Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #61
Utapeli wa SGR ๐๐๐๐๐Kiluvya ninayoijua mimi huwezipata kiwanja 20x20 kwa bei ya 1.5m. Ni utapeli wa SGR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli wa SGR ๐๐๐๐๐Kiluvya ninayoijua mimi huwezipata kiwanja 20x20 kwa bei ya 1.5m. Ni utapeli wa SGR
Duu na serikali inawaangalia tu na wizi wao na makelele yanayokera siku nzimaPia kuna mtu kwenye uzi huu ametoa ushahidi kwamba kuna ndugu yake amewahi tapeliwa 29 m na hao watu.
Kwenye swala la utapeli nadhani serikali ilisha shindwa kudhibiti kabisa, sio viwanja tu ila mambo mengi sana watu wanafanyiwa utapeli kila siku.Duu na serikali inawaangalia tu na wizi wao na makelele yanayokera siku nzima
Inatakiwa serikali iwekeze kwenye matangazo ya radio na hata magazeti na TV kuwaelimisha watu kwenye utapeli huuKwenye swala la utapeli nadhani serikali ilisha shindwa kudhibiti kabisa, sio viwanja tu ila mambo mengi sana watu wanafanyiwa utapeli kila siku.
Wazee wa "Wahi tuwahi"Kuna pale mbezi mwisho arooooo ni balaa
Kaka umeongea kwa msisitizo sana, sema nadhani utapeli umeanza tangu enzi za zamani maana hakuna jipya chini ya jua. Chamsingi ni mtu kuwa makini na kujifunza kutokana na makosa ya wengine.Inatakiwa serikali iwekeze kwenye matangazo ya radio na hata magazeti na TV kuwaelimisha watu kwenye utapeli huu
Duniani mbona kuna matangazo ya kujiangalia na kuwa makini?
Hawako serious tu na hawajali Mkuu
Wewe acha utapeli angalia barabara zetu kila leo ajali
Signs za barabara ni chache sana na ndio sababu za ajali lakini hawajali
Yaani kila sehemu ni vurugu tu na sio kwamba wameshindwa bali hakuna right people
Sasa Baba akiwa tapeli .......Duu na serikali inawaangalia tu na wizi wao na makelele yanayokera siku nzima
Malizia tu kakaSasa Baba akiwa tapeli .......
..
Au basi.
โPata kiwanja bei sawa na bure โ๐Ofa , ofa, ofa......๐คฃ
Hao jamaa usiwaamini, tena hao waliomtapeli jamaa yangu walikuwa na mahema kabisa wakafungua ofisi za muda kwenye taasisi nyingi tu za serikali hapa Dar, yaani walikuwa smart sana na zile ramani za viwanja ila mwisho wa siku walimpiga jamaa yanguPia kuna mtu kwenye uzi huu ametoa ushahidi kwamba kuna ndugu yake amewahi tapeliwa 29 m na hao watu.
Makanisani napo keleleeeNchi hii sahivi kila mahali kelele
Kwenye mabar kelele,mitaani kelele,kwenye magari kelele,redioni kelele kote huko ni singeli na amapiano tu
Ova
Kimepimwa kabisa!๐คฃโPata kiwanja bei sawa na bure โ๐
Nahisi pia kuna watumishi wa serikali wanahusika katika njama hiziHao jamaa usiwaamini, tena hao waliomtapeli jamaa yangu walikuwa na mahema kabisa wajafungua ofisi za muda kwenye taasisi nyingi tu za serikali hapa Dar, yaani walikuwa smart sana na zile ramani za viwanja ila mwisho wa siku walimpiga jamaa yangu
Nliwasahau makanisani na misikitini...Makanisani napo keleleee
Na usafiri wa kwenda kuona ni bureeeeeKimepimwa kabisa!๐คฃ
OvaNliwasahau makanisani na misikitini...
Ova