Wavuvi: Hii habari ya Sangara/Sato kuhifadhiwa na chloroform ni ya kweli

Wavuvi: Hii habari ya Sangara/Sato kuhifadhiwa na chloroform ni ya kweli

Itakuwa umekariri mkuu. Dawa ya kutukuza maumivu ni Panadol, ukitajiwa paracetamol unagoma. Jinga kabisa
Mfano wako sio relevant.
Chloroform haitumiki kuhifadhia maiti (embalming fluid) kama unavyodai umeambiwa na huyo mvuvi wako.

Kuhusu wewe kuniita mjinga, nakubaliana na wewe kabisa na naungana na huyo mvuvi wako (tunakua wajinga wawili).

Na hiyo inathibitisha pasi na kuacha shaka kwamba nchi hii ina ujinga mwingi.
 
Mfano wako sio relevant.
Chloroform haitumiki kuhifadhia maiti (embalming fluid) kama unavyodai umeambiwa na huyo mvuvi wako.

Kuhusu wewe kuniita mjinga, nakubaliana na wewe kabisa na naungana na huyo mvuvi wako (tunakua wajinga wawili).

Na hiyo inathibitisha pasi na kuacha shaka kwamba nchi hii ina ujinga mwingi.
Sawa muosha maiti tumekuelewa
 
  • Na hizo dawa za kuhifadhia maiti wanatunzia mpaka matunda, nyama, n.k. Twadaaa!!!
  • Serikali ifanye jambo, miaka ya nyuma wafugaji walilishia mifugo (nguruwe ng'ombe n.k) ARV. Kwa sasa ule ujinga umezimwa.
  • Kwenye uchumi huria serikali inapaswa kuwa imara kwelikweli - la sivyo raia wote wanaangamizwa kama viwavi jeshi na watu wenye uchu wa mali.
 
Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".

"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.

"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.

Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?

Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.

Chloroform??? mmmh...

Waijua chloroform mkuu?
 
Daah! Mm nawaogopa hao samaki kuliko maelezo hivi sasa
Jaribu kusoma uongeze maarifa na sio kubwabwaja tu. Chloroform ni maji au ni dawa? Makamu wa raisi aliimaanisha maji wanayooshea maiti mortuary na yanayotumika kwa shughuli mbalimbali za imani potofu. Kama alimaanisha chloroform, hiyo inatumika miaka mingi sana ingawa si na wasafirishaji wote wa samaki, madhara yake mlaji anaweza kuyapata baada ya exposure ya muda mrefu sana (Human Carcinogenes class2). Na kama anasema ndio chanzo cha saratani kwa wakazi wa kanda ya ziwa anadanganya mchana kweupe, sisi huku tunakula kitu ya siku hiyo hiyo haijaingia hata kwenye freezer, so hiyo saratani kwa huku watafute chanzo chake kingine.
Pale VP alichemka sana kwa kuwatisha wananchi kwa kiasi kikubwa vile bila ya uchunguzi wa kutosha

NB: miaka ya karibuni hata hayo matumizi ya chloroform yamepungua sana. Miundombinu imeboreshwa, Mwanza-Dar ni ndani ya masaa 24. Pia teknolojia ya kuwasafirisha imeboreshwa sana, so wengi wao wala hawatumii chloroform tofauti na ile miaka ya 1990s na 2000s.
 
Siyo maji, bali wanatumia dawa ya kuhifadhia maiti..
Soma huu ufafanuzi..
👇👇
Sawasawa
 
Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".

"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.

"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.

Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?

Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.
Duh! Hi bongo bana ni kulishana uchafu kila kona. Nyama za kuku wa kisasa, kiti moto, samaki, na sasa hawachewi kuleta zengwe kwenye nyama za ng'ombe na mbuzi.
 
Makamu wa raisi aliimaanisha maji wanayooshea maiti mortuary na yanayotumika kwa shughuli mbalimbali za imani potofu. Kama alimaanisha chloroform, hiyo inatumika miaka mingi
Sasa maji kama maji ya kuoshea maiti na uhifadhi wa samaki wasioze wapi na wapi mkuu? Kwa vyovyote vile VP alimaanisha dawa ya kuhifadhiwa maiti lkn akaamua kutumia maneno yaliyozoeleka mitaani "maji ya kuoshea maiti".

Nakubaliana na wewe kwamba wakazi wa Mwanza wanakula samaki ambao wametoka ziwani mida huo huo. Na tungetarajia walaji wa Sato na Sangara waliopo mikoa ya mbali na Mwanza ndiyo wawe waathirika wakubwa wa dawa hiyo
 
Duh! Hi bongo bana ni kulishana uchafu kila kona. Nyama za kuku wa kisasa, kiti moto, samaki, na sasa hawachewi kuleta zengwe kwenye nyama za ng'ombe na mbuzi.
Bongo kila kitu kimechakachuliwa
 
Hiyo dawa uliyoitaja (chloroform) haihusiani na kuhifadhi maiti
Je inafaa kuliwa na Binadamu? Jibu ni kwamba haifai ni sumu.

Chloroform can be absorbed into the body via ingestion or inhalation. Symptoms include excitement and nausea followed by dizziness and drowsiness. More severe exposures to chloroform may cause heart problems, fitting, unconsciousness and in some cases death.
 
Sasa maji kama maji ya kuoshea maiti na uhifadhi wa samaki wasioze wapi na wapi mkuu? Kwa vyovyote vile VP alimaanisha dawa ya kuhifadhiwa maiti lkn akaamua kutumia maneno yaliyozoeleka mitaani "maji ya kuoshea maiti".

Nakubaliana na wewe kwamba wakazi wa Mwanza wanakula samaki ambao wametoka ziwani mida huo huo. Na tungetarajia walaji wa Sato na Sangara waliopo mikoa ya mbali na Mwanza ndiyo wawe waathirika wakubwa wa dawa hiyo
Kabla ya kuapply Chloroform maiti huoshwa kwanza kwa maji ya kawaida au hufutwa kwa kitambaa kinyevu. Kwa masikio yangu nilimsikia akisema maji ya kuoshea maiti, Chloroform si maji ya kawaida ni dawa, na kweli ni moderate toxic na si sahihi kuitumia kama preservative kwenye vyakula. VP aliteleza na hajajitokeza kuclarify alimanaanisha nini.
 
Back
Top Bottom