Mganga wa Kienyeji...🤣🤣

Wapendwa kila Mja Ashinde Mechi Zake Ligi ikiisha tutahesabiana pointi...
TUSISAHAU NA KUTOA SADAKA MAANA WAPAKWA MAFUTA WANAKULA VYA MADHABAHUNI KWAHIYO ACHENI ROHO MBAYA, HAWA WANAPAMBANIA ROHO ZETU...
 
Unamkubali Mama Ellen G White kuwa ni Nabii halafu unamkataa Zumaridi, ,,[emoji23][emoji23]

Unaikubali Rozari ya Dominic kuwa ni kifaa cha Roho halafu unakataa Mafuta ya Mwamposa,,,, [emoji23][emoji23]

Unakubali uponyaji wa Maji ya Baraka halafu unakataa ya Kuhani Musa...[emoji23][emoji23]

Unaponda Matangazo ya Sadaka ya Mwamposa na Kuhani Musa halafu huongelei hili hapo chini
[emoji116]

View attachment 2154223

Kuna wengine Mtume alipewa Utume na Mganga wa Kienyeji...[emoji1787][emoji1787]

Wapendwa kila Mja Ashinde Mechi Zake Ligi ikiisha tutahesabiana pointi...
TUSISAHAU NA KUTOA SADAKA MAANA WAPAKWA MAFUTA WANAKULA VYA MADHABAHUNI KWAHIYO ACHENI ROHO MBAYA, HAWA WANAPAMBANIA ROHO ZETU...
Sadaka tunayotoa, makanisa tunayojenga, miradi tunayoanzisha itafanya kazi ya injili milele maana haimilikiwi na mtu! Umewahi kujiuliza who owns Catholic Church?

Huko kwingine mwanzilishi akifa ndio wanajua kila kitu ni cha familia! Huduma inafia pale. Leo tunasali kwenye makanisa ambayo ni sadaka za waliopokea Ukristo kabla yetu!

Huku ufisadi unaweza kuwepo (kibinadamu haikwepeki) lakini kuna uwazi kwenye fedha. Michango yetu inasimamiwa na halmashauri ya walei ambao huchaguliwa na sisi waamini!

Sadaka zinasomwa kila ibada na taarifa za mahesabu zi wazi! Huko kwingine waulize kama wanajua hata makusanyo ya siku! Wanashtukia tu mtumishi kajenga ghorofa ununio alafu wanasimangwa wanatoa kidogo sema "baba" ana madili yake mengine[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
 
Habari za wakati huu wapendwa

Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.

Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.

Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.

Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.

Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.

Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.

Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.

Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.

Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.

Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.
Kanisa linaloongozwa na wasomi wa nyanja zote. Kuanzia elimu ya dini, teknolojia, uchumi, siasa hadi mambo ya kijamii.

Haliko mifukoni mwa mtu au kikundi cha watu. Ni mfumo uliojengeka toka kaya hadi dunia.

Kubomoka si rahisi kutokana na misingi imara iliyowekwa kiimani na kiuchumi bila kusahau mifumo ya usalama na ujasusi.
 
Kutangaza Imani ya kristo na siyo kufanya biashara Kama RC ifanyavyo.
Catholic Church lina waamini 1.3 bilioni! Sasa wewe hiyo imani yako na Kanisa Katoliki nani anatangaza injili?

Tena kwa kukusaidia waamini wengi makanisa yenu ni ex Catholics yaani tayari walishahubiriwa injili! Leteni takwimu Muslims au natives mliowatoa kwenye dini zao za miungu na kuja huko! Mmebanana Sinza na Kinondoni kwenye mishe sio [emoji23].

Wewe unafikiri bila Kanisa Katoliki kusafisha njia uarabuni na nchi kama uchina mngetia timu nyie? Kwa negotiation power gani? Huko dini ndio sheria, unafikiri utaingia tu bwana Yesu asifiwe wakuache? Jesus alijua huu ulimwengu needs strong church with strong institutions to conquer this evil world.

Kanisa limepita kwenye ups and downs za kibinadamu lakini lipo tu! Mimi na wewe tutaondoka but the church of the Lord will be there till end of times.
 
Nasadiki kwa kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume🙏
FB_IMG_1647535749555.jpg
 
Back
Top Bottom