Mfano wako sio relevant.Itakuwa umekariri mkuu. Dawa ya kutukuza maumivu ni Panadol, ukitajiwa paracetamol unagoma. Jinga kabisa
Tena achana kabisa na hawa samaki wa kutoka Mwanza. Utapata kansaiseeee hatari sasa nianze kula dagaa mchele
Sawa muosha maiti tumekuelewaMfano wako sio relevant.
Chloroform haitumiki kuhifadhia maiti (embalming fluid) kama unavyodai umeambiwa na huyo mvuvi wako.
Kuhusu wewe kuniita mjinga, nakubaliana na wewe kabisa na naungana na huyo mvuvi wako (tunakua wajinga wawili).
Na hiyo inathibitisha pasi na kuacha shaka kwamba nchi hii ina ujinga mwingi.
sawa sexlessTena achana kabisa na hawa samaki wa kutoka Mwanza. Utapata kansa
Akufwa ghwe ndindwana ughwe. Tukughanile fijhosawa sexless
Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".
"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.
"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.
Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?
Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.
Jaribu kusoma uongeze maarifa na sio kubwabwaja tu. Chloroform ni maji au ni dawa? Makamu wa raisi aliimaanisha maji wanayooshea maiti mortuary na yanayotumika kwa shughuli mbalimbali za imani potofu. Kama alimaanisha chloroform, hiyo inatumika miaka mingi sana ingawa si na wasafirishaji wote wa samaki, madhara yake mlaji anaweza kuyapata baada ya exposure ya muda mrefu sana (Human Carcinogenes class2). Na kama anasema ndio chanzo cha saratani kwa wakazi wa kanda ya ziwa anadanganya mchana kweupe, sisi huku tunakula kitu ya siku hiyo hiyo haijaingia hata kwenye freezer, so hiyo saratani kwa huku watafute chanzo chake kingine.Daah! Mm nawaogopa hao samaki kuliko maelezo hivi sasa
🤣🤣 ndagha fijo nkamu gwanguAkufwa ghwe ndindwana ughwe. Tukughanile fijho
SawasawaSiyo maji, bali wanatumia dawa ya kuhifadhia maiti..
Soma huu ufafanuzi..
👇👇
Ufafanuzi kuhusiana na maji ya mochwari ya kuoshea miili ya marehemu na matumizi yake kwenye kitoweo cha samaki wa kanda ya ziwa
Naandika kwa ufahamu na uzoefu wangu kutokana na kuwa mhudumu wa chumba cha maiti(mochwari) hapo kabla.. Nimewahudumia marehemu wengi kwa nyakati tofauti na wa jinsia na rika tofauti Tangu tuhuma zilipotolewa siku mbili zilizopita na makamu wa rais jijini Mwanza akituhumu maji ya kuoshea maiti...www.jamiiforums.com
Duh! Hi bongo bana ni kulishana uchafu kila kona. Nyama za kuku wa kisasa, kiti moto, samaki, na sasa hawachewi kuleta zengwe kwenye nyama za ng'ombe na mbuzi.Akihojiwa na Sexless , mvuvi (jina kapuni) amesema "Sato na Sangara wana minofu mikubwa kutokana na maumbo yao. Mara nyingi wamekuwa wakioza wanaposafirishwa toka Mwanza mpk mikoa mingine kwa kuwagandisha na barafu".
"Lkn maji ya kuoshea maiti (chloroform) yakitumika samaki hao hufika popote bila kuharibika" aliongeza mvuvi huyo.
"Kabla ya matumizi ya chloroform Sangara/Sato walikuwa wakipata uvundo kwenye minofu na biashara yao kuwa mbaya" aliendelea kueleza mvuvi huyo wa Sangara/Sato.
Maoni yangu. Kilichofanywa na naibu waziri ni uhuni mkubwa. Anahatarisha afya za watanzania ili tu aendelee kulinda biashara ya samaki hao. Makamu wa rais ana taarifa nyingi na nyeti kuliko naibu waziri halafu kauli yake inazodolewa kizembe namna hii?
Endelea kula Sangara/Sato at your own risk.
Sasa maji kama maji ya kuoshea maiti na uhifadhi wa samaki wasioze wapi na wapi mkuu? Kwa vyovyote vile VP alimaanisha dawa ya kuhifadhiwa maiti lkn akaamua kutumia maneno yaliyozoeleka mitaani "maji ya kuoshea maiti".Makamu wa raisi aliimaanisha maji wanayooshea maiti mortuary na yanayotumika kwa shughuli mbalimbali za imani potofu. Kama alimaanisha chloroform, hiyo inatumika miaka mingi
Bongo kila kitu kimechakachuliwaDuh! Hi bongo bana ni kulishana uchafu kila kona. Nyama za kuku wa kisasa, kiti moto, samaki, na sasa hawachewi kuleta zengwe kwenye nyama za ng'ombe na mbuzi.
Je inafaa kuliwa na Binadamu? Jibu ni kwamba haifai ni sumu.Hiyo dawa uliyoitaja (chloroform) haihusiani na kuhifadhi maiti
Duuh! Ukichimama nchale, ukikimbia nchale.Hata sisi wenye mabucha ya nyama tunaitumia. Get rich or die trying
Wala matembele ndio watakaosalimikaDuuh! Ukichimama nchale, ukikimbia nchale.
Kabla ya kuapply Chloroform maiti huoshwa kwanza kwa maji ya kawaida au hufutwa kwa kitambaa kinyevu. Kwa masikio yangu nilimsikia akisema maji ya kuoshea maiti, Chloroform si maji ya kawaida ni dawa, na kweli ni moderate toxic na si sahihi kuitumia kama preservative kwenye vyakula. VP aliteleza na hajajitokeza kuclarify alimanaanisha nini.Sasa maji kama maji ya kuoshea maiti na uhifadhi wa samaki wasioze wapi na wapi mkuu? Kwa vyovyote vile VP alimaanisha dawa ya kuhifadhiwa maiti lkn akaamua kutumia maneno yaliyozoeleka mitaani "maji ya kuoshea maiti".
Nakubaliana na wewe kwamba wakazi wa Mwanza wanakula samaki ambao wametoka ziwani mida huo huo. Na tungetarajia walaji wa Sato na Sangara waliopo mikoa ya mbali na Mwanza ndiyo wawe waathirika wakubwa wa dawa hiyo
Acha Kuwa Kama Kinyonga, Ndumilakuwili Upate Amani Ya Moyo WakoHilo linajulikana
Mbunge wa Chadema mh Pareso yuko sahihi