Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Weeee huko ndio balaa yaani mpaka ukate Balls za Simba ndio uoe
Hapo nitoe buriani kabla au RIP in advance

Nimejifunza na kuona makabila mengi na mila zao ila kiboko yao ni kabila moja huko Ethiopia ambapo wavulana wanachuma fimbo za uhakika na kunakuwa na Sherehe ya kutafuta wake

Wasichana wanajipanga na kuanza kuchapwa mpaka ngozi ya mgongo inapasuka
Mvumilivu ndio anaolewa Eti atavumilia maisha ya kila aina


Picha sio nzuri zingine zinasikitisha sana
Kuna wengine wamekimbia mila zao
Vipi huko unaonaje badala ya kuliwa na Mnyama?
[emoji31][emoji31]
Kwa Simba afadhali! 🤣 😬😬😬
 
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
Daah! kweli.. Kuna shule moja hivi nilisoma na vipemba asilimia kubwa vichwa vyao nyuma vimebonyea aiseh.. Afu hata tulivyokuwa katika mazungumzo au kujadili mambo walikuwa wanaongea ujinga mpaka nikawa nawaza hawa jamaa wazima kweli... Daah! Kumbe athali za kubonyeza kizenji kwenye chogo ponyeeeee!
 
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?

umeandika pumba maana kama ungelijua ubongo una plasticity nature jumlisha temporal specificity (Nikimaanisha kwamba unaweza ku demage part moja ya ubongo na uka adapt kuzitumia part nyengine za ubongo kufanya kazi ya payt iliyo damage) usingeandika uliyoyaandika hapo juu.

Na kingine ni kuwa ubongo wa mtoto mdogo bado unakuwa .
 
vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?

umeandika pumba maana kama ungelijua ubongo una plasticity nature jumlisha temporal specificity (Nikimaanisha kwamba unaweza ku demage part moja ya ubongo na uka adapt kuzitumia part nyengine za ubongo kufanya kazi ya payt iliyo damage) usingeandika uliyoyaandika hapo juu.

Na kingine ni kuwa ubongo wa mtoto mdogo bado unakuwa .
Kitu chochote kinachousisha disturbance ya ubongo ni hatari kwa hatma ya akili.
 
Kitu chochote kinachousisha disturbance ya ubongo ni hatari kwa hatma ya akili.
Unajua kuna jamaa anaitwa "Carlos Rodriguez" kwa jina la usanii halfy Anaishi bila portion kubwa tu ya ubongo wake kuanzia kati kuja mbele huyu aliwahi kupata ajali ya gari ikamsababibishia hayo.

Kuna watu tisa pekee duniani wanaotambulika kuishi bila "cerebellum" yaani hawana kabisa cerebellum yote na wanaishi vizuri tu na hata wameoa na kuolewa .

Kiuhalisia sayansi ya ubongo ni pana na mpaka leo hakuna anayeelewa jinsi ubongo unafanyaje adaptation zake .

Swali langu haujanijibu narudia tena "vipi? wachina wawe smart kutuzidi na wakati wana desturi ya kukanda kichwa ili mtoto asiwe na kichogo? "
 
vipi mbona china wana maendeleo na wapo smart kuliko sisi wenye visogo? na hawana vichogo ikiwa ni moja ya utamaduni wao kuwakanda watoto wadogo vichwa ?

umeandika pumba maana kama ungelijua ubongo una plasticity nature jumlisha temporal specificity (Nikimaanisha kwamba unaweza ku demage part moja ya ubongo na uka adapt kuzitumia part nyengine za ubongo kufanya kazi ya payt iliyo damage) usingeandika uliyoyaandika hapo juu.

Na kingine ni kuwa ubongo wa mtoto mdogo bado unakuwa .
Wachina ndio asili yao hivyo..sasa hawa wamanyema watumwa wa waarabu wenye chogo toka kitambo..wanaminya watoto makusudi ili wawe na vichwa kama dumu eti wapendeze wakivaa baragashia..kumbe wanaminya ubongo na kuua nerves za ubongo ambazo ni none generative..zikifa zimekufa..ndio mana wengi ni zero brain.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una
Wachina ndio asili yao hivyo..sasa hawa wamanyema watumwa wa waarabu wenye chogo toka kitambo..wanaminya watoto makusudi ili wawe na vichwa kama dumu eti wapendeze wakivaa baragashia..kumbe wanaminya ubongo na kuua nerves za ubongo ambazo ni none generative..zikifa zimekufa..ndio mana wengi ni zero brain.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoongelea asili yao unamaanisha ndivyo wanavyozaliwa?

Kama hayo hapo juu ndiyo majibu yako basi naomba nikurekebishe , ni hivi wachina wanaamini na ni mila iliyopo tangia zamani kwamba mtoto akiwa hana kichogo itaufanya uso wake kuwa wa mviringo zaidi na kuzidishia uzuri(uso wa mviringo ni beauty standard ya uchina tangia zamani sijajua kwa sasa).

Pia itamuondolea bahati mbaya na kumzidishia bahati ukubwani na kingine ni mtindo wa nywele ule wa kunyoa koote na kuachia nywele inaning'inia hadi mgongoni ukiwa na kichogo isingewezekana kuonesha unavutia .

Hivyo iliwalazimu/inawalazimu wazazi kuwalaza watoto wao kwenye vibao vigumu tena chali kwa muda mrefu ili kukifanya kichwa kuwa flat kwa upande wa nyuma.

Swali langu lipo pake pale kwanini wao wasipate madhara na badala yake wapo very smart kutushinda sisi?
 
Back
Top Bottom