Wavuvi: Hii habari ya Sangara/Sato kuhifadhiwa na chloroform ni ya kweli

Wavuvi: Hii habari ya Sangara/Sato kuhifadhiwa na chloroform ni ya kweli

na huyu mmewangu na misamaki yake kila siku hata hasikiii,atajiju na mda mwingine anaenda hotelin kula yale masato makubwa
 
Katika kufanya research nimekutana na story hii huko India.👇



 
Daah! Mm nawaogopa hao samaki kuliko maelezo hivi sasa
Ubaya wa hizi mambo ni kuwa unaweza ukawa makini sana sehemu fulani lakini ukaja kufa kwa jambo la kizembe kabisa..!! Haya, unaogopa Sati na Sangara, kondomu unatumia..? Kwenye magari huwa unavaa mkanda? Sigara vipi, unavuta? etc
 
Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".

"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.

"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.

Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?

Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.
Sasa kama ni hivyo maana yake waathirika wakubwa wangekuwa in mikoa ya NJE YA KANDA YA ZIWA kwasababu huko ndio uhifadhi was samaki hufanyika kwa kiwango kikubwa.


Kanda ya ziwa walio wengi hutumia samaki FRESH kutoka ziwani, na siyo samaki waliohidhiwa has a muda mrefu.

Tatizo kubwa LA serikali ya Tanzania haiko tayri kutoa FUNGU LA UTAFITI kuhusu Kansas, wamebaki Kupiga ramli chonganishi kama MAJUHA.

Hapo tusubiri mpaka Sikh MZUNGU akijitolea kutoa FINGU LA PESA ya kufanya utafiti ndio ukweli UTAJULIKANA.

Na yalivyo MAPUMBAVU yatasingizia kila kitu isipokuwa MAJI ya ZEBAKI kutoka MIGODINI, maana huko mabasha yao yanayomwaga ziwani hawataki kuyakasirisha.
 
Kumbe Makamu wa Raisi alikuwa sahihi ndio maana walikimbilia kutaka kuficha hii stori.

Phillip Isidori Mpango anastahili pongezi.
 
Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".

"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.

"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.

Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?

Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.
Naacha rasmi kula samaki wa kwenye mabarafu,bahati nzuri niliko samaki fresh wanafika directly kutoka ziwani..

inawezekana kabisa samaki aina zote zikawa zinagandishwa kwa kutumia hiyo dawa..

Mwisho inawezekana mnapotosha maana chroloform ina matumizi zaidi ya hayo,watu wanadhani maiti akishaoshwa Yale maji ndio hutumika 😆😆😆😆
 
"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.
Mvuvi anachanganya kati ya Formalin na Chloroform.
Nadhani alikusuduia kuitaja formalin ambayo Formaldehyde iliyo yeyushwa kwenye maji na kuongezwa Methanol kama stabilizer.
Hiyo formalin kweli inatumika kuhifadhia vitu visiharibike kama maiti au nyama au samaki.

Matumizi ya kemikali hiyo hapa nchini yanaweza kuwa kweli ingawa kiongozi huyo amekanusha kwa faida zake za kisiasa na tumbo lake.
Kwa taarifa yake ni kwamba sehemu nyingi duniani hasa bara la Afrika na Asia inatumika sana kuhifadhia samaki na nyama. India maeneo ya Goha waliwahi kufanya msako wakakuta tani nyingi za samaki zimewekwa formalin.
Hii kemikali ikitumika kwa muda mrefu na binadamu husababisha saratani (cancer).

Makamu wa Raisi Dk.P.Mpango yupo sahihi, God bless him.
 
Katika kufanya research nimekutana na story hii huko India.👇



Daah! Kumbe wahuni wamekopi toka nje walikokatazwa wakaanza kutumia hapa ambapo ni bora liende??
 
Mvuvi anachanganya kati ya Formalin na Chloroform.
Nadhani alikusuduia kuitaja formalin ambayo Formaldehyde iliyo yeyushwa kwenye maji na kuongezwa Methanol kama stabilizer.
Hiyo formalin kweli inatumika kuhifadhia vitu visiharibike kama maiti au nyama au samaki.

Matumizi ya kemikali hiyo hapa nchini yanaweza kuwa kweli ingawa kiongozi huyo amekanusha kwa faida zake za kisiasa na tumbo lake.
Kwa taarifa yake ni kwamba sehemu nyingi duniani hasa bara la Afrika na Asia inatumika sana kuhifadhia samaki na nyama. India maeneo ya Goha waliwahi kufanya msako wakakuta tani nyingi za samaki zimewekwa formalin.
Hii kemikali ikitumika kwa muda mrefu na binadamu husababisha saratani (cancer).

Makamu wa Raisi Dk.P.Mpango yupo sahihi, God bless him.
Asantee (in Makonda's voice)
 
Daah! Kumbe wahuni wamekopi toka nje walikokatazwa wakaanza kutumia hapa ambapo ni bora liende??
Halafu huyo Waziri anajifanya kukanusha, na hizo food safety regulatories zimelala usingizi wa pono.
 
ambapo ni bora liende
Gold 👆
cryinglaughsmiley.gif
cryinglaughsmiley.gif

Daah!! nimecheka sana asante mkuu.
 
Back
Top Bottom