Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Kwa Simba afadhali! 🤣 😬😬😬Weeee huko ndio balaa yaani mpaka ukate Balls za Simba ndio uoe
Hapo nitoe buriani kabla au RIP in advance
Nimejifunza na kuona makabila mengi na mila zao ila kiboko yao ni kabila moja huko Ethiopia ambapo wavulana wanachuma fimbo za uhakika na kunakuwa na Sherehe ya kutafuta wake
Wasichana wanajipanga na kuanza kuchapwa mpaka ngozi ya mgongo inapasuka
Mvumilivu ndio anaolewa Eti atavumilia maisha ya kila aina
Picha sio nzuri zingine zinasikitisha sana
Kuna wengine wamekimbia mila zao
Vipi huko unaonaje badala ya kuliwa na Mnyama?
[emoji31][emoji31]
Daah! kweli.. Kuna shule moja hivi nilisoma na vipemba asilimia kubwa vichwa vyao nyuma vimebonyea aiseh.. Afu hata tulivyokuwa katika mazungumzo au kujadili mambo walikuwa wanaongea ujinga mpaka nikawa nawaza hawa jamaa wazima kweli... Daah! Kumbe athali za kubonyeza kizenji kwenye chogo ponyeeeee!Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
Kwa Simba afadhali! [emoji1787] [emoji51][emoji51][emoji51]
Mmasai wa kitambo enzi za mau mau, 😂 😂 😂 Sahi Mmasai atauwa Simba au atakuja mjini kuuza 'dhawa'? 😂Halafu Simba kajeruhiwa unaambiwa umfuate ukamuue
Haya mimi nawaacha na utafutaji wenu [emoji23][emoji23]
Mmasai wa kitambo enzi za mau mau, [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sahi Mmasai atauwa Simba au atakuja mjini kuuza 'dhawa'? [emoji23]
Aaah wapi 😂Ila kweli wamasai dawa zao zinaponya kila kitu eti.
vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
Kitu chochote kinachousisha disturbance ya ubongo ni hatari kwa hatma ya akili.vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?
umeandika pumba maana kama ungelijua ubongo una plasticity nature jumlisha temporal specificity (Nikimaanisha kwamba unaweza ku demage part moja ya ubongo na uka adapt kuzitumia part nyengine za ubongo kufanya kazi ya payt iliyo damage) usingeandika uliyoyaandika hapo juu.
Na kingine ni kuwa ubongo wa mtoto mdogo bado unakuwa .
Unajua kuna jamaa anaitwa "Carlos Rodriguez" kwa jina la usanii halfy Anaishi bila portion kubwa tu ya ubongo wake kuanzia kati kuja mbele huyu aliwahi kupata ajali ya gari ikamsababibishia hayo.Kitu chochote kinachousisha disturbance ya ubongo ni hatari kwa hatma ya akili.
Mkuu je kweli wanavutia au magumashi tu?Hahaha hawa watu pwani hawa, kule mtwara kuna ambao,wanawaminya makalio watoto wakike, ili wawe na figure za kuvutia
Mitihani inatungwa kwa mtaala wa Tanganyika wao wanajiandaa kwa mtaala wa Zenji.hawafeli kwa sababu ya kukosa kisogo mkuuNdo maana hata kwenye mitihani ya kitaifa yanakuwa ya mwisho mwisho
Kuwa anatomy ya kichwa cha mwanadamu ni sawa na kiroba cha mchanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] af mkiitwa knuckle head mnatoa povu[emoji848][emoji848]Hivi kiroba kilichojaa na kufungwa mchanga....ukikibana unapunguza mchanga au unaharibu umbo la kiroba.....??
Kuna mbinuko flani wanakuaga nao,ata baadhi ya wanawake watanga,Fanya research mkuuMkuu je kweli wanavutia au magumashi tu?
Wachina ndio asili yao hivyo..sasa hawa wamanyema watumwa wa waarabu wenye chogo toka kitambo..wanaminya watoto makusudi ili wawe na vichwa kama dumu eti wapendeze wakivaa baragashia..kumbe wanaminya ubongo na kuua nerves za ubongo ambazo ni none generative..zikifa zimekufa..ndio mana wengi ni zero brain.vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?
umeandika pumba maana kama ungelijua ubongo una plasticity nature jumlisha temporal specificity (Nikimaanisha kwamba unaweza ku demage part moja ya ubongo na uka adapt kuzitumia part nyengine za ubongo kufanya kazi ya payt iliyo damage) usingeandika uliyoyaandika hapo juu.
Na kingine ni kuwa ubongo wa mtoto mdogo bado unakuwa .
[emoji28][emoji28] ujinga tu umewajaa..Hawawavuti na pua ziwe ndefu waonekane waarabu??
Sasa kuna faida gani ya muungano..?ila m nafahamu mitaala inafanana.Mitihani inatungwa kwa mtaala wa Tanganyika wao wanajiandaa kwa mtaala wa Zenji.hawafeli kwa sababu ya kukosa kisogo mkuu
Unapoongelea asili yao unamaanisha ndivyo wanavyozaliwa?Wachina ndio asili yao hivyo..sasa hawa wamanyema watumwa wa waarabu wenye chogo toka kitambo..wanaminya watoto makusudi ili wawe na vichwa kama dumu eti wapendeze wakivaa baragashia..kumbe wanaminya ubongo na kuua nerves za ubongo ambazo ni none generative..zikifa zimekufa..ndio mana wengi ni zero brain.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app