Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

Habari wapambanaji na wote tuliokula kiapo cha kumtoa adui wetu nduli umasikini, Mimi ni mfanya biashara mdogo na mlanguzi wa mpunga na mchele hapa moshi.

Changamoto yangu kwa sasa ni mzigo nimekuwa na mzunguko mdogo kias kutokana na connection yangu si kubwa, natamani saana ningepata mtu wa kuniletea mzigo kwa bei rafiki tukafanya kazi itakuwa big deal kama yupo aliyetayari aje tuzungumze, hata ule wa nje fresh nauza pia.

Nakaribisha pia mtu tutakayefanya ushirika wa kibiashara milango iko wazi vijana tupambane

Kama nawe una changamoto yako weka hapa Tusaidiane hii keki ni kubwa sana hatuimalizi
vip pale rundugai hakuna siku hizi
 
Hivi mtaji wa shingap unatosha kuanza biashara ya kununua na kuuza mchele
 
mfano wew ndo unaletew huo mchele unanunuaj kwa kilo ?

je unlipia cash au ndo mpka uuze?

je ni grade gan ya mchele ambyo unanunua au inatembea san huko moshi?

na kma unaletew more than tani tano man huwez safirish tano tano ni hasara atleast ton kumi kwa fuso au 15 kwa tandum unauwezkan wa kutupa more connection ya kuuz huo mchele amba utazid ur demanded order

natanguliza shukran kwa mleta mda vijan tuendelee kupamban[emoji1548]
 
mfano wew ndo unaletew huo mchele unanunuaj kwa kilo ?

je unlipia cash au ndo mpka uuze?

je ni grade gan ya mchele ambyo unanunua au inatembea san huko moshi?

na kma unaletew more than tani tano man huwez safirish tano tano ni hasara atleast ton kumi kwa fuso au 15 kwa tandum unauwezkan wa kutupa more connection ya kuuz huo mchele amba utazid ur demanded order

natanguliza shukran kwa mleta mda vijan tuendelee kupamban[emoji1548]
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo

Silipi cash nauza nalipa hela

Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2

Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
 
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo

Silipi cash nauza nalipa hela

Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2

Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
Wamelima lini
 
Kwa wenye mchele wanaotaka kuuza karibuni sana Boma tufanye biashara
 
Back
Top Bottom