KERO Wauza viwanja na speaker mnazoweka barabarani mnasababisha kero au Noise pollution

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wao wakipita wapo ndani ya ma V8 wataonaje Hizo kero, mitaa wanayo ishi ni kimya mwanzo mwisho. Hawawezi elewa
 
Bora hata wangekuwa wanatumia Speaker za JBL zenye noise cancellation.

Ni yale matakataka ya Aborder πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu vp speaker za Oraimo unazizungumziaje ,nataka ninunue ile kubwa kabisa ya 150k
 
"Sumuu yaa panyaa mendee kungunii papasi kupee muwasho utangotangoo na dawa mbaa zotee zipooo" X2

"Askirimu askirimu chocolate vanilla ukwaju tamuu hizoooo balaaaa"

🀣🀣🀣
Good morning Wana thread
 
"Sumuu yaa panyaa mendee kungunii papasi kupee muwasho utangotangoo na dawa mbaa zotee zipooo" X2

"Askirimu askirimu chocolate vanilla ukwaju tamuu hizoooo balaaaa"

🀣🀣🀣
Good morning Wana thread
" Tunasajili laini aina zote, za chuo zipo. Kusajili ni bureee ila unatakiwa uweke vocha ya elfu moja" πŸ˜‚
 
ni wapi huko wengine tuko nje ya bongo, how hiyo kitu na imeanza lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…