Hilo jina mbona Tata?Na ukitaka umfurahishe mzanzibar basi we muambie umefanana na muarab.. baso roho yake inapaa balaa
Kwanini Muscat haijakuwa kama Dubai mpaka leo?Msiwatupie lawama Wazanzibari na wala msiwasingizie ubaguzi. Tatizo lipo tangu Nyerere alivyofanya vamizi Zanzibar, ameshindwa kuleta maendeleo. Umaskini umezidi, watu wananyimwa haki sasa Utanzania umeleta faida gani? Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa kama Muscat. Sasa kwa nini Wazanzibari waupende Utanzania ulioshindwa kutatua matatizo yao, ulioshindwa kuleta maendeleo?
Hawakuupenda huu muungabo toka mwanzoNi nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.
Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.
Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.
Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.
Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.
Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naam Nitombe hilo jina gani nalo? Aibu ya jina ianze kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wewe wanao wasingefurahi kuitwa "Nitombe" kwenye roll call shuleni. Tuanzie hapo.
Basi mkuu unataka afurahi kuitwa Msukuma? Ikiwa afurahi kuitwa Msukuma kwanini asifurahi kuitwa Mwarabu? Hayo yote si ni makabila tu?
Uitwe mzanzibar,Mtanzania,au mtanganyika,ni majina tu hayana significance yoyote,kitu chenye uzito unatumia passport ipi?ya Tanzania ni nzito kwa hadhi kuliko ya Zanzibar,Ni nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.
Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.
Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.
Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.
Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.
Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Hahahahahaahahah!Mkuu Naantombe Mushi , usemayo ni kweli, hakuna tatizo lolote kwa mtu yoyote kujinasibu vyovyote vile apendavyo kwa nafsi yake, as long as utambulisho rasmi wa kimataifa ni Passport, hivyo kwa mujibu wa utambulisho rasmi unaojulikana kimataifa, hakuna cha Mzanzibari, Mzanzibara, wala Mpemba, Tanzania ina uraia mmoja tuu, Mtanzania, hivyo Mzanzibari kujinasibu kwa Uzanzibari wake ni rukhsa kwa ajili ya kujifurahisha na kuifurahisha nafsi yake, ila kimataifa hakuna Mzanzibari bali kuna mtu mmoja tuu, Mtanzania, na hao Wazanzibari wote wanaojinasibu na Uzanzibari wao ni kujinasibu tuu, ukweli ni kuwa hao wote ni Watanzania, na passport zao ni za Tanzania.
P
Kwa akili yako we unajua kuna muungano? Kuna nchi moja imeikoloni nchi nyingine kwa jinaNi nadra sana kumkuta Mtanzania wa visiwa vya Zanzibar akijitambulisha kwamba yeye ni Mtanzania.
Nimefanya utafiti wangu usio rasmi kuhusu hili suala. Ukimkuta Mzanzibari nje ya nchi, halafu ukamuuliza ikiwa yeye ni mtanzania, mara nyingi utapokea jibu kwamba 'Mimi ni Mzanzibari'.
Yaani ni kwamba wazanzibari wengi huwa wanajaribu kwa namna yeyote, kuukwepa utanzania na wengi hawapendi kuitwa watanzania. Kwa waliotembea uarabuni mtathibitisha hili. Yaani ukitaka ukosane na mzanzibari huko arabuni, basi we muite mtanzania.
Inaonekana ni kama wazanzibari wanahisi tayari wapo daraja fulani hivi la juu, hivo kitu utanzania ni kuwashusha hadhi.
Hili jambo ni moja ya mambo ambayo nahisi yanahitaji uwepo wa serikali tatu, maana huko tunapoenda, itafika mahali hata sisi wa bara tutatamani kuitwa watanganyika.
Mi binafsi naanza kuchukia jina Tanzania. Maana yake sioni faida ya huu muungano ambao, kuna upande unautweza wazi wazi.
Subutu yake!Siku Visiwa vikianza kuzama kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi ndo wataelewa kwann wao wanaitwa wazanzibar..
Sikuzote aliebebwa hujiona wathaman sana kuzidi aliembeba.. ila akishaanza kutembea mwenyewe ndo anaelewa umuhimu wa kuwa na shukrani!
Usingekua muungano bila Shaka Zanzibar ingekua ni koloni la Islamic State by Now!!
Kama kilivyokuwepo kitambulisho cha Mzanzibar basi itakuwepo na passport ya MzanzibarNakubaliana na wewe, utafika muda wataiona passport ya Tanzania ni kero kwao!.
P
Kuna muungano au ukoloni?Nakubaliana na wewe Bro Pascal, lakini huoni kwamba hivi ni viashiria vya kuparanganyika kwa huu muungano?
Maana pasaport ni document tu, ikiwa watoto wa kizanzibari watazaliwa na kuikuta hii mentality ya sisi wazanzibari, ina maana na wao wata adopt hii mentality na itakuwa rahisi kuipa tangibility ya kujitoa rasmi kwenye huu utanzania wa makaratasi.
Naunga mkono hoja, uraia uko determined na the passport you hold and the place you come from!.Uitwe mzanzibar,Mtanzania,au mtanganyika,ni majina tu hayana significance yoyote,kitu chenye uzito unatumia passport ipi?ya Tanzania ni nzito kwa hadhi kuliko ya Zanzibar,
You wish hahaahahahhahhahUnahangaishwa na jambo dogo sana.
Hawa watu chini ya milioni mbili ndio uhangaike na mambo yao, uache picha kubwa ya milioni karibia ya 60? Muda si muda, wengi wao watakuwa na makazi hapa bara; na ikishatokea hivyo, tayari wametekwa, hawana njia tena ya kutokea.
Mtu aje aishi hapa miongoni mwetu halafu abaki na U-Zanzibar wake, mbona atapata shida sana.
Kwa hiyo nakusihi uwape muda tu, huo ukorofi wao watautupilia mbali muda si mwingi.
You wish hahaahahahhahhahUnahangaishwa na jambo dogo sana.
Hawa watu chini ya milioni mbili ndio uhangaike na mambo yao, uache picha kubwa ya milioni karibia ya 60? Muda si muda, wengi wao watakuwa na makazi hapa bara; na ikishatokea hivyo, tayari wametekwa, hawana njia tena ya kutokea.
Mtu aje aishi hapa miongoni mwetu halafu abaki na U-Zanzibar wake, mbona atapata shida sana.
Kwa hiyo nakusihi uwape muda tu, huo ukorofi wao watautupilia mbali muda si mwingi.
Na wala hakuna anaekusema.Mbona mm najiita Mnyamwezi
Ili wawe na maendeleo ni lazima kuungana na wengine?? kwann wasisimame wao kama wao?Msiwatupie lawama Wazanzibari na wala msiwasingizie ubaguzi. Tatizo lipo tangu Nyerere alivyofanya vamizi Zanzibar, ameshindwa kuleta maendeleo. Umaskini umezidi, watu wananyimwa haki sasa Utanzania umeleta faida gani? Zanzibar ingeungana na Oman badala ya Tanganyika, leo Zanzibar ingekuwa kama Muscat. Sasa kwa nini Wazanzibari waupende Utanzania ulioshindwa kutatua matatizo yao, ulioshindwa kuleta maendeleo?