Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Yaani watanzania ndo wamewakata kwelikweli mbinu ya kwanza kutumia wasichana wakali pili kuonyesha mafanikio ya uongo si mnajua tena maskini kwa tamaa
 
mi kuna mmoja alinitoa boko hadi posta,nisijue ananiitia nini,duu nilipewa semina nakulazimisha nichukue mzigo muda huohuo nilikuwa na pay kidogo,nikakataaa maana nilikuwa natetemeka kwa hasira
Hahaha mi wakuniita kwa sasa nafwata nyayo halafu nawabadilikia
 
ukaishia kula ubwabwa tu
 
Nakupta ila mie naona tatizo liko kwako hasa ukitaka kuwa mkweli na wa haki. Ulitamani maisha fulani simple ndo maana ukanaswa na mtego huu. Hebu tuwe watu objective and rely on our objectives hapo hatutayumbishwa.
 
Nakupta ila mie naona tatizo liko kwako hasa ukitaka kuwa mkweli na wa haki. Ulitamani maisha fulani simple ndo maana ukanaswa na mtego huu. Hebu tuwe watu objective and rely on our objectives hapo hatutayumbishwa.
Kwamba nilitamani kuuza forever au sijakuelewa
 
Usifananishe makanisa ya kiroho na vitu vya kijinga.
 
Kweli jamanii, mm kuna mama kaniganda mpaka natamani nibadili laini ya simu kila cku njoo kwa semina mara mavideos kibao Whatsup jamanii,... Aaaghhg kweli wanaboa bhana
Forever living wanajua kumganda MTU khaaa! Mi pia kuna MTU alikua ananiganda wee....kuona ananiganda sana ...nikataka kujua zaidi kuhusu forever longing coz nilikua naijua tuu kawaida...nikaingia Google nikawanasoma habari zake, katika kusoma nikakutana na mzungu mmoja, yeye yuko forever nae...tukaendelea kuchati kuhusu forever....hapo nikagundua kumbe kuingia forever kumbe mnaandikiana hadi mkataba....akanitumia mkataba ktk ambao watu hupaswa kusaini wakitaka kujiunga forever living....nikausomaa....katika kifungu cha Tisa au kumi if I'm not mistaken kinasema hivi ukijiunga forever living "HUWEZI KUJITOA FOREVER LIVING UNTILL THE EVENT OF DEATH" nikamuuliza kuhusu hichi kifungu akawa nae hana majibu ya kujitosheleza. Nikarudi kwa yule alokua ananiganda nikamuuliza kuhusu hicho kifungu mbongo mwenzangu ( c unajua wabongo tulivyo waongo) akasema hicho kifungu hakipo OK nikamwambia nitumie huo mkataba...akasema atanitumia...mpaka Leo....!! Kwa hiyo tuwaonee huruma wameingia ktk kampuni na kusaini mikataba wasoijua kiundani...mtu huwezi kulazimishwa kukaa mahali ambapo hamna maslah....km MTU ameingia kwa hiari atoke kwa hiari....kwa hyo wanatafuta watu wa kusaini mikataba ya ki- bogus.
 
Hapo kwenye makanisa umevuka mipaka acha akili za kishetani.
 
Yeah....unasema ukweli...waliofanikiwa ni wale waanzilishi...wageni wao ni kutuma video na picha za mafanikio za wale walowatangulia......[emoji28] [emoji28]
 
Kwa jinsi unavyoongea neno upumbafu inaonyesha ni nembo ya maisha yako
Sikiliza dini ni imani si kitu ambacho kina uhakika kwa asilimia zote kwahiyo ukiona mimi au yule anaamini kidogo ama hana imani na dini usimchukulie kama majinga unaamini tu....huna uhakika ni upumbafu sana kuabudu kanisa msikiti shehe shemasi mimi siamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…