Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Zamani sigara zilikuwa zinavutwa na wazee wa kishua tu sahv hadi madogo wanavuta. SM ni sigara pendwa hasa ukiwa umelewa aisee ukipuliza unatoa moshi kama exost ya pikipik full burudani jamen
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
 
Dah!! Kiukweli sijui nisemeje mimi napenda kuvuta kwa kujificha nikiwa mwenyewe ,hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta na naonekana ni mtu wa heshima sana sana hiyo tisa kumi nilikuja kugundua kumbe familia yote tunavuta ila kwa kujificha mnoo mzee siku moja akanichana live kaniletee sports kumbe anapiga ila nimejua hayo nna miaka 25 kipindi hiyo broh nae wale wale kwa kujificha dogo nae wale wale ila style ni ile ile na mimi hata makundi ya wavutaji huwezi kunikuta kabisaa ni one man alone kwenye huu upumbavu
Upo kama mimi, nikiwepo home huwa naenda chimbo langu ni mwendo wa dakika 12 hivi, hako kachimbo kametulia sana kapo karibu na msitu, hakuna anaenijua wala jirani anapita huko.

Nikiwa mitaa ambayo najua hawapo ndugu ama marafiki ndio kidogo navuta hata dukani wanakouza ila kuwe na chumba cha kuvuta, nikiwa nje ya mkoa navuta kwa kujiachia
 
Hii kitu iliwai nipelesha ,nikaota moto chaga za kitanda
Umenikumbusha kitu wakati fulani kipindi cha ramadhani mefika DSM kwenye harakati za maisha nikafikia logde flani ipo manzese jirani na nefaland nilikuwa mechukua msosi wakawa wamenifungia ktk foili halafu wakatia ktk bahasha za karatasi...

Nikagonga diko kama kawaida napenda kuvuta nikiwa melala au mekaa metulia mwenyewe hivyo nikazima taa nikapanda bed nikasogeza dustbin ambayo nilishatupia ile bahasha ya karatasi nikawasha fegi mwisho nikatupa kipisi ktk dustbin nikavuta shuka nilale aiseee nikawa napata hewa nzito na harufu flani hivi nikawa najisemea moyoni hao ni waislamu wanachoma ubani nilipozidiwa nikaamua kufunua shuka nikawasha taa chumba kizima kimejaa moshi hewa nzito kumbe ile karatasi ilikuwa ikiungua bhana mewasha feni hamna afadhali nafungua madirisha hamna kitu nikafungua mlango moshi ukawa unatoka kama wa tanuru hahahaha mtu mmoja alikuwa anapita akaenda kumuambia muhudumu....


Dah nilifatwa kisoo soo ila Mungu mkubwa liliisha na kule chumbani sikuweza kuendelea kulala nikaenda kutulia nje kwanza nikichoma fegi siku hiyo nilitamani niachane nazo kbs lakn ile tabia ya kusema navuta Leo tu kesho naacha rasmi ikaniponza....
 
Umenikumbusha kitu wakati fulani kipindi cha ramadhani mefika DSM kwenye harakati za maisha nikafikia logde flani ipo manzese jirani na nefaland nilikuwa mechukua msosi wakawa wamenifungia ktk foili halafu wakatia ktk bahasha za karatasi...

Nikagonga diko kama kawaida napenda kuvuta nikiwa melala au mekaa metulia mwenyewe hivyo nikazima taa nikapanda bed nikasogeza dustbin ambayo nilishatupia ile bahasha ya karatasi nikawasha fegi mwisho nikatupa kipisi ktk dustbin nikavuta shuka nilale aiseee nikawa napata hewa nzito na harufu flani hivi nikawa najisemea moyoni hao ni waislamu wanachoma ubani nilipozidiwa nikaamua kufunua shuka nikawasha taa chumba kizima kimejaa moshi hewa nzito kumbe ile karatasi ilikuwa ikiungua bhana mewasha feni hamna afadhali nafungua madirisha hamna kitu nikafungua mlango moshi ukawa unatoka kama wa tanuru hahahaha mtu mmoja alikuwa anapita akaenda kumuambia muhudumu....


Dah nilifatwa kisoo soo ila Mungu mkubwa liliisha na kule chumbani sikuweza kuendelea kulala nikaenda kutulia nje kwanza nikichoma fegi siku hiyo nilitamani niachane nazo kbs lakn ile tabia ya kusema navuta Leo tu kesho naacha rasmi ikaniponza....
Niliwahi kuacha kipisi cha sigara niliyovuta kwenye shati la mfuko 😂😂 aisee nlijifunza kwamba kipisi huwa kinanuka sana
 
Sitojaribu kamwe na sipendi ,mimi ninavyokijaki kinywa changu halafu nivute misigara kama mwehu ! hii haingii akilini kabisa .

Nawachukia sana wanaovuta hadharani na kuwapa kero wengine ,natamani niwapige shaba.
 
Kwa experience yangu! Kama umetoboa 25yrz bila kutumia vilevi means bhang, sigara na pombe usitumie kabisa wala usijaribu achana navyo vitakupotezea muda mwingi sana vitu hivi vinatabia ya kukuendesha kwanza kabla hujafikia kuviendesha, pia kuviendesha hivi vitu inategemeana na intelligent ya mtumiaji au kudra za mwenyenzi Mungu wengi ndio wanapoteleaga humu na kurecover inachukua mda
 
,hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta [emoji23][emoji23] nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimeasalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Mazingira nayopendelea kuvuta ni yale ambayo hayana watu wengi na kuna kivuli ama kaubaridi.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.

Nimejaribu kuacha kwa miezi kadhaa katika vipindi vinne tofauti lakini nilirudi.
Nimeloa na manyunyu ya mvua nikavuta SM,kufika home mama ananiuliza kwangu unavuta?daah niliishiwa pozi.

Kwa Sasa najitegemea navutia chumbani sivuti ofisini,yaani kabla sijalala.

Huu mcharazo ninavyoucharaza nimeshika sigara.

Kinachovutia wavutaji wote ukimgongea mwenzio hakuulizi anakupa tu kiroho safi[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Kinachovutia wavutaji wote ukimgongea mwenzio hakuulizi anakupa tu kiroho safi
wavuta sigara tunapendana sana kwenye ishu za sigara,

binafsi sijawai kugongea lakini mtu akiniomba huwa navuta kama 60% namwachia iliyobaki
 
hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimesalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.
20221103_201256.jpg
 
hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimesalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.
 

Attachments

  • 20221103_201256.jpg
    20221103_201256.jpg
    31.6 KB · Views: 10
wavuta sigara tunapendana sana kwenye ishu za sigara,

binafsi sijawai kugongea lakini mtu akiniomba huwa navuta kama 60% namwachia iliyobaki
Kuna siku ile tu nawasha sigara akalita jamaa kwenye gari lipo kwenye foleni akaigongea.
Halafu mataa yanaruhusu.
Nikamkazia.
Alianza kunitukana kinoma.
Hivi kwani lazima mtu akigongea umpe?

Nb:Nlishaacha kitambo
 
Mimi harufu ya sigara tu ni KERO kwangu,sijui wadada wenye mabwana wanaovuta sigara huwa inakuaje??halafu na joto la Dar ukutane na mvuta sigara aliyechapwa na jua,hiko kikwapa chake huwa hatari sana[emoji38]
 
Back
Top Bottom