Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #41
Wanavalisha mifukoNtintintinti πππ
Kwahiyo hata mvua ikinyesha spika hawatoi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavalisha mifukoNtintintinti πππ
Kwahiyo hata mvua ikinyesha spika hawatoi?
Speaker zinatumia solar kama mvua zinatumia battery za gari sijui pikipikiππ Hizo speaker sijui chaji wanaweka sangapi maana mda wote sauti ipo juu
Wanavisha speaker mfuko hata El nino haioni ndaniNtintintinti πππ
Kwahiyo hata mvua ikinyesha spika hawatoi?
Hivi huwa yanawekwa na nani na saa ngapi maana wenyewe sijawahi kuonaAlafu wanayatosa barabarani asubuhi mpaka jioni na hayazimi, yani ni fujo mwanzo mwisho [emoji23]
[emoji2]Alafu unaambiwa ukija na mteja unapewa hela ya maji [emoji23]
Nadhani wanaweka zile Solar panel kama sikoseiππ Hizo speaker sijui chaji wanaweka sangapi maana mda wote sauti ipo juu
Ukinunua viwanja viwili unapewa na ofa kimoja π[emoji2]
Laki moja
Duh bora wametusanua tungepigwa sanaUkinunua viwanja viwili unapewa na ofa kimoja [emoji23]
Kuna viwanja mpaka vya laki mbiliWanauza kuanzia miguu mi tano sasa sijui mtu uta jenga choo
Utakuwa umewasikia wale wapuuzi mtangazaji ana kitambi anavaa shati jeupe. Wana kirikuu alafu ajabu watu kibao wanaenda kujiandikisha kutaka kulipiaUkinunua viwanja viwili unapewa na ofa kimoja π
Alafu kuna wale jamaa wanauza vitu kama tv, redio, simu, na electronics device nyinginezo. Wanakusanya watu wanauza kwa mnada ila pia nao ni matapeli tuUtakuwa umewasikia wale wapuuzi mtangazaji ana kitambi anavaa shati jeupe. Wana kirikuu alafu ajabu watu kibao wanaenda kujiandikisha kutaka kulipia
Hakuna kiwanja cha bei wanayosema! Hao ni matapeli!
Sasa utawaonaje? Wanakuwekea namba upige ili uende ukapigwe! Utakuta wamejipanga na serikali ya mtaa full documents na mihuri na gari la kukupeleka na ramani! Sasa jichanganye uwape hela ndo utalijua jiji!Hivi huwa yanawekwa na nani na saa ngapi maana wenyewe sijawahi kuona
Kiluvya ninayoijua mimi huwezipata kiwanja 20x20 kwa bei ya 1.5m. Ni utapeli wa SGRUmepita lini Mbezi Mwisho bageshi? ππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Yeah! Viwanja Kibaha na Kiluvya. Bei kuanzia laki tano mpaka 1.5 million. Unalipa pole pole. Huhitaji wadhamini wala nini. Bei sawa na bure! Yanakera hatari!
"Wauzaji wengine" sijamaanisha wote."Pia wauzaji wengine ni matapeli, ni vyema kuwa makini sana na hawa jamaa."
ππ
Katika taaluma za maendeleo, kuna falsafa inasema kutokuwa na taarifa sahihi, ni moja ya kiashiria cha umasikini.
Una taarifa potofu kwamba wauza viwanja ni matapeli na bei wanayouza si kweli.
Pia kuna mtu kwenye uzi huu ametoa ushahidi kwamba kuna ndugu yake amewahi tapeliwa 29 m na hao watu.Tukisema mabasi yanakero na kelele kwa sababu hatuko bar wala nightclubs bali usafiri wa umma, inakera lakini watu walisanuka na kusema ooh waache watu waburudike
Sasa acha na hapo mteseke tu maana hamjui kizuri na kibaya
Kweli tembea uone kwingine hata simu tu kwenye dirisha limewekwa tangazo heshimu wenzio kwa kuongea polepole
Poleni sana ila ndio maisha serikali imewachagulia