KERO Wauza viwanja na speaker mnazoweka barabarani mnasababisha kero au Noise pollution

KERO Wauza viwanja na speaker mnazoweka barabarani mnasababisha kero au Noise pollution

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Noise Pollution is everywhere in TZ hasa mijini, hujakutana na hawa wauza Tangawizi, Iliki na Mdalasini mitaa ya NMB Sokokuu Arusha

Hujakutana na wapiga Passport pale Moshi mjini na Arusha mitaa ya Stadium

Kuna wauza urembo mitaa ya Magombeni, soko la Mbagala na Kimara mpaka stand kuu ya Magufuli

Kuna hawa wauza madawa kwenye mabasi, dawa ambazo hata TFDA haizitambui na wauzaji sio Madaktari

Yaani ni kero tupu na serikali haikemei wala kutoa suluhisho la Hii Pollution labda hawajui ni tatizo
Wao wakipita wapo ndani ya ma V8 wataonaje Hizo kero, mitaa wanayo ishi ni kimya mwanzo mwisho. Hawawezi elewa
 
Bora hata wangekuwa wanatumia Speaker za JBL zenye noise cancellation.

Ni yale matakataka ya Aborder 😂😂😂
Mkuu vp speaker za Oraimo unazizungumziaje ,nataka ninunue ile kubwa kabisa ya 150k
 
"Sumuu yaa panyaa mendee kungunii papasi kupee muwasho utangotangoo na dawa mbaa zotee zipooo" X2

"Askirimu askirimu chocolate vanilla ukwaju tamuu hizoooo balaaaa"

🤣🤣🤣
Good morning Wana thread
 
"Sumuu yaa panyaa mendee kungunii papasi kupee muwasho utangotangoo na dawa mbaa zotee zipooo" X2

"Askirimu askirimu chocolate vanilla ukwaju tamuu hizoooo balaaaa"

🤣🤣🤣
Good morning Wana thread
" Tunasajili laini aina zote, za chuo zipo. Kusajili ni bureee ila unatakiwa uweke vocha ya elfu moja" 😂
 
Sidhani kama ni mimi tu ambaye nakerwa na haya makelele yaliyopo kila kona ya mji, sawa ni kutangaza biashara lakini ni vyema kubuni njia sahihi ya kufikisha ujumbe.

Imefika pahala kila kona ukipita unasikia matangazo ya viwanja tena kwa sauti kubwa mpaka ukiondoka maeneo hayo bado unasikia sauti zinajirudia kichwani " VIWANJA VIWANJA VIWANJA"

Pia wauzaji wengine ni matapeli, ni vyema kuwa makini sana na hawa jamaa.
View attachment 2982574
ni wapi huko wengine tuko nje ya bongo, how hiyo kitu na imeanza lini?
 
Back
Top Bottom